Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaonaje wakiiba halafu wakiua mtu au muhusika waliomuibia akafa kwa presha ya kuibiwa Mali yake je hiyo ni hakiWezi sio watu wazuri siwapendi maana walishawahi kunipiga tukio lakini hii ya kuwachoma moto naona sio sahihi. Jeshi la police linatakiwa kufanya kazi yake.
Sina picha Nina video na ni mbaya sana aiseePicha iko wapi?
Ueni pia....dunia yenyewe ya kuwa na watu iko wapi sasa🙄We mbona unatembea na wake za watu, mnafiki, chuki, uchoyo n.k
Sio haki mkuu na sio kwamba sijawahi kupigwa tukio. Ila ukiona wananchi wanajichukulia hatua inamaana mifumo ya kiulinzi na usalama ni mibovu.Unaonaje wakiiba halafu wakiua mtu au muhusika waliomuibia akafa kwa presha ya kuibiwa Mali yake je hiyo ni haki
Yeye kwa nini kaibaKwanini wamuue
Kila anayekosea angekuwa anauliwa sidhani kama Dunia ingekuwa na aatu
Unaonaje kama ameibia mtu halafu huyo alaieibiwa akafa kwa presha je atarudisha uhai wakeSisi waungwana tukikamata tunakuonya tunakupa muda wa kujirekebisha
Hao nao watahukumiwa Kwa namna yaoAliepora simu ya laki 2 anakula moto wakati mijizi mitukufu iliyokubuhu inakula tu nchi bila wasiwasi na kutoza toza kila uchwao nyambaf
Wanalindwa na polisi he jiulize kwanini uibe kizembe baada ulindwe na polisiAliepora simu ya laki 2 anakula moto wakati mijizi mitukufu iliyokubuhu inakula tu nchi bila wasiwasi na kutoza toza kila uchwao nyambaf
Tuwahukumu saa hii wacheni kusema saa yao.Hao nao watahukumiwa Kwa namna yao
Nenda kawahukumu Sasa kwani nani kakukatazaTuwahukumu saa hii wacheni kusema saa yao.
Picha muhimu Sana ku support hii habari yako (taarifa)Hivi wadau kumbe style ya wizi Ile ya mtu kujifanya umemkanyaga anakugusa halafu unaibiwa bado ipo aisee.
Leo kuna mwizi kajaa kwenye kumi nane za watu hapa Kariakoo kamgusa mtu sijui alishawahi kuibiwa Kwa aina hii si ndio kamshtukia kamwitia mwizi aisee jamaa kaunguzwa muda huu ni noma.
Upelekewe moto kunako koreaBado sijakamatwa nikkamatwa na Mimi nipewe haki stahiki
HuYeye kwa nini kaiba
Daah mkuu umetuchoka kabisa sasa hivi..Huyo Mwizi ni lazima tu atakuwa ni Shabiki Tukuka wa Yanga SC.
Naona mwizi mwenzao umekomaa, hesabu siku yako tu tena wewe wala sio wa kuchoma, ni kutiwa kilema ubaki na kumbukumbuWewe hujawahi kuiba?
Hu