Mwisho wa ubaya ni aibu, baada ya Simba kujaribu kumkomoa wakili msomi "Benard Morrison", yeye atamba hahitaji barua ya simba kusajiliwa Yanga

Mwisho wa ubaya ni aibu, baada ya Simba kujaribu kumkomoa wakili msomi "Benard Morrison", yeye atamba hahitaji barua ya simba kusajiliwa Yanga

So ina maana atacheza mechi za kimataifa tu? Vipi kuhusu mechi za ndani? I mean dirisha la Tff linafungwa lini?
TFF wana dirisha? Si wameweka shuka tu upepo ukivuma unawaona na ukitaka unaingia any time.
 
.
 

Attachments

  • FB_IMG_1655579378566.jpg
    FB_IMG_1655579378566.jpg
    31.8 KB · Views: 4
Back
Top Bottom