EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Kuna bwana mmoja aliukataza umati usimfukuze mwizi badala yake wamwachie yeye hiyo kazi.Jamaa akaanza kumkimbikiza mwizi peke yake tena kimyakimya sijajua jamaa lengo lake lilikuwa ni nini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrembo umeona shughuli hiyo?
Hamia Uswazi kumenoga
Nilishawahi kukusimulia jinsi nilivyofumaniwa nikipiga chabo?Aahahahahahaaaaa
Huko ndo kwenyewe, masham sham kama yote 🤪🤪
Nilishawahi kukusimulia jinsi nilivyofumaniwa nikipiga chabo?
Nikaulizwa mbona unachungulia dirishani huku umesimamisha kiungo utamu?
Nikajibu Komando Kipensi huyo, anapiga roba.
Kabla sijaendelea kujiezela nijikuta nimesha katwa mtama
Have a nice dayBujiiii its still morning, my ribs need all the energy for the day. 😆😆😆😆
mwiz aliona wanamchanganya,akaona awalahisishie wakimbizaji[emoji23],na yy awe na awatambue wakimbizaji wake[emoji23]Unadhani unafanyeje Sasa?
Mwizi mwerevumwiz aliona wanamchanganya,akaona awalahisishie wakimbizaji[emoji23],na yy awe na awatambue wakimbizaji wake[emoji23]
Good morningAise nimecheka sana.
😂 😂 😂Usiku wa kuamkia leo kibaka aliingia ndani na akafanikiwa kuchomoka na decoder ya Dstv, uzuri tukashtuka tukaanza kupiga kelele za mwizi huku tukimfukuza.
Tukiwa tunaendelea kumfukuza mwizi wetu, tukasikia tena kelele zikitokea kwenye nyumba jirani, mwizi huyo anaruka kaiba simu!!!! Majirani wakaunga tela kufukuza mwizi wa simu.
Wale wezi wakawa wamekimbilia njia moja, huku kelele zikiendelea, mwiziii huyoooo, kaiba dekodaaaaa. Kundi lingine, mwizi huuyooooo kaiba simuuuuu.
Baada ya dakika kadhaa mwizi mmoja kapiga kelele, wote tusimame, naye akasimama, tukawa kwenye bumbuwazi.
Mwizi wa dekoda akasema, mbona kundi kubwa linaniandama?
Mnaofukuza mwizi wa simu kaeni upande wa kushoto.
Mnaofukuza mwizi simu kaeni kulia.
Jamaa wakaenda kulia. Mwizi akasema kila mtu afukuze mwizi wake.
Akaanza Tena kutoka mbio ili tuanze tena kumfukuza🤣😂😅