Ccm imechokwa ikachakaaa🤣🤣🤣"Wenyeviti wa mashina na wajumbe wake ni watu muhimu sana kwa sababu wanakaa na wananchi, ndiyo wanaopokea changamoto na kutupa sisi taarifa kama viongozi wao hivyo tuendelee kushirikiana ili tuweze kuwaleta wananchi maendeleo" Mwita Waitara, mbunge wa himbo la Tarime vijijini.
View attachment 2201118
View attachment 2201117
Hili jamaa silipendi sana. Lilikuwa na maneno ya hovyo sana lilipoteuliwa kuwa linaibu waziri."Wenyeviti wa mashina na wajumbe wake ni watu muhimu sana kwa sababu wanakaa na wananchi, ndiyo wanaopokea changamoto na kutupa sisi taarifa kama viongozi wao hivyo tuendelee kushirikiana ili tuweze kuwaleta wananchi maendeleo" Mwita Waitara, mbunge wa himbo la Tarime vijijini.
View attachment 2201118
View attachment 2201117
ChukiiiHuyu jamaa uwa silipendi Bora hata usingelipost
Kweli haumpendi mpk kwa hasira umeandika 'uwa' badala ya 'huwa'Huyu jamaa uwa silipendi Bora hata usingelipost
Sijui kama ataendelea na Ubunge kuanzia 2025,aliyembeba amelala Chato"Wenyeviti wa mashina na wajumbe wake ni watu muhimu sana kwa sababu wanakaa na wananchi, ndiyo wanaopokea changamoto na kutupa sisi taarifa kama viongozi wao hivyo tuendelee kushirikiana ili tuweze kuwaleta wananchi maendeleo" Mwita Waitara, mbunge wa himbo la Tarime vijijini.
View attachment 2201118
View attachment 2201117
Kidumu Chama Cha Mapinduzi"Wenyeviti wa mashina na wajumbe wake ni watu muhimu sana kwa sababu wanakaa na wananchi, ndiyo wanaopokea changamoto na kutupa sisi taarifa kama viongozi wao hivyo tuendelee kushirikiana ili tuweze kuwaleta wananchi maendeleo" Mwita Waitara, mbunge wa himbo la Tarime vijijini.
View attachment 2201118
View attachment 2201117
HUYU ni Tapeli tu Karudi CCM kwa kununuliwa"Wenyeviti wa mashina na wajumbe wake ni watu muhimu sana kwa sababu wanakaa na wananchi, ndiyo wanaopokea changamoto na kutupa sisi taarifa kama viongozi wao hivyo tuendelee kushirikiana ili tuweze kuwaleta wananchi maendeleo" Mwita Waitara, mbunge wa himbo la Tarime vijijini.
View attachment 2201118
View attachment 2201117
Ngoja waje walete majibuHcho kitambi cha mwita ni aina gani ya kitambi ?