Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Christopher Cyrilo ameandika haya
Kushoto ni Fidel Castro, aliyekuwa Waziri mkuu wa Cuba kutoka mwaka 1959 hadi 1976, Rais wa nchi hiyo kutoka 1976 hadi 2008.
Kulia na Ernesto Rafael Guavara maarufu kama Che Guavara, rafiki na mpambanaji wa karibu wa Fidel Castro.
Katikati ni Raul Castro, mdogo wa Fidel Castro na Rais wa sasa wa Cuba. Picha imepigwa mwaka 1961.
Raul Castro amaetangaza kujiuzuku Urais wa Cuba iliyokuwa nchi ya kikomunisti kwa miaka 62. Nafasi yake itachukuliwa na Bw. Miguel Díaz Canel (60), ambaye ataibadili Cuba kutoka kuwa nchi ya kikomunisti na kuruhusu mifumo mipya ya dunia ya kileo.
Pigo kwa Ukomunisti.
My take .
Ukomunisti na ma zongezonge yake yoote ni mfumo wa vitabuni na ulipaswa kufeli miaka ya 1980 ,
Hawa Kina Fidel na wenzake ni udikteta tu uliwasalimisha .
Nyerere was scholar na alijua kuwa ujamaaa hauwezi kuisogeza nchi yetu .
Ndio maana hakuwaachia nchi Kina Butiku , Warioba na Salim maana hao walikua wa Marxist sana ...wangetufiligisa zaidi.
Anaewaza ujamaaa leo huyo ni mufilisi tu .
Kwaheri ujamaaa , kwa heri umwamba
Nenda ujamaaa , usirudi tena
Kushoto ni Fidel Castro, aliyekuwa Waziri mkuu wa Cuba kutoka mwaka 1959 hadi 1976, Rais wa nchi hiyo kutoka 1976 hadi 2008.
Kulia na Ernesto Rafael Guavara maarufu kama Che Guavara, rafiki na mpambanaji wa karibu wa Fidel Castro.
Katikati ni Raul Castro, mdogo wa Fidel Castro na Rais wa sasa wa Cuba. Picha imepigwa mwaka 1961.
Raul Castro amaetangaza kujiuzuku Urais wa Cuba iliyokuwa nchi ya kikomunisti kwa miaka 62. Nafasi yake itachukuliwa na Bw. Miguel Díaz Canel (60), ambaye ataibadili Cuba kutoka kuwa nchi ya kikomunisti na kuruhusu mifumo mipya ya dunia ya kileo.
Pigo kwa Ukomunisti.
My take .
Ukomunisti na ma zongezonge yake yoote ni mfumo wa vitabuni na ulipaswa kufeli miaka ya 1980 ,
Hawa Kina Fidel na wenzake ni udikteta tu uliwasalimisha .
Nyerere was scholar na alijua kuwa ujamaaa hauwezi kuisogeza nchi yetu .
Ndio maana hakuwaachia nchi Kina Butiku , Warioba na Salim maana hao walikua wa Marxist sana ...wangetufiligisa zaidi.
Anaewaza ujamaaa leo huyo ni mufilisi tu .
Kwaheri ujamaaa , kwa heri umwamba
Nenda ujamaaa , usirudi tena