Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM wanamuogopa sana Mwita Waitara.
Ameanza kampeni kabla ya wakati lakini si Dr Bashiru wala Komredi Polepole mwenye ujasiri hata wa kumuonya tu.
Labda tuwasubiri Takukuru maana huko kwa wazee wa mila anapelekwa na gari ya serikali inayoendeshwa na dereva wa serikali.
Kapewa jimbo la LB7
Labda wañamuacha abwabwaje kwani wanakuja mkata juu kwa juuCCM wanamuogopa sana Mwita Waitara.
Ameanza kampeni kabla ya wakati lakini si Dr Bashiru wala Komredi Polepole mwenye ujasiri hata wa kumuonya tu.
Labda tuwasubiri Takukuru maana huko kwa wazee wa mila anapelekwa na gari ya serikali inayoendeshwa na dereva wa serikali.
Kazi anayo tena pevuuuuuuWatu wa Tarime sio wajinga kama anavyo fikiri Waitara. Kwani wao hawaoni jinsi majimbo mengi nchini wanavyo tamani kuwa na mbunge jasiri kama Heche?
Katika dunia ya Leo nani anataka kuwa na mwakilishi mdebwedo na anaye ishi kwa kujikomba badala ya kusema ukweli bila woga?
Ndio kazi aliyojipa hiyoHivi huyo mwendawazimu anafanya shughuli zake za unaibu waziri!? Maaana kila siku kelele huko Tarime.
Nani alimpa sumu MANGULA?Heche harudi hata kwa dawa!
Nyumbu upo???Nani alimpa sumu MANGULA?
Kule chato anafanya nn wakati ikulu ipo dar
Akienda kanisani anamuomba mungu yupi?
Hahaha kichaa kichaa yu mashakani
Kakimbia mazima baada ya tukio la MANGULA
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni Chadema. Badala ya kufurahia Waitara anaenda Tarime Vijijini ili akashindwe vibaya na Chadema, we we unakuja kuliakulia humu.Hali ya Mwita Waitara katika jimbo la Tarime Vijijini imezidi kuwa mbaya sana na hivi sasa amezidi kuishiwa pumzi. Katika hali isiyo ya kawaida imebidi aende kushitaki kwa Wazee wa kimila wa koo ya Wairegi kuhusu watu wanaompinga wanaotokana na koo hiyo.
Kwanza ameonyesha ubaguzi wa koo kuwa yeye lazima aungwe mkono na watu wote wanaotoka katika koo yake ya Wairegi.
Lakini hiyo ni tabia yake ya muda wote, ni MBAGUZI.
IFUATAYO NI MESEJI ALIYOANDIKA RUSTER NYAIKOBA KATIKA KUNDI LA KURYA WHATSAAP GROUP BAADA YA KUPIGIWA NA MMOJA WA WAZEE HAO, NAOMBA UISOME:-
Leo nimepigiwa simu na Mzee mmoja wa Kimira akitaka Maelezo kwa nini tunampinga Waitara.
Nikamuuliza nani amekwambia kuwa Ruster,Ngemo,Martin,Gichogo,Gasaya na Bisendo tunampinga NW?..Akaniambia kuwa Waitara alienda kwao kutoa Malalamiko.
Nikamuuliza amewahi kuwaambia alichotufanyia Wakurya hapa Ukonga?.Akasema wanaskia Tetesi.
Nikamuuliza upo Tayari nikulipie Tiketi uje Ukonga kwa Niaba ya Kimira ili ujue Mapungufu ya huyo Waitara?..Akasema yupo Tayari.
Kwa Taarifa Waitara ameomba tuitwe haraka sana na Wazee ili tusiendelee kumharibia Kampeni za kuwa Mbunge Tarime Vijijni.Hata hivyo kwa Niaba ya wenzangu nimetoa Maelezo ya kushiba kwa Mzee huyo,ambaye pia ameonesha Maskitiko mkubwa.
Aidha nimemwambia hakuna siku tutamuunga Waitara Mkono kwa kuwa tunajua Madhaifu anayetoka kuleta Tarime V.
Nikamkumbusha kuwa mimi ni Mwanachadema,hivyo nina haki ya kumpinga Mwanaccm yeyote hata kama ni Mzee Wangu.Finaly nikamwambia tupo Tayari kujieleza,hivyo Waitara atitumie Tiketi ya Ndege kwenda na kurudi Dar..
Nikasisitiza hiki ni Kipindi cha Corona,hivyo hatutahitaji kusafiri na Mabasi..Nimemshangaa sana Mh.Waitara.
Kuna siku ataenda kumshitaki Aloyce Nyanda wa Star TV kwa Wazee wa Kimira,sio kwa Akili hizi.
Uelewa wako ni level ya gongo, sio walau K Vant anayokunywa WaitaraWewe ni Chadema. Badala ya kufurahia Waitara anaenda Tarime Vijijini ili akashindwe vibaya na Chadema, we we unakuja kuliakulia humu.
Nakunywa K Vant sana tu. Kwenye gongo, nakunywa ile ya kwetu Bukoba "Enkonyagi Super". Huyo Waitara niliishawahi kunywa naye K Vant kama mara tatu hivi pale Passion Motel, Nyegezi Stand enzi hizo akiwa na gari la M4C. Hivyo mtani, ACHA KULIALIA!!!Uelewa wako ni level ya gongo, sio walau K Vant anayokunywa Waitara
Mkuu bado Mungu ananipigania maana corona haina mjanja, zaidi ya mungu tu hata ukikimbilia chatouHahahaaaa........mmawia upo?
Ukimya wako ulihusishwa na corona bwashee!