M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 2,818
- 8,465
It's a free forum, hebu tumia akili(common sense) japo kidogo.Sasa ikiwa huamini BIBLIA umefuata nini kwenye Uzi huu ambao msingi wa yaliyoandikwa katika Uzi huu ni neno la Mungu ?
Nilipaswa niwe marehemu kitambo sana. Lakini Mungu ananiweka hai kwa upendo wake. Mtu mwenyewe nina milima ya dhambi. Kimsingi sina haki mbele zake za kumshawishi niendelee kuvinjari duniani.
Naunga mkono ushuhuda wa Mwakasege. Mwaka 84 nimewahi kupelekwa mbinuni katika roho. Taswira zile sijawahi kuzisahau ni kama nilienda jana. Mwaka 1987 nilishuhudia uwepo wa Yesu hapa duniani. Alikuja kututembelea familia na wote walimuona. Mimi nilimtambua na kuwajulisha. Familia walikubali yule mtu wa Mungu hakuwa wa kawaida na features zake na miujiza kila mtu aliiona.....
Kuna vitu vinatokea maishani naviona kabla na huwa nasema vinatokea. Mambo mazuri au hatari.
Nimeiona Tanzania ipo gizani miaka mitatu iliyopita na nilisema kisha wote tumeona yanayojiri....
Kuna watu wanajifitini baada ya kutufitini wakidhani watasimama mileleHhHivi upendo bora zaidi wa Mungu ni anapokuacha hapa duniani upambane na hekaheka na challenges za maisha au anapokuchukua ukakae naye mbinguni kwenye raha tupu na hao farasi wenu weupe ambao hamlipi nauli mkiwapanda to wherever you wanna go katika mizunguko ya hapa na pale huko mbinguni.
Tumia akili roho ni spirit kwa kiswahili ni ROHO kwa kidini ni SPIRIT kwa kisayansi ni ENERGY....usichanganye mambo NASFI ni ufahamu wa kujitambua ndiyo nafsi ....mara nyingi watu wanachanganya roho na nafsi ...vitu vyote ni roho hata mungu ni roho na ufalme wake wote ni roho ...ufalme wa mungu na vitu vyote na uwezo wote na nguvu xote na uzima wote nk...hivyo neno SPIRIT NDIYO KILA KITU HAKUNA KISICHUKUWA SPIRIT YAANI ENERGYEheee..sawa, MWANA ni mwili wa KRISTO na BABA ni nafsi ya KRISTO ambayo ndiyo MUNGU.
Kwa hiyo nafsi ya Yesu iliipa maagizo mwili ya Yesu alafu mwili wa Yesu (mwana) ukampa malaika maono akamwoneshe Yohana, what hell is this ?
Any way tuachane na habari ya nafsi maana nafsi hata mimi na wewe tunayo.
Kwanza ni NAFSI ni kitu kingine na wewe ulicho kielezea hapo ni ROHO siyo NAFSI.
NAFSI ni Muunganiko wa mwili na ROHO.
"Mungu akampulizia puani Adam pumzi ya uhai, mtu akawa nafsi hai" hivyo nafsi ni muunganiko wa roho na mwili pamoja ndiyo nafsi, ila vikitengana kimoja kinakuwa mwili kimoja kina kuwa roho.
Cha msingi nilichotaka kukuuliza ni Je, mbinguni watakatifu watamwona Mungu na Yesu kama vitu viwili tofauti au watakiona kimoja tu kwa sababu ni kile kile kilijibadilisha form (umbo) ?
Siri za Mungu kupitia neno lake hazifunuliwi kupitia common sense!It's a free forum, hebu tumia akili(common sense) japo kidogo.
Discussions za 'neno la Mungu' as you've described it ni kwa wanaoliamini na wasioliamini to balance the arguments.
Yesu aliwaambia wanafunzi wake kuhusu siku ya kiama alisema πhata mwana hajui ila baba ....wanafunzi wake wakadhani kasema yeye ajui siku ya kiama wakaacha kumsumbia kwa kumuuliza uliza kumbe maana ya yale maneno ya Yesu kuwa mwana hajui alimaanisha mwili haujii ila baba ( yaani nafsi inajua) kasome upya injili yote kwa kutumia fafanuzi nilizo kupa utajua ukweli wa haya ninayo kuambia na utajua kuwa injili imenyoka....vizuri sana sema watu mmeshindwa kujua Yesu na Mungu na Roho Mtakatifu ni nini?Eheee..sawa, MWANA ni mwili wa KRISTO na BABA ni nafsi ya KRISTO ambayo ndiyo MUNGU.
Kwa hiyo nafsi ya Yesu iliipa maagizo mwili ya Yesu alafu mwili wa Yesu (mwana) ukampa malaika maono akamwoneshe Yohana, what hell is this ?
Any way tuachane na habari ya nafsi maana nafsi hata mimi na wewe tunayo.
Kwanza ni NAFSI ni kitu kingine na wewe ulicho kielezea hapo ni ROHO siyo NAFSI.
NAFSI ni Muunganiko wa mwili na ROHO.
"Mungu akampulizia puani Adam pumzi ya uhai, mtu akawa nafsi hai" hivyo nafsi ni muunganiko wa roho na mwili pamoja ndiyo nafsi, ila vikitengana kimoja kinakuwa mwili kimoja kina kuwa roho.
Cha msingi nilichotaka kukuuliza ni Je, mbinguni watakatifu watamwona Mungu na Yesu kama vitu viwili tofauti au watakiona kimoja tu kwa sababu ni kile kile kilijibadilisha form (umbo) ?
Teknolojia yote na na umbuzi Duniani ni tone tu la vitu vilivyomo Mbinguni,Kati ya kupanda farasi mweupe na Tesla car kiukweli kabisa nachagua Tesla, farasi unafika kiuno kiko hoi huku wife anakusubiri.
Ninakubaliana na mwalimu(Rabbon inamaanisha mwalimu) mleta mada. Mbingu ni halisi. Mbingu ipo.Jicho la tatu ni jicho chongo, jicho la kichawi.
Mtu ambaye ni Roho, ana macho mawili ya Roho Si Moja.
Ndio maana Huwa mbona maluweluwe mkifungua jicho Hilo la kichawi kupitia meditation.
Macho ya Roho yanafunguliwa Kwa kumpa Yesu maisha Yako, Roho mtakatifu huingia na kuyafungua,utaona yote bila mipaka.
Hata mudi ukienda kuzimu utamkuta na kutambua, maana Roho inajua yote.INNA LILAH WAINNA ILAIH RAGIUN msiba mkubwa huu AISEE..
Kwahyo Nabii MUSSA ulimuona na ukamtambua,, AISEE πππ
Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa.Hata mudi ukienda kuzimu utamkuta na kutambua, maana Roho inajua yote.
Ndani ya BIBLIA hakuna kitu kinaitwa jicho la tatu.Ninakubaliana na mwalimu(Rabbon inamaanisha mwalimu) mleta mada. Mbingu ni halisi. Mbingu ipo.
Mungu ( Yesu Kristo) kwa uwezo mkubwa alionao , anaweza kujibadilisha na kuonekana katika maumbo mengi tofauti tofauti.
Swali muhimu la kujiuliza ni Je, Yesu Kristo ni beberu kama beberu wa Daniel 8:5 au Yesu Kristo ni mwanakondoo kama mwanakondoo wa ufunuo 5:6-7. Yesu Kristo ni nani ?
Kwa uelewa wangu mdogo naona Beberu wa Daniel 8:5 ndiye yule anaye tajwa katika Biblia kuwa anaketi katika kiti cha enzi . Beberu wa Daniel 8:5 ndiye yeye anayeketi katika kiti cha enzi. Ile pembe iliyopo katikati ya macho yake ni jicho la tatu.
Mwanakondoo wa ufunuo 5:6-7 aliyechinjwa ni Yesu Kristo aliyesulubiwa msalabani.Mwanakondoo aliyechinjwa ni nyota ya mashariki.Kwenye astrology( kama mama jusi wale walioiona nyota ya mashariki) , nyota ya mashariki ni sawa sawa na jicho la tatu. Lakini naona mwanakondoo aliyechinjwa ni jicho la tatu la mkono wa kulia( left-brain) .
Na Beberu wa Daniel 8:5 ana jicho la tatu la mkono wa kushoto( right-brain).
Swali zaidi , Yesu Kristo ndiye Mungu mwenyewe anayeketi kwenye kiti cha enzi , Yesu Kristo ndiye beberu wa Daniel 8:5 ? Je , yeye anayeketi kwenye kiti cha enzi ndiye aliyejibadilisha kuwa nyota ya mashariki ( mwanakondoo) ili awakomboe wanadamu right-handed ambao ndio 99% ya watu duniani ?
Endelea kukaa gizani ukimtumainia mganga na visomo vya majini ,mwisho wa hayo ni kuzimu.Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa.
Na Bado mtapigwa sn AISEE ππ
Kwa wale wasiotaka kwenda mbali Yesu amerahisisha unaweza kuonana naye hapa bongo kupitia Neno katika matayo 25:35-40 kirahisi.Salaam, Shalom!!
Akifundisha katika semina jijini Mbeya Jana tarehe 26 January,Mwalimu Christopher Mwakasege amerudia kauli aliyowahi kuitoa kabla.
Amesema, asubuhi, walipokuwa katika bible study ya familia asubuhi ya jumapili hiyo, Mkewe alimuuliza swali kuwa ikitokea ametokewa na YESU atamtambuaje?
Mwalimu Christopher Mwakasege akamjibu Kwa kumkumbusha juu ya siku aliyotoka ndani ya MWILI wake na kwenda Mbinguni, alipofika Mbinguni, alikutana na Nabii Musa yule Nabii wa kale, na alimtambua, akaongeza kusema, Ukiwa katika mwili wa kiroho, huhitaji kutambulishwa sababu Roho inajua yote na kutambua yote yajayo na yaliyokwisha pita.
..... Mwisho wa kunukuu....
Naungana na Mwalimu Christopher Mwakasege juu ya UKWELI wa jambo hili, mbingu IPO na ni halisi, Mimi pia nimewahi kwenda Nchi nzuri sana, mfano wa uzuri wa Nchi Ile hauelezeki, mji huo hakuna jua Wala mwezi, IPO Nuru nzuri sana ambayo macho hayachoki kuitazama,
Nimewahi kuandika pia juu kupewa taarifa juu ya ujio wa Yesu kulinyakua Kanisa Kwa kumwona Yesu akiwa na jeshi la Malaika, amepanda farasi mweupe wakienda Kwa Kasi mawinguni.
Ndipo tujue yafuatayo.
1. Mbingu ni halisi Si hadithi.
2. WATAKATIFU wote wapo Mbinguni, wakifa hawakai kaburini.
3. Mungu yupo na ni MMOJA, na Jina la Mungu huyo mmoja tulilopewa WANADAMU liwezalo kuokoa ni Yesu Kristo/YESHUA HAMASHIACH.
Mungu awabariki.
Hayo macho yako mawili ya nyama ukiyabadilisha kuwa macho ya Roho , yatakudanganya. Jicho la tatu lipo whether you like it or not.Ndani ya BIBLIA hakuna kitu kinaitwa jicho la tatu.
Kina macho ya Roho mawili.
Ukisoma NENO la Mungu Kwa Roho, utaisikia sauti yake dhahiri akisema nawe kupitia neno lake.Kwa wale wasiotaka kwenda mbali Yesu amerahisisha unaweza kuonana naye hapa bongo kupitia Neno katika matayo 25:35-40 kirahisi.
Kwa kuwa jicho la tatu halipo kimaandiko,Hayo macho yako mawili ya nyama ukiyabadilisha kuwa macho ya Roho , yatakudanganya. Jicho la tatu lipo whether you like it or not.