Mwizi kachomwa moto muda huu Kariakoo

Mwizi kachomwa moto muda huu Kariakoo

Katika kitabu Cha suratul al tawrat kwenye Qur'an tukufu mola mlezi alikwisha kuandika katika amri zake ya kwamba usiibe. Naye atakaye Iba ni dhambi na halali yake akatwe vidole vya mikono na hata mwili ikiwa atarudia makosa hadhaa.

Ukitenda dhambi fahari yake ni maut basi watu wa mola mlezi jitahadharini. Allah Akbar.
Pia nakukumbusha kwamba mtume صلى الله عليه و سلم
amekataza kumuadhibu kiumbe chochote kwa kutumia moto.
Mtume katika hadithi sahihi anasema:
لا يعذب بالنار إلا رب النار
Asiadhibu kwa moto isipokuwa Mola wa moto kwa maana Allaah peke yake aliyeumba moto ndiye mwenye haki ya kuwaadhibu viumbe waliomkosea kwa kutumia moto.
Pia mtume kakataza kuua kwa mateso hata kama unayemuua ana haki ya kuuawa pale aliposema
فإذا ذبحتم فأحسنوا الذبحة وإذا قتلتم فأحسنوا القتلة.
Mkichinja chinjeni kwa wema na mnapoua ueni kwa wema na ameelekeza mtume mtu akitaka kuchinja ahakikishe kisu chake kina makali ya kutosha ili asitumie muda mrefu kumuumiza mnyama kabla hajafa. Kwahiyo kuwachoma wezi kwa moto ni kinyume kabisa na mafundisho ya uislamu.
 
Pia nakukumbusha kwamba mtume صلى الله عليه و سلم
amekataza kumuadhibu kiumbe chochote kwa kutumia moto.
Mtume katika hadithi sahihi anasema:
لا يعذب بالنار إلا رب النار
Asiadhibu kwa moto isipokuwa Mola wa moto kwa maana Allaah peke yake aliyeumba moto ndiye mwenye haki ya kuwaadhibu viumbe waliomkosea kwa kutumia moto.
Pia mtume kakataza kuua kwa mateso hata kama unayemuua ana haki ya kuuawa pale aliposema
فإذا ذبحتم فأحسنوا الذبحة وإذا قتلتم فأحسنوا القتلة.
Mkichinja chinjeni kwa wema na mnapoua ueni kwa wema na ameelekeza mtume mtu akitaka kuchinja ahakikishe kisu chake kina makali ya kutosha ili asitumie muda mrefu kumuumiza mnyama kabla hajafa. Kwahiyo kuwachoma wezi kwa moto ni kinyume kabisa na mafundisho ya uislamu.
Wewe itakua ni mwizi ila unajifichia kwenye dini sio siku Yako inakuja
 
The rule of Law is an essential part of Good Goverment in the societyof Human being.The rule of law is one of the things that differentiate a society of human being from animals societies.Where there is rule of law, relation between people and between goverment and people are governed and guided by law.

A Society tha reffuses to be guided by law is linked to a jungle kingdom, where only the strongest has right. He who commit crime breaks the law deserve purnishment.But not every citizen has the right to decide whether or not a suspect has committed an offence and not every citizen has the right to hand
down purnishment.

Under rule of Law every citizen has the right to arrest suspect and has the responsibility to handle that person /suspect to law enforcement organ(ie police)
From BENJAMIN WILIAM MKAPA Speach on mob-justice which he delivered on 27-04-2001 and reported on DAIL NEWS ON SATURDAY 28-04-2001

Ogopa sana kupita ukakata watu wanapiga mtu adhaniwaye kuwa mwizi na wewe bila kumjua ay kujua kaiba nini na kamwibia nani unaanza kuchukua mawe kumshambulia

Wakati ninasoma bording kuna vibaka walikuja usiku wakaiba, hivyo tukaanzisha diria ya kienyeji

Kesho yake akapita maeneo hayo hayo mlevi aliyekosea njia, watu wakaanza kumshambulia , na tukisema tumhoji watu wanagoma, aliyekuwa kiongozi wa kurushia mawe asubuhi kuangalia mwili wa marehemu ni ndugu yake wa damu ambaye hajawahi kuiba ni pombe tuu zilimfanya akosee njia. Akawa ameshiriki kumuua nduguye asiye na hatia
 
Hivi wadau kumbe style ya wizi wa kizamani ya mtu kujifanya umemkanyaga anakugusa halafu unaibiwa bado ipo aisee.

Leo kuna mwizi kajaa kwenye kumi nane za watu hapa Kariakoo kamgusa mtu sijui alishawahi kuibiwa Kwa aina hii si ndio kamshtukia kamwitia mwizi aisee jamaa kachomwa na petrol muda huu ni noma.
Wizi inakera ila kuchoma binaadamu moto kisa kuibiwa sio sawa its too harsh, kuna makosa kama kulawiti au kubaka watoto hapo ningeunga mkono maana ni kama kuua
 
Mkuu, hata mjumbe wa mola mlezi mtume Muhammad S.A.W alitukumbusha ya kwamba tusibishane pasipo kuwa na elimu, na binafsi sipendi kubishania dini ambayo imeletwa na mwarabu pamoja na mzungu.

Pia elimu yako dini umesomea hapa hapa Tanzania, kwahiyo huwezi kubishana na mimi.
Baba, hiyo suratul Altawrat Iko juzuu ya ngapi na ina Aya ngapi mkuu mbona wengine hatujawahi iona.??!! Ni kweli adhabu za wezi, majambazi na magaidi zimefafanuliwa katika sura kadhaa katika Quran ila hiyo surat al tawrat unatupiga na kitu kizito mkuu.
S.
 
Wewe itakua ni mwizi ila unajifichia kwenye dini sio siku Yako inakuja
Sikatai. Sidhani kama kuna mtanzania ana miaka 30 na hajawahi kuiba japo mia tano tsh 500/= Mimi na wewe sote ni wezi ila hatupendi wengine watuibie.
Nilichokiandika hapo ni mafunzo ya dini inavyotaka sasa ukiamini ni sawa na ukikataa pia hulazimishwi, tumrudie Mungu tutubie kwake, atatusamehe yale mabaya tuliyoyafanya zamani.
Hata Alex Masawe alisilimu huko nchini Dubai na sasa ni muislamu safi kabisa , mambo ya ujambazi kaachana nayo.
 
Sikatai. Sidhani kama kuna mtanzania ana miaka 30 na hajawahi kuiba japo mia tano tsh 500/= Mimi na wewe sote ni wezi ila hatupendi wengine watuibie.
Nilichokiandika hapo ni mafunzo ya dini inavyotaka sasa ukiamini ni sawa na ukikataa pia hulazimishwi, tumrudie Mungu tutubie kwake, atatusamehe yale mabaya tuliyoyafanya zamani.
Hata Alex Masawe alisilimu huko nchini Dubai na sasa ni muislamu safi kabisa , mambo ya ujambazi kaachana nayo.
Kama mwizi ni wewe mkuu Mimi nimekulia maadali Bora sijawahi kuiba Cha mtu na wazazi wangu walikua wanajitosheleza vizuri sana kunihudumia
 
Hivi wadau kumbe style ya wizi wa kizamani ya mtu kujifanya umemkanyaga anakugusa halafu unaibiwa bado ipo aisee.

Leo kuna mwizi kajaa kwenye kumi nane za watu hapa Kariakoo kamgusa mtu sijui alishawahi kuibiwa Kwa aina hii si ndio kamshtukia kamwitia mwizi aisee jamaa kachomwa na petrol muda huu ni noma.
Mwenyewe juzi niliibiwa kwenye bajaji najitu ambalo hata sikujua limeingiza mda gani mkono wake mfukoni, lilllazimisha likae siti ya kati kisha likashuka mbele tu hapo umbali wa kutmbea kwa mguu. Kuji search limeondoka na laki na sitini. Nitaliwekea mtego moto ulihusu, shenzi yake
 
Unauonaje huyo mwizi akimuibia mtu halafu aliyeibiwa akafa kwa mshtuko wa presha kisa kuibiwa hiyo ni sawa eti
Huo utakuwa ni udhaifu wa mtu ila huwezi kuchoma mtu moto kisa amekuibia, hiyo adhabu ni kubwa sana hata kwa sheria za mungu mfano zamani mtu anakatwa mkono sasa hizi habari za kuua kisa umeibiwa siyo sawa tuache ukatili kwa binaadamu wenzetu
 
Huo utakuwa ni udhaifu wa mtu ila huwezi kuchoma mtu moto kisa amekuibia, hiyo adhabu ni kubwa sana hata kwa sheria za mungu mfano zamani mtu anakatwa mkono sasa hizi habari za kuua kisa umeibiwa siyo sawa tuache ukatili kwa binaadamu wenzetu
Jinga sana wewe inaonekana ni jizi yaani mtu afe kisa jizi limemuibia halafu useme udhaifu wa mtu shenzi asingemuibia angepata presha Kwa huo mda
 
Sikatai. Sidhani kama kuna mtanzania ana miaka 30 na hajawahi kuiba japo mia tano tsh 500/= Mimi na wewe sote ni wezi ila hatupendi wengine watuibie.
Nilichokiandika hapo ni mafunzo ya dini inavyotaka sasa ukiamini ni sawa na ukikataa pia hulazimishwi, tumrudie Mungu tutubie kwake, atatusamehe yale mabaya tuliyoyafanya zamani.
Hata Alex Masawe alisilimu huko nchini Dubai na sasa ni muislamu safi kabisa , mambo ya ujambazi kaachana nayo.
Hahaha ehe masawe kawa msafi

Ova
 
Hao wanaojichukulia sheria kumchoma mtu moto eti wanauchungu wa kuibiwa simu au wallet wanashangaza. Tukiwaambia kuna hawa wanaotuibia mabilioni tuwakemee eti wanaona hayawahusu na hawana uchungu wowote.
Hivi wangekuwa na uchungu wa kweli na kuibiwa hawa kina Madelu wanaokwapua mabilioni na kutuletea ugumu wa maisha si wangewachoma moto na kusubiri nyama I've na kutafuna minofu yao kwa hasira kabisa?
 
Back
Top Bottom