Mwita Waitara: Apigilia msumari umeya Ubungo, asema Boniface Jacob siyo Meya tena

Mwita Waitara: Apigilia msumari umeya Ubungo, asema Boniface Jacob siyo Meya tena

Yaani kuna watu walizaliwa kabisa ili kulitumbukiza Taifa kwenye visasi na chuki. Hawakuletwa kwa jambo lolote lingine. Sijui ndani ya mioyo yao wanawaza nini sijui.

Waitara, siku moja jifungie chumbanii peke yako tafakari sana maneno na maamuzi yako. Kaa kimya hata saa nzima ukiwa peke yako kabisa chambua madhara unayoweza/unayotaka kulitumbukiza Taifa wewe as a person.

Unavuruga huko ccm ulikoenda, unavurga Taifa, hebu jiulize dhamira ya wewe kuzaliwa Tanzania alafu muombe Mungu wako yoyote unaemuamini akupe wepesi.
Wacha yamkute maana alijifanya kubweka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri kaongea vizuri sana. Short and clear.
Propaganda za kupotosha mitandaoni waachie wahusika.
Mkuu nakosa cha kuandika aisee, yaani mtu mmoja ale rushwa huko avunje utaratibu halafu watu na mavipara yao wanabariki, mnatengeneza chuki zisizo na msingi
 


Sent using Jamii Forums mobile app

Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mwita Waitara amesema kwa mujibu wa Barua iliyodaiwa kuwa ni ya Chadema iliyoandikwa kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo na kueleza kuwa chama hicho kimemfuta uanachama Boniface Jacob, tayari amepoteza sifa za kuwa Diwani na Meya.

"Nimeiona barua ya Chadema, nimeona barua aliyowajibu Mkurugenzi wa Manispaa, nimesikia saiti ya Mnyika akizungumzia suala hilo, niseme tu kwamba si kazi ya Mkurugenzi kusoma na kuelewa katiba ya Chadema inasemaje, ameshapokea barua ya Chadema na akawajibu kwa maandishi kuridhia maamuzi yao, ameshamaliza kazi yake, wala wasitegemee ataandika batua ya kukanusha, hivyo Jacob si meya tena wa Ubungo.

Kama anaona haikuwa halali aandike barua kwa waziri mwenye dhamana kuomba marejeo, waziri atapitia na kutoa majibu au aende mahakamani," amesema Waitara.

Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema watubu ,kuna sehemu wamekiuka miiko,sio bure,wanasambaratika hivi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aende kwa Waziri watakwaa kisiki , waende mahakamani is compromised, najisikia kichefuchefu kumsikiliza Waitara, hajazaliwa kuwa kiongozi. Kuna siku nchi hii itashuhudia visasi vya ajabu bila kujali ukomo wa muda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri kaongea vizuri sana. Short and clear.
Propaganda za kupotosha mitandaoni waachie wahusika.
Mkuu sijui kama unajua maana ya short and clear au kwa neno moja ni brief.

1.Barua amekuandikia mkurugenzi utaendaje kuomba ufafanuzi wa kosa kwa waziri kama barua ni fake?

2. Barua imeandikwa na Chadema hivyo hata mahakamani wa kuthibitisha kuwa ni halali ni CDM sio mkurugenzi au waziri. Mkurugenzi anachoweza kuthibitisha ni kafanyia kazi fake letter.

Hata hivyo, nisiwemchoyo wa pongezi, nampongeza sana waziri kwa kuchukua hatua itakayopunguza janga hili la korona.
 
Mkuu sijui kama unajua maana ya short and clear au kwa neno moja ni brief.

1.Barua amekuandikia mkurugenzi utaendaje kuomba ufafanuzi wa kosa kwa waziri kama barua ni fake?

2. Barua imeandikwa na Chadema hivyo hata mahakamani wa kuthibitisha kuwa ni halali ni CDM sio mkurugenzi au waziri. Mkurugenzi anachoweza kuthibitisha ni kafanyia kazi fake letter.

Hata hivyo, nisiwemchoyo wa pongezi, nampongeza sana waziri kwa kuchukua hatua itakayopunguza janga hili la korona.
Mkurugenzi ameishichukulia kama barua halali toka CHADEMA na ameshaifanyia kazi.

Suluhisho siyo mayor au aliyekuwa mayor kuingia ofisini kinguvu! Nakubaliana na Waziri kwamba kwa mujibu wa taratibu, kuna option 2; Kukata rufaa kwa Waziri au kwenda mahakamani.
 
Hapo hapo Jiwe anasema mumuombee.. Tena anakashifu viongozi wa dini..
 
Na baada ya kuyafanya hayo then kesho yake watawaambia wananchi tuwe wazalendo kwa taifa letu,tutangulize maslahi ya nchi mbele,maendeleo hayana chama.
Kwanamna CCM wanavyoendesha nchi visasi haviepukiki
 
Mkurugenzi ameishichukulia kama barua halali toka CHADEMA na ameshaifanyia kazi.

Suluhisho siyo mayor au aliyekuwa mayor kuingia ofisini kinguvu! Nakubaliana na Waziri kwamba kwa mujibu wa taratibu, kuna option 2; Kukata rufaa kwa Waziri au kwenda mahakamani.
Mbona unakua mjinga kiasi hiki?

Sasa hapo kosa ni la mkurugenzi au kosa la Chadema, Chadema wakate rufaa kwa kipi hasa?

Mpaka mda huu Mkurugenzi ilitakiwa awe amejiudhuru kwa Uzembe na mkurupuko aliofanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Sent using Jamii Forums mobile app

Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mwita Waitara amesema kwa mujibu wa Barua iliyodaiwa kuwa ni ya Chadema iliyoandikwa kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo na kueleza kuwa chama hicho kimemfuta uanachama Boniface Jacob, tayari amepoteza sifa za kuwa Diwani na Meya.

"Nimeiona barua ya Chadema, nimeona barua aliyowajibu Mkurugenzi wa Manispaa, nimesikia saiti ya Mnyika akizungumzia suala hilo, niseme tu kwamba si kazi ya Mkurugenzi kusoma na kuelewa katiba ya Chadema inasemaje, ameshapokea barua ya Chadema na akawajibu kwa maandishi kuridhia maamuzi yao, ameshamaliza kazi yake, wala wasitegemee ataandika batua ya kukanusha, hivyo Jacob si meya tena wa Ubungo.

Kama anaona haikuwa halali aandike barua kwa waziri mwenye dhamana kuomba marejeo, waziri atapitia na kutoa majibu au aende mahakamani," amesema Waitara.

Sent using Jamii Forums mobile app
Waitara hana tofauti na kiazi kikicho kutana na jiwe. The most hopeless person

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Screenshot_20200505-151208.png
Duuh.!
 
Back
Top Bottom