Mwl mwenzangu anataka mume

Mwl mwenzangu anataka mume

Beesmom

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
17,202
Reaction score
28,732
Salama jamani,

Nisiwe mnafki japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.

Bado nina iman mpo mlioserious ni mwl yupo Mbeya Uyole ana 28 hajawai zaa she is a Ngoni one primary school teacher maji ya kunde kuelekea weupe mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo mpole sana mambo mengine mtaulizana.

Samahani jamani yupo serious sana.

Naomba pm msije na utaniutani jamani plz.
 
salama jaman!
....nisiwe mnafki...japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka...ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.

Bado nina iman mpo mlioserious...ni mwl yupo mbeya uyole...ana 28...hajawai zaa...she is a ngoni one.primary school teacher...maji ya kunde kuelekeaweupe ...mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo.mpole sana...mambo mengine mtaulizana.

samahan jaman...yupo serious sana.Naomba pm ...msije na utaniutan jaman plzz.
Dini plz
 
Jaman ktk wanume kumi 8 ni vibamia,, tuheshim Ian, mana 5.2cm hicho ni kibamia,, Sema hapa wataka cm ngapi wajijuwe,,
 
Back
Top Bottom