Mwizi wa simu anaepigwa hapa kariakoo mda huu ni hatari sana

Huyo atakuwa ni Shabiki tu Tukuka wa Yanga SC, kwani hao ndiyo Wezi Waandamizi Kariakoo nzima, Mchikichini na Ilala.
 
Kapicha kidogo mkuu! Rai yangu kwa raia tuache kujichukulia sheria mkononi, tuna vyombo vya ulinzi kama polisi ndivyo vina haki na wajibu wa kutoa adhabu kwa mtuhumiwa yeyote yule nchini.
Anza kuwaambia hao wezi ndo wanaanza kujichukulia sheria mkononi. Sijui kwañini unaona raia tuu ndo wanachukua sheria mkononi nyie wezi mnapoiba mnakuwa hamchukui sheria mkononi.
 
Huyo mwizi na ccm awana tofauti waue tu ...wapate baraka za allah
 
Anza kuwaambia hao wezi ndo wanaanza kujichukulia sheria mkononi. Sijui kwañini unaona raia tuu ndo wanachukua sheria mkononi nyie wezi mnapoiba mnakuwa hamchukui sheria mkononi.
mimi sio mwizi tafadhari,ni raia mwema na mlipa kodi wa nchi hii. Nina biashara zangu ambazo nina TIN namba ambayo nalipia 1m kila mwaka,nina lipia mapato ya halmashauri yangu na kila nikiagiza mzigo nadai rist halali kwa muuzaji. thibitisha wizi wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…