Mwita Waitara adai elimu bure maana yake ni wanafunzi kulipiwa ada na Serikali, mzee Mwamakula amshangaa na kusema mawaziri hawana maono

Umejibu vizuri.........elimu bure ni pamoja na kupewa warrant ya kusafiria wakati ule Railway na Kamata!
 
Wanataka maziwa lkn kunenepesha ng'ombe awataki.
Baba lao na mama lao wote walikuwa walimu wanajua shida na changamoto za ualimu eti leo wamewasahau walimu.Mwalimu ndo ilitakiwa awe ndo anaongoza kulipwa maslai na mazingira bora ili akili ikae sawa,sio yuko darasani anawaza maandazi yake yataishaje,au anawaza wateja wake wa bodaboda kijiweni,walimu ufikia kuwa waendesha bodaboda ili wajikimu tunajenga taifa la kizazi gani,kazi ya mwalimu yatakiwa iwe kumwaga material tu.
 
ELIMU BURE NI KIZUNGUMKUTI... HAKUNA CHA ELIMU BURE WALA NINI UJINGA MTUPU!
 
Saizi kuna waropokaji,sikumbuki lini nimeangalia taarifa ya habari ya bongo maana ni kichefuchefu sana,unaona viongozi wanatoa matamko ya kijinga,hotuba za kitoto,wanatukana watu ovyo.......yaani unajiuliza hivi hawa wana hata abc za kuwa viongozi?
Zitoke wapi,walioweka semina elekezi awakuwa wajinga,cv na kinga ya utumbuzi ni bidii yako binafsi ya kumsifia mungu wao na kulitajataja jina tukufu kila upatapo wasaa wa kuwa mbele ya kamera,
 
Ndio maana Donald Trump ataendelea kututukana Waafrika kwa kweli.Tazama 'mashangingi' ya watawala wetu halafu unaambiwa mwananchi uchangie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kuna mwanafunzi ana lipiwa ada na serikali?? Mbona hawa mwendo kasi wa JPM hawajielewi? Juzi nimemsikia DC akiagiza kila mtoto aende na mahindi debe moja bado tuna ambiwa elimu bure ni kulipia wanafunzi ada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sameheni bure maneno ya waitara, 'viroba na vibapa' ni hatari sana ktk ustawi wa afya ya akili za watu.
 
maendeleo sio ndege tu
elimu bure inaanzia wapi na kuishia wapii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…