mimi mtakatifu
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 248
- 539
Jana yamenikuta!
Nilienda zangu tips kuinjoi weekend baada ya uchovu wa kazi overtime.
Nikakutana na msichana mrembo haswa tukasimama meza moja tukaanza kula kilaji huku tukipiga story na kufahamiana. Nilivutiwa na maongezi yake as alionekana ni dada anaejielewa mtu wa biashara anafunga mzigo mpaka Dubai.
Kilaji kikakolea tukaanza kutongozana, mtoto akanielewa nikaondoka nae nikapiga mzigo. Nachokumbuka mara ya mwisho ni ananivalisha kinga baada ya hapo nilikuja stuka saa 5 kasoro asubuhi, sijui aliniwekea nini.
Nimestuka nipo peke yangu, simu yangu macho matatu haipo na wallet imeachwa nyeupe ina cards tu.
Nimeshafungua kesi polisi, ila wakati nataka kuwatafuta watu wa cyber nikakumbuka tulipeana namba mwanzoni kabisa kabla hatujafikia kutongozana.
Sasa naomba mnisaidie wadau jinsi ya kumnasa huyu mwizi wangu maana mpaka sasa nna namba yake ipo hewani ila sijafanya lolote nafikiria namna ya kumnasa. Najua nikimpigia atakimbia au atazima simu maana yeye anafikiri kuondoka na simu yangu namba yake ameondoka nayo kumbe technology sasa namba haikai kwenye simu.
Nilienda zangu tips kuinjoi weekend baada ya uchovu wa kazi overtime.
Nikakutana na msichana mrembo haswa tukasimama meza moja tukaanza kula kilaji huku tukipiga story na kufahamiana. Nilivutiwa na maongezi yake as alionekana ni dada anaejielewa mtu wa biashara anafunga mzigo mpaka Dubai.
Kilaji kikakolea tukaanza kutongozana, mtoto akanielewa nikaondoka nae nikapiga mzigo. Nachokumbuka mara ya mwisho ni ananivalisha kinga baada ya hapo nilikuja stuka saa 5 kasoro asubuhi, sijui aliniwekea nini.
Nimestuka nipo peke yangu, simu yangu macho matatu haipo na wallet imeachwa nyeupe ina cards tu.
Nimeshafungua kesi polisi, ila wakati nataka kuwatafuta watu wa cyber nikakumbuka tulipeana namba mwanzoni kabisa kabla hatujafikia kutongozana.
Sasa naomba mnisaidie wadau jinsi ya kumnasa huyu mwizi wangu maana mpaka sasa nna namba yake ipo hewani ila sijafanya lolote nafikiria namna ya kumnasa. Najua nikimpigia atakimbia au atazima simu maana yeye anafikiri kuondoka na simu yangu namba yake ameondoka nayo kumbe technology sasa namba haikai kwenye simu.