Mwita Waitara: Apigilia msumari umeya Ubungo, asema Boniface Jacob siyo Meya tena

Mwita Waitara: Apigilia msumari umeya Ubungo, asema Boniface Jacob siyo Meya tena

Mkuu sijui kama unajua maana ya short and clear au kwa neno moja ni brief.

1.Barua amekuandikia mkurugenzi utaendaje kuomba ufafanuzi wa kosa kwa waziri kama barua ni fake?

2. Barua imeandikwa na Chadema hivyo hata mahakamani wa kuthibitisha kuwa ni halali ni CDM sio mkurugenzi au waziri. Mkurugenzi anachoweza kuthibitisha ni kafanyia kazi fake letter.

Hata hivyo, nisiwemchoyo wa pongezi, nampongeza sana waziri kwa kuchukua hatua itakayopunguza janga hili la korona.
Something is fishy,
Meya Boniface aliandika kwenye mtandao kuwa hatagombea tena udiwani.
Siku chache baadae Chadema inatuma barua kwa Mkurugenzi ya kumfuta kazi Boniface, lakini Boniface anakuja na mtu aliyesadikiwa kuwa ndie alieandika barua na kukanusha kuwa sahihi ni ya kugushi.
Hapa kuna mchezo ndani ya Chadema yenyewe.
 
Something is fishy,
Meya Boniface aliandika kwenye mtandao kuwa hatagombea tena udiwani.
Siku chache baadae Chadema inatuma barua kwa Mkurugenzi ya kumfuta kazi Boniface, lakini Boniface anakuja na mtu aliyesadikiwa kuwa ndie alieandika barua na kukanusha kuwa sahihi ni ya kugushi.
Hapa kuna mchezo ndani ya Chadema yenyewe.
Katangaza kutogombea udiwani au kajivua uanachama? Unachosema hapo huna tofauti na Waitara, wote mnatazama kwa kuegemea itikadi za kisiasa.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Something is fishy,
Meya Boniface aliandika kwenye mtandao kuwa hatagombea tena udiwani.
Siku chache baadae Chadema inatuma barua kwa Mkurugenzi ya kumfuta kazi Boniface, lakini Boniface anakuja na mtu aliyesadikiwa kuwa ndie alieandika barua na kukanusha kuwa sahihi ni ya kugushi.
Hapa kuna mchezo ndani ya Chadema yenyewe.
My bet: Nadhani Jacob ana mpango wa kugombea ubunge Ubungo. Kitakachotokea ni kuwekewa pingamizi kwamba sio mwanachama halali wa chadema. Halafu mkurugenzi atatoa ile barua fake kuonyesha jamaa alishafutwa uanachama.
Siasa chafu hizo.
 


Sent using Jamii Forums mobile app

Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mwita Waitara amesema kwa mujibu wa Barua iliyodaiwa kuwa ni ya Chadema iliyoandikwa kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo na kueleza kuwa chama hicho kimemfuta uanachama Boniface Jacob, tayari amepoteza sifa za kuwa Diwani na Meya.

"Nimeiona barua ya Chadema, nimeona barua aliyowajibu Mkurugenzi wa Manispaa, nimesikia saiti ya Mnyika akizungumzia suala hilo, niseme tu kwamba si kazi ya Mkurugenzi kusoma na kuelewa katiba ya Chadema inasemaje, ameshapokea barua ya Chadema na akawajibu kwa maandishi kuridhia maamuzi yao, ameshamaliza kazi yake, wala wasitegemee ataandika batua ya kukanusha, hivyo Jacob si meya tena wa Ubungo.

Kama anaona haikuwa halali aandike barua kwa waziri mwenye dhamana kuomba marejeo, waziri atapitia na kutoa majibu au aende mahakamani," amesema Waitara.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ni comedy za kuua so ya hotuba mbovu za boss wao.
Turudi kwenye mada achana na kigagura uyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
One day tutakuja kulia na kusaga meno,hii Amani fake tunaichezea sana patakuja kuchimbika hii nchi na majirani watatuacha tumalizane maana sisi tunajifanya wacha Mungu kumbe fake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No wonder maambukizi yanaongezeka baada ya sala za kitaifa maana tumeiacha njia ya haki.
 
My bet: Nadhani Jacob ana mpango wa kugombea ubunge Ubungo. Kitakachotokea ni kuwekewa pingamizi kwamba sio mwanachama halali wa chadema. Halafu mkurugenzi atatoa ile barua fake kuonyesha jamaa alishafutwa uanachama.
Siasa chafu hizo.

..amesema anaweza pia kugombea KYELA ambako ndio kwao. Na amesema jimbo hilo si la wapinzani hivyo analitamani zaidi.
 


Sent using Jamii Forums mobile app

Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mwita Waitara amesema kwa mujibu wa Barua iliyodaiwa kuwa ni ya Chadema iliyoandikwa kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo na kueleza kuwa chama hicho kimemfuta uanachama Boniface Jacob, tayari amepoteza sifa za kuwa Diwani na Meya.

"Nimeiona barua ya Chadema, nimeona barua aliyowajibu Mkurugenzi wa Manispaa, nimesikia saiti ya Mnyika akizungumzia suala hilo, niseme tu kwamba si kazi ya Mkurugenzi kusoma na kuelewa katiba ya Chadema inasemaje, ameshapokea barua ya Chadema na akawajibu kwa maandishi kuridhia maamuzi yao, ameshamaliza kazi yake, wala wasitegemee ataandika batua ya kukanusha, hivyo Jacob si meya tena wa Ubungo.

Kama anaona haikuwa halali aandike barua kwa waziri mwenye dhamana kuomba marejeo, waziri atapitia na kutoa majibu au aende mahakamani," amesema Waitara.

Sent using Jamii Forums mobile app

Waitara ni waziri wa Hovyo kupata kuwepo Tanzania ni mtu mwenye IQ ndogo kupita hata ya Le mutuz kubwa jinga
 


Sent using Jamii Forums mobile app

Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mwita Waitara amesema kwa mujibu wa Barua iliyodaiwa kuwa ni ya Chadema iliyoandikwa kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo na kueleza kuwa chama hicho kimemfuta uanachama Boniface Jacob, tayari amepoteza sifa za kuwa Diwani na Meya.

"Nimeiona barua ya Chadema, nimeona barua aliyowajibu Mkurugenzi wa Manispaa, nimesikia saiti ya Mnyika akizungumzia suala hilo, niseme tu kwamba si kazi ya Mkurugenzi kusoma na kuelewa katiba ya Chadema inasemaje, ameshapokea barua ya Chadema na akawajibu kwa maandishi kuridhia maamuzi yao, ameshamaliza kazi yake, wala wasitegemee ataandika batua ya kukanusha, hivyo Jacob si meya tena wa Ubungo.

Kama anaona haikuwa halali aandike barua kwa waziri mwenye dhamana kuomba marejeo, waziri atapitia na kutoa majibu au aende mahakamani," amesema Waitara.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna nini kinagombewa wakati uhai wa hilo baraza la madiwani umefikia ukingoni?
 
No wonder maambukizi yanaongezeka baada ya sala za kitaifa maana tumeiacha njia ya haki.
Shatani yupo CCM kaamua watu wafurike misikitini makanisani waambukizane wafe kwa wingi wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu
 
Kuna nini kinagombewa wakati uhai wa hilo baraza la madiwani umefikia ukingoni?
CCM wanataka wamtoe meya ili waweza kuiba kasima pesa zilizosalia kwenye bajeti ya manisipaa, wanajua akiwepo meya ni vigumu kuiba pesa
 
Back
Top Bottom