Mwizi wangu namjua, nipeni mbinu za kumkamata

Mfanyabiashara anaefungua mzigo adi Dubai anaiba simu? au sasa unaweza kusema kua ni mtu wa aina gani ili nikupe mbinu.
Je hapo mlipokutana ni ugenini kwa wote? make mlipiga stori kabla.
Je ukimpata unataka kufanyeje..
Jamaa mimi mwenyewe simwelewi ame mu itroduce mfanyabishara anaefunga mzigo Dubai anakuaje mwizi hii chai kbsaaa 🀣🀣🀣
 
Maelezo kidogo hapo mstari wa mwisho.
 
Hakukuletea magumegume kipindi umekata moto kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…