Wewe NIbo wacha ufezuli ,hivi unamjua Lipumba au unamsikia tu,eti wapo kwenye upinzani kwa kulisha familia zao,Lipumbwa analipwa dola ndugu kama huelewi kutokana na ile elimu aliyonayo ambayo inasemekana ni watu wachache sana hapa duniani wenye kuweza kufikia na kuwa na kipaji alicho nacho ,huu unaosema wewe si dharau bali ni uchafu ,Mengi nini Mengi nani Mengi anaishi kwa kuuza magazeti na kudanganya umma ,leo amepata ulua na kufadhiliwa na hao hao mafisadi wenzake ,leo amekuwa mtu kwa WaTz sababu anawakoromea wenzake kwa kutumia vyombo vya redio.
Mengi na hao wahindi na wengine ambao ameogopa kuwataja wote ni chungu kimoja,Mengi anatumia umasikini wa WaTanzania kuwadhalilisha kwa kuwagaia vijipesa na kutaka kuwatawala akili zao ,Mengi hana lolote zaidi ya kutaka kujionyesha msafi kwa kuwageukia wenziwe ,wote ni nzige ndani ya Tanzania , mengi amezidiwa kete ndio anageuka ili tumuone ni bora na mtetezi lakini ukweli amekoseshwa tonge ndio hasira zake,Mengi kawataja watu watano tena kutoka upande wa wenye asili ya kiasia ,hivi alishindwa nini kuwataja wenye asili ya Congo ,Mengi ametafuta ubaguzi kwa kugawa weusi na weupe .kwa ufupi anawalinda mafisadi weusi na kuwakandamiza weupe ,hili si la kuachiwa hata sekunde moja Mengi ni mbaguzi kwa kitendo hiki anatumia dau la mafisadi kutaka kuwagawa WaTanzania ambao ni watu kutoka mataifa mbalimbali,kama Mengi haelewi Tanganyika ilikuwa ni mbuga tu iliyotawaliwa na wanyama wakali na ukiitafuta historia ya wapi waTanganyika walitokea utafungua akili yako na kuondokana na tabia chafu ya ubaguzi tabia ambayo ilimuondoa Salim Ahmed mtu ambae alishika nyadhifa nyingi tena nyeti katika nchi hii ,ubaguzi ndio uliomhuzunisha na kumfadhaisha na kuwafanya waTz wote kuonekana hatuna maana ,Mengi ni adui wa Taifa hili ambae anataka kutumia rangi kutugawa na kututawala na vipesa vyake vya kuuzia magazeti sie walala hoi kwa nini asiwe kama mwenziwe muuza Icecream ambae ametulia ,Mengi baada ya kukusanya vipesa vya magazeti sasa anataka kufanya jeuri ,amewatenga watu weusi ili awavutie kwake na kuanza kuwanyanyasa na kuwatumia kutokana na umasikini wao,Mengi anataka kutumia vipesa vyake vya kuuza magazeti kuwarubuni wale aliowaacha kuwataja ili waweko upande wake ,kwa ufupi amezidi kuwagawa mafisadi ,yaani amewatenga mafisadi weupe na kuwalinda mafisadi weusi ,mengi mwoga amewataja hawa wahindi mavi kitambaani je angewataja na weusi si angekuwa ameshakamatwa na kuwekwa jela kwa kuvunja sheria ,Mengi amevunja sheria hilo halina mjadala mtajaribu kulikoroga na kulipamba lakini wahindi wameshaliona na wameshapata information za juu kabisa kuwa wakienda mahakamni basi Mengi hatoki ,endeleeni kumpa kichwa Mengi kama hakuuza makaratasi yake yote na fedha yake ikawa fedheha. Jamaa kadai shilingi tu,hivyo weka akili zenu vizuri sio mnamtomeza na yeye kujigamba na vyombo vyake vya redio shauri lake akiwasikiliza watu kama Nibo basi ajue hawamtakii mema ,hao wahindi haohao watamliza tu.