Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
ila sio elimu bure hii ya kituko mnachofanya CCMChadema ndio walipigania elimu bure!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila sio elimu bure hii ya kituko mnachofanya CCMChadema ndio walipigania elimu bure!
Umejibu vizuri.........elimu bure ni pamoja na kupewa warrant ya kusafiria wakati ule Railway na Kamata!Kwa mujibu wa tafsiri ya leo "Ni mzazi/mlezi kutotozwa ada!"
Lakini kwa tuliosoma enzi za "Elimu bure" ya kiukweli ilikuwa: Hakuna ada,nauli unalipiwa,chakula ,matibabu,vitabu na vinginevyo muhimu hulipii! Hata hao wanaodanganya wanatoa elimu bure wanajua. (Labda kina Jafo,Kairuki,Waitara,Mavunde) hawajui kwani ni "mawaziri watoto)"
Hii tafsiri Waitara katoka nayo Chadema!ila sio elimu bure hii ya kituko mnachofanya CCM
yani MaCCM mmeshikwa akili na Waitara kiasi hichi???Hii tafsiri Waitara katoka nayo Chadema!
Ndivyo ilivyokuwa! Ya leo ni porojo tu.Umejibu vizuri.........elimu bure ni pamoja na kupewa warrant ya kusafiria wakati ule Railway na Kamata!
Zitoke wapi,walioweka semina elekezi awakuwa wajinga,cv na kinga ya utumbuzi ni bidii yako binafsi ya kumsifia mungu wao na kulitajataja jina tukufu kila upatapo wasaa wa kuwa mbele ya kamera,Saizi kuna waropokaji,sikumbuki lini nimeangalia taarifa ya habari ya bongo maana ni kichefuchefu sana,unaona viongozi wanatoa matamko ya kijinga,hotuba za kitoto,wanatukana watu ovyo.......yaani unajiuliza hivi hawa wana hata abc za kuwa viongozi?
Kwahiyo wewe na CCM mkadandia kwambele bila kuweka tafakari. Elimu! Elimu! ElimuChadema ndio walipigania elimu bure!
Kabla ya kuwa CHADEMA alikuwa ni Katibu wa UVCCM Mkoa wa Tanga.Huyu Waitara katokea Chadema!
Hapana alihamishiwa makao makuu ya UVCCM kuwa msaidizi wa ofisini kwa Mwenyekiti Daktari Emmanuel Nchimbi!Kabla ya kuwa CHADEMA alikuwa ni Katibu wa UVCCM Mkoa wa Tanga.
Yote kwa yote alikokuwa si hoja ya mjadala huu bali uwezo wake binafsi wa kufikiri ukoje.Hapana alihamishiwa makao makuu ya UVCCM kuwa msaidizi wa ofisini kwa Mwenyekiti Daktari Emmanuel Nchimbi!
Hivi kuna mwanafunzi ana lipiwa ada na serikali?? Mbona hawa mwendo kasi wa JPM hawajielewi? Juzi nimemsikia DC akiagiza kila mtoto aende na mahindi debe moja bado tuna ambiwa elimu bure ni kulipia wanafunzi ada.Naibu waziri wa Tamisemi anayeshughulikia miundombinu ya elimu ya msingi na sekondari mwalimu Mwita Waitara amesema maana ya Elimu Bure ni wanafunzi kulipiwa ada na serikali.
Waitara amedai kuwa wananchi wengi wanachanganya mambo kwa kudhani kuwa ujenzi wa miundombinu ya elimu yakiwemo madarasa, maabara, madawati, vyoo nk ni sehemu ya mpango wa elimu bure na hivyo hawapaswi kuchangia.
Naye kada wa CCM ambaye ni afisa wa polisi mstaafu mzee Mwamakula amemshangaa waziri Waitara na kusema kwa hakika mawaziri wa awamu ya 5 hawana maoni kabisa.
Mzee Mwamakula amesema anashindwa kuelewa majukumu ya waziri wa Utawala Bora endapo hata swala la ujenzi wa madarasa ya watoti linakuwa na mjadala wa kitaifa wakati linaeleweka kabisa ni jukumu la nani.
Chanzo: Malumbano ya Hoja ITV
Kwahiyo ccm yote haina mtu mwenye akili hadi mfikie kumpa unaibu waziri nyumbu toka chadema?Huyu Waitara katokea Chadema!