Mwizi kachomwa moto muda huu Kariakoo

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Hivi wadau kumbe style ya wizi wa kizamani ya mtu kujifanya umemkanyaga anakugusa halafu unaibiwa bado ipo aisee.

Leo kuna mwizi kajaa kwenye kumi nane za watu hapa Kariakoo kamgusa mtu sijui alishawahi kuibiwa Kwa aina hii si ndio kamshtukia kamwitia mwizi aisee jamaa kachomwa na petrol muda huu ni noma Cha ajabu jamaa anakimbia na moto wake anataka kufa na mtu wakati alivyokua anaiba alikua peke yake bahati nzuri raia wakamdhibiti.
 
nitumie video pm
 
Huyo Mwizi ni lazima tu atakuwa Shabiki Tukuka wa Yanga SC.
 
Wezi sio watu wazuri siwapendi maana walishawahi kunipiga tukio lakini hii ya kuwachoma moto naona sio sahihi. Jeshi la police linatakiwa kufanya kazi yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…