Dini plzsalama jaman!
....nisiwe mnafki...japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka...ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.
Bado nina iman mpo mlioserious...ni mwl yupo mbeya uyole...ana 28...hajawai zaa...she is a ngoni one.primary school teacher...maji ya kunde kuelekeaweupe ...mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo.mpole sana...mambo mengine mtaulizana.
samahan jaman...yupo serious sana.Naomba pm ...msije na utaniutan jaman plzz.
Usimjibie sasa mwenzio wewe unaweza usipende kinachoitwa kibamia lakini mwenzako ndio humwambiii kitusiyo Mimi kaka serious
hajanambia mkuu
Asante kwa taarifa. One more qn, Ana churaa?salama jaman!
samahan jaman...yupo serious sana.Naomba pm ...msije na utaniutan jaman plzz.
Hiyo pict kwenye avatar ni wewe???Samahani lakinisalama j mtaulizana.
samahan jaman...yupo serious sana.Naomba pm ...msije na utaniutan jaman plzz.
mkuu hata sifi sasa rafiki yake ndio mtafutaji ila yeye ndio judge which is whichdah!! wamekutema usife moyo
Drake una kibamia ?do vibamia's like me are allowed?
hahaha, siku wakitoa ofa kwa vibamia kuelea bwawani nadhani china itahamia tanzania😀😀mkuu hata sifi sasa rafiki yake ndio mtafutaji ila yeye ndio judge which is which
Mada ya vibamia haitomuacha mtu salama
BASHITE
Unachagua tena na wewe.hapana kwa kweli