Mwl mwenzangu anataka mume

Mwl mwenzangu anataka mume

Askari muoga.Tafadhari.kama huna cha kuchangia.kwenye Uzi wa Dada .usitukane.Unawadhalilisha wakaka wastaarabu wa humu tuliowazoea.
 
salama jaman!
....nisiwe mnafki...japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka...ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.

Bado nina iman mpo mlioserious...ni mwl yupo mbeya uyole...ana 28...hajawai zaa...she is a ngoni one.primary school teacher...maji ya kunde kuelekeaweupe ...mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo.mpole sana...mambo mengine mtaulizana.

samahan jaman...yupo serious sana.Naomba pm ...msije na utaniutan jaman plzz.
Amekwisha pata??
 
Duuh,hiyo kazi umeanza lini??????hadi picha yako umeweka,afu wee Mer.................
 
salama jaman!
....nisiwe mnafki...japo mwenyewe niliweka tangazo humu kutaka mume lakini niliochat nao hatukuwahi fikia muhafaka...ila baadae Mungu alinijaalia nikampata mwanaume katika mazingira ya face to face.

Bado nina iman mpo mlioserious...ni mwl yupo mbeya uyole...ana 28...hajawai zaa...she is a ngoni one.primary school teacher...maji ya kunde kuelekeaweupe ...mrefu wastani ila kwenye ufupi hayumo.mpole sana...mambo mengine mtaulizana.

samahan jaman...yupo serious sana.Naomba pm ...msije na utaniutan jaman plzz.
Nampataje ssa?
 
Inamaana shule anayofundisha hakuna
Wanaume waalim wenzie??
 
Back
Top Bottom