Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hebu angalia CV ya huyo mama (Sophia Simba (Tanzania) bonyeza hii website). Mimi naona imeungwa ungwa tu. Lakini nimeshangaa kuona kuwa alikuwa na certificate ya sheria na baadaye akaingia UDS kusome LLB. Je hii inaruhusiwa?
Je CV inaandikwa kuwa ulikuwa mwanafunzi au ulihitmu? Siwezi kuamini kama hii CV imeandikwa na graduate tena waziri!!
ushamba tu unawasumbua, kama mnataka kuwatetea semeni tu hadharani.
na wewe dikteta ni mmoja wa uvccm tabora, huna jipya.
Pamoja na kwamba unasema akina RA et al wametajwa sana, why this time akina SOFIA SIMBA et al wakurupuke huko waliko waanze kupiga mbinja zisizoeleweka..'eti kachemsha, ooh kakosea..'?? Ask urself then utaona smthing is burning smwhere...huu ni moshi tu moto wenyewe baaaado!Ukweli ni kwamba watanzania wengi huwa tuna 'ROHO YA KWA NINI' hatupendi kuona mafanikio ya mtu mwingine!!!.
Mengi mwenyewe kwa namna moja au Nyingine amefanya vile kwa ajili ya kutetea maslahi yake binafsi na wala sio maslahi ya nchi. Hao kina Partel, Rostam na wengine walishazungumzwa sana kwenye swala la EPA sasa sijui yeye alirudia ili kupigia mstari jibu au vipi!!!
Kinachotakiwa kwa wadanganyika wengi ni kubadilisha 'ATTITUDES' zetu ili kuongeza kundi la wenye nia ya dhani na maslahi ya nchi.
...Ok. wewe, kama unakwenda sambamba na yanayokuzunguka na yanayoendelea nchini mwako, hukuelewa wanamaanisha nini?? Dont make a Mountain out of a Mole hill, Man!!
Nipashe ya leo tarehe 1 mei 2009 imeandika kichwa cha habari kifuatacho."Kilango awashukia wanaotetea mafisadi" na aya ya tatu imeandikwa ifuatavyo :
Pia ,hafla hio licha ya kumpongeza Mwenyekiti wa IPPkwa ujasiri wa kutaja Watanzania wenye asili ya kiasia na madhara yao hadharani,.....Huu ni ubaguzi tena wa Hitler kwa kuwa wapo waasia wengi tu ambao hawana tatizo na mtu
anko obama anaita hii ni 'distraction from real issues'. mnataka tuanze kujadili waandishi wameandikaje! the real issues ambazo zinatuathiri watz ni mafisadi, na wametajwa na mengi. mambo ya waandishi wa habari na uandishi mbaya sio issue.
Nia yetu wote ni kuhakikisha mafisadi wananchukuliwa hatua, lakini walichoandika nipashe inamaanisha watanzania wote wenye asili ya kiasia ni mafisadi papa. Kitu kama hiki kingeandikwa huko kwa Obama unapopasema ingekua bonge la soo. Nipashe wamechemsha.
wewe ndio umetafsiri hivyo, na umekosea.
Nipashe ya leo tarehe 1 mei 2009 imeandika kichwa cha habari kifuatacho."Kilango awashukia wanaotetea mafisadi" na aya ya tatu imeandikwa ifuatavyo :
Pia ,hafla hio licha ya kumpongeza Mwenyekiti wa IPP kwa ujasiri wa kutaja Watanzania wenye asili ya kiasia na madhara yao hadharani,.....Huu ni ubaguzi tena wa Hitler kwa kuwa wapo waasia wengi tu ambao hawana tatizo na mtu
anko obama anaita hii ni 'distraction from real issues'. mnataka tuanze kujadili waandishi wameandikaje! the real issues ambazo zinatuathiri watz ni mafisadi, na wametajwa na mengi. mambo ya waandishi wa habari na uandishi mbaya sio issue.
wengine wanawatetea kwa TZS 2000/= ama 3000/= za mara moja kwa miaka 5! ... wakati wa kampeni!mafisadi wanateteana na wanasimama pamoja mpaka mwisho wa dahari.
wengine wanawatetea kwa TZS 2000/= ama 3000/= za mara moja kwa miaka 5! ... wakati wa kampeni!
Nipashe ya leo tarehe 1 mei 2009 imeandika kichwa cha habari kifuatacho."Kilango awashukia wanaotetea mafisadi" na aya ya tatu imeandikwa ifuatavyo :
Pia ,hafla hio licha ya kumpongeza Mwenyekiti wa IPPkwa ujasiri wa kutaja Watanzania wenye asili ya kiasia na madhara yao hadharani,.....Huu ni ubaguzi tena wa Hitler kwa kuwa wapo waasia wengi tu ambao hawana tatizo na mtu
Pamoja na kwamba unasema akina RA et al wametajwa sana, why this time akina SOFIA SIMBA et al wakurupuke huko waliko waanze kupiga mbinja zisizoeleweka..'eti kachemsha, ooh kakosea..'?? Ask urself then utaona smthing is burning smwhere...huu ni moshi tu moto wenyewe baaaado!