Mwita Waitara amshukia Askofu Gwajima, amtaka aache siasa kwenye mambo ya afya za wananchi au ajivue ubunge kama hakubaliani na serikali

Namni Tunisia huyu mlevi, subiri jumapili utatafuta pa kujificha. Waitara unaweza kuwa unatetea serikali kwa kuwa wewe ni sehemu ya hiyo,lakini Askofu yupo na wapiga kura wake,na kondoo wake
 
Huyu ameshiba, wanasiasa wanashindwa kuelewa kuwa mchungaji Gwajima ni mwanasiasa na pia ni daktari wa kiroho.
Wao wanaangalia madhara ya mwili tu wakati Gwajima anaenda mbali zaidi anaangalia madhara ya mwilini na rohoni.
Wapo wagonjwa wa imani zote wanashindikana kupona hospitalini wanapelekwa kanisani na wanapona, hapo mbona hawajawahi
kusema chochote?
Kumbe sasa ndo nimeelewa ni kwa nini rais Magufuli alisema ''kawe nileteeni gwajima''.
Alijua kuna siku wengine aliowapa mpaka uwaziri watamsaliti atabaki na gwajima.
 
Chanjo ni issue ya kitaifa kwa hiari siyo yeye atumie mimbara kuchochea.
Mbona wanaoitetea chanjo hamsemi wanachochea watu wacchanjwe?
Au ninyi mnapingana na rais aliyesema chanjo ni hiari?
Raia wote tuna haki sawa,kama kuna wanaoelimisha kuhusu umuhimu wa chanjo tena wapo kibao
mbona mnaweweseka na gwajima mmoja ambaye naye anatoa elimu kuhusu madhara ya chanjo?
 
Wote ni matapeli tupu
 
Vibaraka wote tunawandika hamrudi mjengoni 2025.hatutaki machanjo msitutishe
 
Hakuna hoja hapa. Waitara anapiga mkwara wa viroba na bangi mbele ya mlokole. God forgive him.
 
Sijui inakuaje mpaka kokoto inakuwa kiongozi!! Nilidhani gold kumbe kibongo hata dongo linakuwa kiongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…