Uchaguzi 2020 Mwita Waitara achanganyikiwa, awashtaki wanaompinga kwa wazee wa kimila wa koo yake

Ulevi ndiyo u T ammaliza kabisa na kiinua mgongo kitaishia kwa wagema
Huyo afai ameshindwa ukonga akiwa chadema ameshindwa akiwa ccm tena akiwa ukonga jikoni na ikulu ndo ataweza tarime barazani.
Arudie tu kazi yake ya awali

In God we Trust
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…