Mwisho wa graphics designers huu hapa

Mwisho wa graphics designers huu hapa

Jiwekeze kwenye utofauti.
Jifunze Photoshop na Illustrator
 
Duh nmekuja fasta nkijua unaongelea Dalle 2.
Kumbe bado unaongelea hizo teknolojia za zamani za canva.
Tako linalokujia imeshakuwa kubwa sana saivi.
Hii Dalle yani wewe unaandika tu maneno picha inakuja
 
Kwani kuna mtu kashushwa Duniani kuja kupiga mishe za graphics designing peke yake
 
Ni wazi kuwa miaka inavyozidi kwenda kuna baadhi ya kazi zitaendelea kufa

leo nitaweka wazi kwanini graphic designers wanaenda kukosa ujira waliozoea na kama hawatabadilika basi utakuwa mwisho wao

Ni ujio wa APP ya CANVA
App ambayo inamruhusu mtu yoyote kudesign chochote bure kabisa na kama ukipenda unaweza kulipia CANVA PRO

HII NI APP ambayo utakuta tayari kuna posters, flyers, greeting cards, intro videos n.k

na kazi yako inakuwa kuedit tu kwa kubadili picha iliyopo, Rangi, maneno n.k (hizi wanaita TEMPLATES)

Nitakupa mifano ya Design ambayo nimetoka kutengeneza sasa hivi
View attachment 2425668
unaweza kuona ilivyo simple kabisa

kama graphic designer hautaweza kwendana na speed ya TECHNOLOGY basi utapoteza ajira yako


GRAPHICS DESIGNER AFANYE NINI?
Jiunge katika majukwaa ya kuuza ujuzi kama upwork, fiverr, koji,etsy lakini pia unaweza kuuza templates kulekule CANVA

Credit @kidigitalii
View attachment 2425665
View attachment 2425661
Acha kuwatisha watu yaan hiyo ni sawa na ukisema kuwepo kwa calculator ni kuuwa soko la uhasibu design sio kuchora na kupangapanga tu picha ni taaluma. Mpaka ujifunze kwanza kama photoshop tu usifikiri utadownload canva na kuanza kupata dili za kutengeneza graphics
Na kwa bahati mbaya usefully features nyingi kwenye canva zipo kwenye canva pro huwezi zipata bure kwahiyo kwa yoyote anaetaka kukimbilia huko usifikiri mambo ni maraisi kunahitaji u serious pia
 
Unazungumzia Graphic Design ipi inakufa ?? kwa hizo template za Canva ?? You are not serious na hauijui Graphic Design.

Canva imewarahisishia wajasiriamali wadogo ambao wanahtaj angalau kushare huduma au bidhaa zao kila siku mitandaon. Hapo imewapunguzia gharama za kuwalipa Graphic Designers. Na hata hivo Canva ya free ina templates chache za bure kwahivo template moja inaweza tumika na watu zaidi ya mmoja.

Unapozungumzia branding huwez tumia Canva, huwez create logo nzuri kwenye canva, huwez design large format banners, huwez design magazines, by the way ni mambo mengi huwezi kuyafanya na hiyo Canva so usikurupuke kusema Graphic Design inakufa noo, Ungesema Canva imepunguza gharama kwa wafanyabiashara wadogo.
 
Wengi walianzia Canva wakaishia kwenye adobe products.
Mfano hakuna Mockup Canva ili utengeneze reality view Kwa mteja.

Canva ni kuanzia sio hitimisho. Kuna sehemu utakwama u
 
Graphic designer ni Art sio kama unavyofikili ndugu mteja japokuwa technology inrevolve Kwa Kasi kubwa ila art haiwezi kufa itabaki kuwepo tu. Kunax teAI Technology ya Kila kitu ila mbona BDO vitu vipo tu???
 
Back
Top Bottom