Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 1,117
- 3,153
Daaaaaaaaaah
Kuna maslahi gani ya ziada kati ya CCM yetu na mkataba wa DPW ??
Budget ya hii mikutano kuhusu kinachoitwa ELIMU ya mkataba wa DPW imetoka wapi ??
Kwanini imekuwa ghafla na kwa CCM kufanya uamuzi wa ajabu ambao haujapata kutokea wa kuzunguka NCHI kuelezea mkataba mmoja tu ??
Kwanini CCM YETU INAUTETEA SANA MKATABA HUU ??
Kwa ufupi.
" Mkataba unatakiwa ujisimamie na ujitetee,ila watu wanautetea bila "baseline" za data na facts kwenye mkataba huo,hakuna research wala data, mkataba hauna data ambazo ni measured kisayansi watu wanacheza na maneno tu ambayo hayapo kwenye mkataba
Viongozi wetu wanabidi wajue wanaongoza ANALYTICAL MINDED GENERATION wako WELL INFORMED kupitia njia mbalimbali za mass communications hususani social media wanapata taarifa mbalimbali na kwa sababu kizazi cha sasa kina wasomi wengi mitaani wanachakata taarifa mbalimbali kutafuta ukweli.
Habari ya kuenda nchi kwa propaganda kwenye mambo msingi kama UWEKEZAJI WA BANDARI HAUTAISAIDIA SERIKALI NA CCM YETU.
Kuna maslahi gani ya ziada kati ya CCM yetu na mkataba wa DPW ??
Budget ya hii mikutano kuhusu kinachoitwa ELIMU ya mkataba wa DPW imetoka wapi ??
Kwanini imekuwa ghafla na kwa CCM kufanya uamuzi wa ajabu ambao haujapata kutokea wa kuzunguka NCHI kuelezea mkataba mmoja tu ??
Kwanini CCM YETU INAUTETEA SANA MKATABA HUU ??
Kwa ufupi.
" Mkataba unatakiwa ujisimamie na ujitetee,ila watu wanautetea bila "baseline" za data na facts kwenye mkataba huo,hakuna research wala data, mkataba hauna data ambazo ni measured kisayansi watu wanacheza na maneno tu ambayo hayapo kwenye mkataba
Viongozi wetu wanabidi wajue wanaongoza ANALYTICAL MINDED GENERATION wako WELL INFORMED kupitia njia mbalimbali za mass communications hususani social media wanapata taarifa mbalimbali na kwa sababu kizazi cha sasa kina wasomi wengi mitaani wanachakata taarifa mbalimbali kutafuta ukweli.
Habari ya kuenda nchi kwa propaganda kwenye mambo msingi kama UWEKEZAJI WA BANDARI HAUTAISAIDIA SERIKALI NA CCM YETU.