Captain mopao
Senior Member
- Feb 25, 2021
- 133
- 384
Jamaa mimi mwenyewe simwelewi ame mu itroduce mfanyabishara anaefunga mzigo Dubai anakuaje mwizi hii chai kbsaaa 🤣🤣🤣Mfanyabiashara anaefungua mzigo adi Dubai anaiba simu? au sasa unaweza kusema kua ni mtu wa aina gani ili nikupe mbinu.
Je hapo mlipokutana ni ugenini kwa wote? make mlipiga stori kabla.
Je ukimpata unataka kufanyeje..