Mwisho wa graphics designers huu hapa

Mwisho wa graphics designers huu hapa

frado

Member
Joined
Nov 26, 2020
Posts
8
Reaction score
23
Ni wazi kuwa miaka inavyozidi kwenda kuna baadhi ya kazi zitaendelea kufa

leo nitaweka wazi kwanini graphic designers wanaenda kukosa ujira waliozoea na kama hawatabadilika basi utakuwa mwisho wao

Ni ujio wa APP ya CANVA
App ambayo inamruhusu mtu yoyote kudesign chochote bure kabisa na kama ukipenda unaweza kulipia CANVA PRO

HII NI APP ambayo utakuta tayari kuna posters, flyers, greeting cards, intro videos n.k

na kazi yako inakuwa kuedit tu kwa kubadili picha iliyopo, Rangi, maneno n.k (hizi wanaita TEMPLATES)

Nitakupa mifano ya Design ambayo nimetoka kutengeneza sasa hivi
IMG_20221123_144203_021.jpg

unaweza kuona ilivyo simple kabisa

kama graphic designer hautaweza kwendana na speed ya TECHNOLOGY basi utapoteza ajira yako


GRAPHICS DESIGNER AFANYE NINI?
Jiunge katika majukwaa ya kuuza ujuzi kama upwork, fiverr, koji,etsy lakini pia unaweza kuuza templates kulekule CANVA

Credit @kidigitalii
IMG_20221123_144203_021.jpg

IMG_20221123_131255_890.jpg
 
Ni wazi kuwa miaka inavyozidi kwenda kuna baadhi ya kazi zitaendelea kufa

leo nitaweka wazi kwanini graphic designers wanaenda kukosa ujira waliozoea na kama hawatabadilika basi utakuwa mwisho wao

Ni ujio wa APP ya CANVA
App ambayo inamruhusu mtu yoyote kudesign chochote bure kabisa na kama ukipenda unaweza kulipia CANVA PRO

HII NI APP ambayo utakuta tayari kuna posters, flyers, greeting cards, intro videos n.k

na kazi yako inakuwa kuedit tu kwa kubadili picha iliyopo, Rangi, maneno n.k (hizi wanaita TEMPLATES)

Nitakupa mifano ya Design ambayo nimetoka kutengeneza sasa hivi
View attachment 2425668
unaweza kuona ilivyo simple kabisa

kama graphic designer hautaweza kwendana na speed ya TECHNOLOGY basi utapoteza ajira yako


GRAPHICS DESIGNER AFANYE NINI?
Jiunge katika majukwaa ya kuuza ujuzi kama upwork, fiverr, koji,etsy lakini pia unaweza kuuza templates kulekule CANVA

Credit @kidigitalii
View attachment 2425665
View attachment 2425661
Haiwezi kuua maana designing sio kupanga panga vitu. Pia idea uchaguzi wa rangi na kadhalika. Ndio maana agencies bado zinaajiri graphics designers tena kwa kuwaambia kabisa watumie canva.
Pia kuna vitu bado tu utahitaji software kama photoshop na illustrator
 
Haiwezi kuua maana designing sio kupanga panga vitu. Pia idea uchaguzi wa rangi na kadhalika. Ndio maana agencies bado zinaajiri graphics designers tena kwa kuwaambia kabisa watumie canva.
Pia kuna vitu bado tu utahitaji software kama photoshop na illustrator
Ni vitu gani ambavyo vipo PHOTOSHOP au illustrator lakini CANVA havipo

at the end, niliongeza umuhimu wa graphic designer kuingia katika CANVA na kuexplore opportunities za kuongeza vipato zaidi
 
Haiwezi kuua maana designing sio kupanga panga vitu. Pia idea uchaguzi wa rangi na kadhalika. Ndio maana agencies bado zinaajiri graphics designers tena kwa kuwaambia kabisa watumie canva.
Pia kuna vitu bado tu utahitaji software kama photoshop na illustrator
Asante sana kwa kumwelewesha maana yeye kachukua picha ambayo tayari Iko edited aka[achila akaona ameweza
 
Ni vitu gani ambavyo vipo PHOTOSHOP au illustrator lakini CANVA havipo

at the end, niliongeza umuhimu wa graphic designer kuingia katika CANVA na kuexplore opportunities za kuongeza vipato zaidi
Mbona nimeitafuta play store nimeikosa??

Au ni kwa ajili ya iPhone tu??
 
Ni wazi kuwa miaka inavyozidi kwenda kuna baadhi ya kazi zitaendelea kufa

leo nitaweka wazi kwanini graphic designers wanaenda kukosa ujira waliozoea na kama hawatabadilika basi utakuwa mwisho wao

Ni ujio wa APP ya CANVA
App ambayo inamruhusu mtu yoyote kudesign chochote bure kabisa na kama ukipenda unaweza kulipia CANVA PRO

HII NI APP ambayo utakuta tayari kuna posters, flyers, greeting cards, intro videos n.k

na kazi yako inakuwa kuedit tu kwa kubadili picha iliyopo, Rangi, maneno n.k (hizi wanaita TEMPLATES)

Nitakupa mifano ya Design ambayo nimetoka kutengeneza sasa hivi
View attachment 2425668
unaweza kuona ilivyo simple kabisa

kama graphic designer hautaweza kwendana na speed ya TECHNOLOGY basi utapoteza ajira yako


GRAPHICS DESIGNER AFANYE NINI?
Jiunge katika majukwaa ya kuuza ujuzi kama upwork, fiverr, koji,etsy lakini pia unaweza kuuza templates kulekule CANVA

Credit @kidigitalii
View attachment 2425665
View attachment 2425661
Itaua tu vishoka wa graphics
Lakina realy artist wataendelea kuwepo huko.
Android ilipokuja watu waliema apple itakufa vile vile ujio wa os za window walisema marc itakufa.
 
Ni vitu gani ambavyo vipo PHOTOSHOP au illustrator lakini CANVA havipo

at the end, niliongeza umuhimu wa graphic designer kuingia katika CANVA na kuexplore opportunities za kuongeza vipato zaidi
Mkuu kwa mfano kwenye canva unatumia vitu ambavyo ni ready made. Ila kwenye illustrator unaweza if you can imagine it you can make it. Mfano hivyo vikengele ulivyoweka hapo, unaweza kuvitengeneza from scratch kwenye canva?
Na pia inabidi ujue kuwa canva ina zaidi ya miaka 10 labda wewe ndo umeijua hivi karibuni. Na kwa muda wote huo bado graphuc designers wanahitajika sana
 
Ni vitu gani ambavyo vipo PHOTOSHOP au illustrator lakini CANVA havipo

at the end, niliongeza umuhimu wa graphic designer kuingia katika CANVA na kuexplore opportunities za kuongeza vipato zaidi

Canva haina ubongo, experience wala talent na ubaya kama hujui kutumia adobe ndio utakuwa unatengeneza vitu generic na vya kawaida.

Mfano hizo posters ulizoweka ni za kawaida na zinaweza kuwavutia watu wasiokuwa serious na brands zao au wasiojua basics za graphic design ambao wanaweza tengenezewa posters kupitia powerpoint na wakaridhika

Kwa hiyo Wateja utapata kikawaida ila kama unatarget corporate works, jitahidi uzijue basics za adobe na hapa ndipo utaona graphic designers wataendelea kuwepo

Nina knowledge kiasi ila sio graphic designer ila naweza tofautisha good and bad design
 
Ni wazi kuwa miaka inavyozidi kwenda kuna baadhi ya kazi zitaendelea kufa

leo nitaweka wazi kwanini graphic designers wanaenda kukosa ujira waliozoea na kama hawatabadilika basi utakuwa mwisho wao

Ni ujio wa APP ya CANVA
App ambayo inamruhusu mtu yoyote kudesign chochote bure kabisa na kama ukipenda unaweza kulipia CANVA PRO

HII NI APP ambayo utakuta tayari kuna posters, flyers, greeting cards, intro videos n.k

na kazi yako inakuwa kuedit tu kwa kubadili picha iliyopo, Rangi, maneno n.k (hizi wanaita TEMPLATES)

Nitakupa mifano ya Design ambayo nimetoka kutengeneza sasa hivi
View attachment 2425668
unaweza kuona ilivyo simple kabisa

kama graphic designer hautaweza kwendana na speed ya TECHNOLOGY basi utapoteza ajira yako


GRAPHICS DESIGNER AFANYE NINI?
Jiunge katika majukwaa ya kuuza ujuzi kama upwork, fiverr, koji,etsy lakini pia unaweza kuuza templates kulekule CANVA

Credit @kidigitalii
View attachment 2425665
View attachment 2425661
Labda cha kukujuza Tu
Canva siyo app mpya imetengenezwa mwaka 2012 inamiaka kumi hadi sasa

Ilikuwepo na zipo nyingi ambazo zinafanana na hizo

Graphic haitoweza kufa maana wengi wanao design canva pia ukiziprinti zinakuwa na low quality,

Graphic ni kipaji kama vipaji vingine siyo wote ni ma designer, umaskini ndio unakufanya utake kudesign mwenyewe ili ubanie hela usimpe graphic design,
 
Ni wazi kuwa miaka inavyozidi kwenda kuna baadhi ya kazi zitaendelea kufa

leo nitaweka wazi kwanini graphic designers wanaenda kukosa ujira waliozoea na kama hawatabadilika basi utakuwa
Kuuwa kabisa sio rahisi maana creativity inahusika ukitumia canva mnaweza kujikuta watu 100 wote mmetumia templates moja..
 
We jamaa bna umekuja kwa spidi sana...yani kumbe hkn mtu hapo et graphic ife nani kasema??
 
We jamaa bana, sasa hapo graphics designers wanaenda kufa au mawanda ya kufanya kazi ndo yanaongezeka?, anyway mi naona umetutangazia biashara hapa kuliko kutuelewesha nini linaendelea kweny industry...!
 
Jamaa AA juzi tupo tangu photofunia ila leo graphic design iko canvas utoto mwingi na mnaweza kufanana ...japo iyo Canva pro ni kisanga Ina design nzuri
 
Ni wazi kuwa miaka inavyozidi kwenda kuna baadhi ya kazi zitaendelea kufa

leo nitaweka wazi kwanini graphic designers wanaenda kukosa ujira waliozoea na kama hawatabadilika basi utakuwa mwisho wao

Ni ujio wa APP ya CANVA
App ambayo inamruhusu mtu yoyote kudesign chochote bure kabisa na kama ukipenda unaweza kulipia CANVA PRO

HII NI APP ambayo utakuta tayari kuna posters, flyers, greeting cards, intro videos n.k

na kazi yako inakuwa kuedit tu kwa kubadili picha iliyopo, Rangi, maneno n.k (hizi wanaita TEMPLATES)

Nitakupa mifano ya Design ambayo nimetoka kutengeneza sasa hivi
View attachment 2425668
unaweza kuona ilivyo simple kabisa

kama graphic designer hautaweza kwendana na speed ya TECHNOLOGY basi utapoteza ajira yako


GRAPHICS DESIGNER AFANYE NINI?
Jiunge katika majukwaa ya kuuza ujuzi kama upwork, fiverr, koji,etsy lakini pia unaweza kuuza templates kulekule CANVA

Credit @kidigitalii
View attachment 2425665
View attachment 2425661
Mambo sio marahisi hivyo
 
Canva haina ubongo, experience wala talent na ubaya kama hujui kutumia adobe ndio utakuwa unatengeneza vitu generic na vya kawaida.

Mfano hizo posters ulizoweka ni za kawaida na zinaweza kuwavutia watu wasiokuwa serious na brands zao au wasiojua basics za graphic design ambao wanaweza tengenezewa posters kupitia powerpoint na wakaridhika

Kwa hiyo Wateja utapata kikawaida ila kama unatarget corporate works, jitahidi uzijue basics za adobe na hapa ndipo utaona graphic designers wataendelea kuwepo

Nina knowledge kiasi ila sio graphic designer ila naweza tofautisha good and bad design
Graphics designer ambaye Yuko serious lazima atahakikisha anajua adobe
 
Back
Top Bottom