Uchaguzi 2020 Mwita Waitara achanganyikiwa, awashtaki wanaompinga kwa wazee wa kimila wa koo yake

Akakune Nazi hatumtaki huku tarime
Wenzake hao

Sent by IPhone
 
Kuna ukabila, yaani kila kabila kujiona bora kuliko kabila jingine, ila Wakurya huwa mnabaguana wenyewe kwa wenyewe kabila moja koo tofauti.

Kunguni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heche atapambana na mtu wa CCM lakini jina la mtu wa CCM muulize NAMBA TATU akitaja Waitara basi ndo huyo.
 
Heche halikuwa kusudio basi tu ni matokeo ya upepo wa kisulisuli 2015
 
Tarime V.ni jimbo la upinzani hivyo kwa mtia nia wa chama tawala fujo ruksa anytime
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda wañamuacha abwabwaje kwani wanakuja mkata juu kwa juu
 
Watu wa Tarime sio wajinga kama anavyo fikiri Waitara. Kwani wao hawaoni jinsi majimbo mengi nchini wanavyo tamani kuwa na mbunge jasiri kama Heche?
Katika dunia ya Leo nani anataka kuwa na mwakilishi mdebwedo na anaye ishi kwa kujikomba badala ya kusema ukweli bila woga?
 
Kazi anayo tena pevuuuuuu
 
Hivi huyo mwendawazimu anafanya shughuli zake za unaibu waziri!? Maaana kila siku kelele huko Tarime.
 
Wewe ni Chadema. Badala ya kufurahia Waitara anaenda Tarime Vijijini ili akashindwe vibaya na Chadema, we we unakuja kuliakulia humu.
 
Wewe ni Chadema. Badala ya kufurahia Waitara anaenda Tarime Vijijini ili akashindwe vibaya na Chadema, we we unakuja kuliakulia humu.
Uelewa wako ni level ya gongo, sio walau K Vant anayokunywa Waitara
 
Uelewa wako ni level ya gongo, sio walau K Vant anayokunywa Waitara
Nakunywa K Vant sana tu. Kwenye gongo, nakunywa ile ya kwetu Bukoba "Enkonyagi Super". Huyo Waitara niliishawahi kunywa naye K Vant kama mara tatu hivi pale Passion Motel, Nyegezi Stand enzi hizo akiwa na gari la M4C. Hivyo mtani, ACHA KULIALIA!!!
 
Hahahaaaa........mmawia upo?

Ukimya wako ulihusishwa na corona bwashee!
Mkuu bado Mungu ananipigania maana corona haina mjanja, zaidi ya mungu tu hata ukikimbilia chatou

In God we Trust
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…