Mwizi aliyekuja kuiba saa tisa usiku

Kuna bwana mmoja aliukataza umati usimfukuze mwizi badala yake wamwachie yeye hiyo kazi.Jamaa akaanza kumkimbikiza mwizi peke yake tena kimyakimya sijajua jamaa lengo lake lilikuwa ni nini.
 
Aahahahahahaaaaa

Huko ndo kwenyewe, masham sham kama yote πŸ€ͺπŸ€ͺ
Nilishawahi kukusimulia jinsi nilivyofumaniwa nikipiga chabo?
Nikaulizwa mbona unachungulia dirishani huku umesimamisha kiungo utamu?
Nikajibu Komando Kipensi huyo, anapiga roba.
Kabla sijaendelea kujiezela nijikuta nimesha katwa mtama
 
Nilishawahi kukusimulia jinsi nilivyofumaniwa nikipiga chabo?
Nikaulizwa mbona unachungulia dirishani huku umesimamisha kiungo utamu?
Nikajibu Komando Kipensi huyo, anapiga roba.
Kabla sijaendelea kujiezela nijikuta nimesha katwa mtama

Bujiiii its still morning, my ribs need all the energy for the day. πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…