fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 5,305
- 5,355
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mkuu unaweza kuniombea kwa hao jamaa wasogeze mbele mpaka Jumapili maana Jumamosi ni ahadi ya mechi na katoto kabichiiiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mkuu unaweza kuniombea kwa hao jamaa wasogeze mbele mpaka Jumapili maana Jumamosi ni ahadi ya mechi na katoto kabichiiiiii
[emoji13] [emoji13] [emoji13]Mbona serikali hawajatuwekea mishahara yetu, kila MTU afe na chake?
Kwann Mungu hakuwapa malaika wake huu uwezo wa kutambua siku ya mwisho?Biblia inasema hakuna ajuae cku wala Saa Hata malaika ila GOD only
Hahaha et midalili mikubwa.....[emoji13] [emoji13]Siku ya mwisho Ni siku Mzito sana Mkuu,Kuna midalili mikubwa Ndo tunaisubiri hapa....Hyo ya Kesho uongo mkubwa.
HahahaBora huo mwisho uje tu manake hatuheshimiani kabisa
duuh umetisha legendary, yaani hutaki mtoto afe na utamu wake?Mkuu unaweza kuniombea kwa hao jamaa wasogeze mbele mpaka Jumapili maana Jumamosi ni ahadi ya mechi na katoto kabichiiiiii
hahaaaaa we jamaa noma sana...umetishaNi kaz ya vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha sisi kama taifa tunaendelea kua salama hata kesho hyo tar 23 Sept
Ni kaz ya vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha uhai wa watu unalindwa na unaendelea kuepo hivo tuviache vifanye kaz yake, msiwe na wasiwasihahaaaaa we jamaa noma sana...umetisha
We ndo hunaakili. Wazungu mpaka waligundua binadamu wa kwanza aliishi Tanzania? Japo hawajatuambia km huyo binadamu alikuwa mzungu au mweusi....Ww na hao wazungu hamna akili, kwahiyo umeani kabisa na Bible inasemaje?
mkuu kwa suala la upepo hasa majira ya asbuhi/mchana, tangu juzi upepo unavuma baraa pande hizi za tabora.Yawezekana ikawa kweli maana hata huku kwetu , mkoa wa rukwa tangu juzi kuna upepo mkali usiku na mchana hali iliyopelekea kukatwa kwa umeme yaani Jana tulikuwa tunaogopa hata kutoka nje.
Wape ilmu wajue...sisi waislamu tunaamini kiama kitaangukia siku ya ijumaa kwa hiyo nadhani nikiama cha wengine
Hahahaha uwiiiii umetisha mishara wameshaweka kakaMbona serikali hawajatuwekea mishahara yetu, kila MTU afe na chake?