Mwl mwenzangu anataka mume

Askari muoga.Tafadhari.kama huna cha kuchangia.kwenye Uzi wa Dada .usitukane.Unawadhalilisha wakaka wastaarabu wa humu tuliowazoea.
 
Amekwisha pata??
 
Duuh,hiyo kazi umeanza lini??????hadi picha yako umeweka,afu wee Mer.................
 
Nampataje ssa?
 
Inamaana shule anayofundisha hakuna
Wanaume waalim wenzie??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…