Mwisho wa DUNIA ni kesho tarehe 23-09-2017

Mm nataka inikute nimeuchapa usingizi, hv inatokea saa ngapiii?

Yaaani huku Mungu anatupenda Mwisho wa dunia kumbe ni spesheli ya wazunguu, ngoja nikapashe uji wangu nilio punguza kwenye maji ya ugali..
 

nipo nakodolea macho space station hapa niione nibiru ikikatiza. guys hiyo ni live channel ya NASA inaonyesha kila kinachoendelea huko juu ya dunia mubashara.
 
Hata hiyo bible hamuielewi, ktk bible Jesus alikiri kwamba siku ya mwisho hata yeye haijui anajua Mungu tu sasa mnaleta story za kuhisi.. itakuwa hallucinations za bhangi hizo
 
Mkuu huo mwisho ni saa ngapi? Nikachukue pakanga .
 
Mwisho wa dunia bado tu?
 
Utakua saa ngapi?
 
Kiduku akilipua mabomu 200 tu ya nyukilia dunia inapinduka juu kuwa chin[emoji1] [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…