Mwl Nyerere alikosea sana ifanya TANU kuwa chama cha Kitaifa-Alipaswa anzisha kipya kabisa.

Mwl Nyerere alikosea sana ifanya TANU kuwa chama cha Kitaifa-Alipaswa anzisha kipya kabisa.

Nicholas

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
25,260
Reaction score
7,204
Mwl.Alipoteza nguvu zake na uhodari wake wa kushawishi mambo.Mwalimu kukifanya Chama kilichompa shida kuondoa Udini,na Ukanda uliokuwepo ktk TAA na TANU na kutumia nguvu na akili nyingi sana kukipa sura ya kitaifa.

Jambo lile kwanza halikuwa rahisi sana kwake kukubaliwa mikoani,na hata kwa wenye chama.Angetumia Nguvu ,weldi wake kuanzisha chama kipya kabisa nchi ingekuwa ipo mbali sana na tusingekuwa na CCM ya kidini na kikanda kama ilivyo leo.
 
Mwl.Alipoteza nguvu zake na uhodari wake wa kushawishi mambo.Mwalimu kukifanya Chama kilichompa shida kuondoa Udini,na Ukanda uliokuwepo ktk TAA na TANU na kutumia nguvu na akili nyingi sana kukipa sura ya kitaifa.

Jambo lile kwanza halikuwa rahisi sana kwake kukubaliwa mikoani,na hata kwa wenye chama.Angetumia Nguvu ,weldi wake kuanzisha chama kipya kabisa nchi ingekuwa ipo mbali sana na tusingekuwa na CCM ya kidini na kikanda kama ilivyo leo.
Watu ambao mnamsoma Mwalimu kama hadithi za Esopo mna shida kubwa ku imagine mazingira aliyokuwa akifanya siasa zake.
Kwa vile nafikiri nia ni kuboresha , mtoa mada ruksa kutekeleza yale anayoyaongea kinadharia.
Wasi wasi wangu ni kwamba sidhani kama mtaani kwake tu watu watamwelewa..
 
Mwl..alitumia sana nguvu kumanage wanachama waliokuw akila mara wanataka tangaza uasi, kuliko hata nguvu kubwa nyingine alizotumia kuwaambiwa machief na viongozi wa vyama vingine vilivyokwisha anza mikoani kuikubali TANU.

Vipo vyama makini vilivyokuwepo mikoani ambavyo vilikuwa bora sana kuliko TANU ila wenyewe walikuwa kuviua na kuingia TANU ambayo ilichukua sana muda kupata sura ya kiataifa.Na leo tunayo CCM ambayo si ya kitaifa hivyo ingawa inatumia rasilimali za taifa kujipa taswira hiyo.

CCM ya leo ni ya kikanda,ya kidini, na haina sura ya kitaifa ktk maamuzi ya msingi.
 
Watu ambao mnamsoma Mwalimu kama hadithi za Esopo mna shida kubwa ku imagine mazingira aliyokuwa akifanya siasa zake.
Kwa vile nafikiri nia ni kuboresha , mtoa mada ruksa kutekeleza yale anayoyaongea kinadharia.
Wasi wasi wangu ni kwamba sidhani kama mtaani kwake tu watu watamwelew
a..

Wewe unamwambia nani mawazo yako ya kiliberali?Na kwanini unatumia nguvu nyingi kuwaamabia wasisikilize wanchokisoma wenyewe na kukielewa?

Unafikiri n auna wasiwasi...kwani hata mtaani wasipomwelewa inakuuma nini?
 
Wewe unamwambia nani mawazo yako ya kiliberali?Na kwanini unatumia nguvu nyingi kuwaamabia wasisikilize wanchokisoma wenyewe na kukielewa?

Unafikiri n auna wasiwasi...kwani hata mtaani wasipomwelewa inakuuma nini?
Mkuu wewe mwenyewe ni tusi!!!
Mawazo yako na maandiko yako hayako mbali sana na matamanio yako.
Ugreti thinka shida kweli kweli!
 
CCM haiwezi kuwa chama cha watanzania ktk nyanja nyingi kwa sababu kimetokana na vyama vya pwani,vyama ambavyo havikuwahi kuwa vya kitaifa kwa uasilia wake.


ASP haikuwa ya kitaifa kule Zanzibar, km TANU isivyokuwa ya kitaifa Tanganyika.Ilikuwa ni jitihada za nyerere, na uwezo wake kiushawishi ndio kilichoipa TANU sura ya kitaifa.ASP ilipata kuwa mwakilishi za wa Zenj baada ya vyma vingine kuwa havina sura ya waafrica.

Mwl angejua kuwa jitihada na nia yake njema na uwezo w aushawishi vilipotea bure,asingefany amakosa ya kuiendeleza TANU kupata sura ya kitaifa.Mwl angepata nafsi zaidi angeweza kiri hili.

Rasilimali za taifa zote zimetumika kuibadili CCM ya leo kuwa ya kitaifa ktk maamuzi na mipango bado imeshindikana.
 
Mwl.Alipoteza nguvu zake na uhodari wake wa kushawishi mambo.Mwalimu kukifanya Chama kilichompa shida kuondoa Udini,na Ukanda uliokuwepo ktk TAA na TANU na kutumia nguvu na akili nyingi sana kukipa sura ya kitaifa.

Jambo lile kwanza halikuwa rahisi sana kwake kukubaliwa mikoani,na hata kwa wenye chama.Angetumia Nguvu ,weldi wake kuanzisha chama kipya kabisa nchi ingekuwa ipo mbali sana na tusingekuwa na CCM ya kidini na kikanda kama ilivyo leo.

Kunywa Maji ukalale ukue
 
Mkuu wewe mwenyewe ni tusi!!!
Mawazo yako na maandiko yako hayako mbali sana na matamanio yako.
Ugreti thinka shida kweli kweli!

mamsapu Nani kakuambi anatafuta kuwa great thinker?wewe mwehu sana.Mimi natimiza wajibu..sasa kama wewe ndio unadhani hivyo upo huru.

hembu rudisha ubongo ktk majadiliano.Kipi unapinga hapa?Au unanipinga mimi?Nitakuletea nguruwe akueleze km unadhani kitabadilisha uhalisia wa haya.
 
Kunywa Maji ukalale ukue

sawa mliberali...waliberali huwa hawana hata haja ya kusoma au kusikiliza kitu na kukielewa.wao husubiri maneno fulani wakiyasikia huanza poromosha matusi bila jua yalisemwa vipi na ujumbe ni upi...Umesahau kusema kwa sauti ya madaha..""...ukome tene ukome mara mia moja....".

Hawakutaka hata jua kati ya ideology "inayotetea ushoga" na "shoga",tayari wakaanza pandisha wazimu kuitwa shoga...ndio wewe hapa.Bongo bwana sawa tutawaita waliberali,kwani hata kipofu anataka aitwe mlemavu wa macho ili watu waandike maneno mengi zaidi ajione kawa tofauti.
 
Mwl.Alipoteza nguvu zake na uhodari wake wa kushawishi mambo.Mwalimu kukifanya Chama kilichompa shida kuondoa Udini,na Ukanda uliokuwepo ktk TAA na TANU na kutumia nguvu na akili nyingi sana kukipa sura ya kitaifa.

Jambo lile kwanza halikuwa rahisi sana kwake kukubaliwa mikoani,na hata kwa wenye chama.Angetumia Nguvu ,weldi wake kuanzisha chama kipya kabisa nchi ingekuwa ipo mbali sana na tusingekuwa na CCM ya kidini na kikanda kama ilivyo leo.
Kumsahihisha Mwalimu inabidi usome sana political science na kwa kweli ufikiri sana hypothesis yako.
Hii inaweza kuwa abstract inayo muelezea zaidi mtoa mada, vitu vingi asivyovifahamu.
 
CCM ni reject party.Ni zao la makosa haya.Huwezi badilisha reject kuwa genuine product.
 
Kumsahihisha Mwalimu inabidi usome sana political science na kwa kweli ufikiri sana hypothesis yako.
Hii inaweza kuwa abstract inayo muelezea zaidi mtoa mada, vitu vingi asivyovifahamu.

Mbona hujaja discuss thread km umesoma political science vya kutosha?By the way political science ya UDSM kwa kiasi kikubwa ilikuwa propaganda tool.Ilikuwa ikiandaa wajamaa na haikuwa ikiwafundisha watu political science ya kijamaa na haikuwa na chochote cha kuhamasisha free thinking na creativity ktk Politics.

Nicho unachothibitisha hapa.Kwanini ujenge ground za kuhalalisha fikra zako zenye mipaka kwanza na kumshambulia mto mada kabl ya kuitolea ufafanuzi mada.Umeanza defence kabla ,kwa taarifa yako huwezi leta elimu na fikra zakipimo hapa kirahisi hivyo.Nyie si ndio mna uhuru wa kipimo,fikra za kipimo..teh teh.

Wala sipendi msoma mwalimu mimi sio anthropologist,ila nasom akazi zake na jitihada zake na achievement.yeye mwenyewe kakiri sana vitu vilivyoshindikana,ingawa hakujitaja kama yeye kashindwa ila mfumo aliouchukua umekataa kwa Tanzania.

Na hapa nathibitisha kuwa political science yenu ilikuwa na kipimo,wote hamkuwahi ona haya makosa na walioona walificha kwa faida binafsi.Tabia za CCM kujitetea kwa kuwaambia wengine hawajui,na wakitaka jua basi wafikirie ki CCM,hii tumeona kila mahali CCM wanapotakiwa toa maelezo ya kitu.Wakibanwa zaidi wanasema ni matusi.
 
mamsapu Nani kakuambi anatafuta kuwa great thinker?wewe mwehu sana.Mimi natimiza wajibu..sasa kama wewe ndio unadhani hivyo upo huru.

hembu rudisha ubongo ktk majadiliano.Kipi unapinga hapa?Au unanipinga mimi?Nitakuletea nguruwe akueleze km unadhani kitabadilisha uhalisia wa haya.
Mtu amaye ni tusi by definition hawezi kutoa mada ambayo ina mashiko.
Na anacho fikiri mtu ndicho akitoacho hadharani, huwezi pata neno jema kutokana na wazo ovu.

Kwa ujmla zaidi ya matusi, ambayo lazima tukiri kuwa wewe ni bingwa, hujasema kitu cha maana chochote katika uwanda wa watu wenye busara.
 
Mtu amaye ni tusi by definition hawezi kutoa mada ambayo ina mashiko.
Na anacho fikiri mtu ndicho akitoacho hadharani, huwezi pata neno jema kutokana na wazo ovu.

Kwa ujmla zaidi ya matusi, ambayo lazima tukiri kuwa wewe ni bingwa, hujasema kitu cha maana chochote katika uwanda wa watu wenye busara.

Kweli wewe wa hovyo..kama umeona matusi uliyoanzisha nimekuwa bingwa kwanini usijaribu kurudi ktk fikra?Rudi kwenye mada sasa acha umbea.Hapo ndipo utaonyesha kuwa buku 7 hupokei bure.

Naomba next thread uandike kuhusu mada.
 
Kweli wewe wa hovyo..kama umeona matusi uliyoanzisha nimekuwa bingwa kwanini usijaribu kurudi ktk fikra?Rudi kwenye mada sasa acha umbea.Hapo ndipo utaonyesha kuwa buku 7 hupokei bure.

Naomba next thread uandike kuhusu mada.
Labda huelewi mantiki, wanajamii wanconsider with revulsion mada zisizo na mashiko, underlined na matusi ambayo wewe ni bingwa.
OVER AND OUT!
 
Labda huelewi mantiki, wanajamii wanconsider with revulsion mada zisizo na mashiko, underlined na matusi ambayo wewe ni bingwa.
OVER AND OUT!

Mbona upo busy kunajisi vitu vinavyohitaji fikra?Hayo ndio matokeo ya makosa hayo,reject CCM imejaza reject wasomi.Sasa mantiki gani tena .Unachofanya hapa ni yale ya CUF kuleta fujo tuu ili wasi face ukweli mchungu.

Bado nakuomba tuu urudi ktk mada useme wapi unafikra na mawazo mbadala.
 
Kinachosiktisha ni kujua kuwa hakuwa na washauri wenye kuweza toa fikra huru...hakupata watu sahihi ambao wangeweza mobile watu ili pawe na chama kipya amabacho kingeweza kingeweza pata wanachama na ushawishi km au zaidi ya TANU .TANU nayo ilikuwa mpya masikioni na machoni pa watu na viongozi wa mikoa mingine nchini.Kwa hiyo isingekuwa na gharama tofauti kwa watu wa mikoani.Watu wa Dar wangeweza jumuishwa baadaye.na wasingeweza leta jeuri kwani mkoloni asingwewagawia nchi na wao wangejua kuwa hawana ushawishi wa kupewa nchi km hawaja sura ya kitaifa.Mwishowe wangekubali kuingi ktk chama kipywa kinachokubalika nchi nzima.

Mwl Nyerere angechuku approach hiyo tusingekuwa na chama ,cha kikanda, cha kidini, na kilichokana legacy ya mwl km CCM.UDSM (kitengo cha political science kimebaki kuwa km kikundi cha propaganda cha kukodi)watabaki kuwa taasisi haribifu sana kwa taifa letu.Kimemegua ktk propaganda za kitoto sana, na kuwa masters of their own confusions.
 
Mwl..alitumia sana nguvu kumanage wanachama waliokuw akila mara wanataka tangaza uasi, kuliko hata nguvu kubwa nyingine alizotumia kuwaambiwa machief na viongozi wa vyama vingine vilivyokwisha anza mikoani kuikubali TANU.

Vipo vyama makini vilivyokuwepo mikoani ambavyo vilikuwa bora sana kuliko TANU ila wenyewe walikuwa kuviua na kuingia TANU ambayo ilichukua sana muda kupata sura ya kiataifa.Na leo tunayo CCM ambayo si ya kitaifa hivyo ingawa inatumia rasilimali za taifa kujipa taswira hiyo.

CCM ya leo ni ya kikanda,ya kidini, na haina sura ya kitaifa ktk maamuzi ya msingi.


Unasema Ukweli kabisa; mfano mzuri ni Mangi Marealle wao walikuwa wana chama chao ambacho sidhani walikuwa wanajua TANU - TANU kilikuwa cha Watu wa kanda ya DAR; Na Kanda ya ziwa walikuwa na Chama Chao na Makwaia alikuwa ni kiongozi na alikuwa msomi na Kagera hivyo hivyo Sir George Kahama na kusini pia; Hayo Maeneo yalikuwa yameendelea kivyake; na Kama Nyerere asinge amaua kutafuta na kuamua kimoja kiwa cha NCHI NZIMA sidhani UHURU ungepatikana; na kama Ungepatikana sidhani tungekuwa na AMANI na MUUNGANO TULIOKUWA nao WAKATI wa NYERERE

Wewe Angalia kuna Kisiwa kinaitwa HAITI nadhani ni kikubwa kidogo zaidi ya Zanzibar au the same size Wanazungumza lugha Moja CREOLE... Lakini kwasababu ya kuto-mingle kwenye hicho kakisiwa kuna zaidi ya 6 dialects; ni CREOLE wengine waongea kimkato hauwezi hata kuelewa ni ni kiinchi cha watu sio zaidi ya Milioni 3; Wamegawana KIJIMBO Walipata Mafuriko Unaona wenye Uwezo wanaoishi USA wanapeleka kwao kwanza... Wanasema sehemu nyingine hawazijui na ni kakisiwa kadogo...

Sasa Angalia sisi Nyerere alivyoifanya Tanganyika; wote hakutupa UHURU WETU alichukua kimoja au viwili ili kutufanya angalau tuwe sawa... lakini sisi ni wanadamu haturidhiki tunadhani kuna alivyofanya kwa CHUKI...
 
Mkuu,

Mantiki ya hoja yako imekaa kinyume,

Huenda hujaichambua kwa undani filosofia ya AA iliyoanzishwa 1929 chini ya uasisi wake Mwalimu Cesil Matola,

Pia huenda hujaichambua na kuitambua filosofia ya TAA iliyoasisiwa mwaka 1948 chini ya Klest Sykes,

Vivyo hivyo huenda hujaichambua filosofia ya TANU iliyoasisiwa mwaka 1954 chini ya Mwalimu Julius Nyerere,

Na mwisho hujachambua filosofia ya CCM iliyoasisiwa na Mwalimu Julius Nyerere!

Kwanza nikuleze kuwa kabla Mwalimu hajajiunga na TAA, tayari 1948 akiwa pale Makelele Uganda alisha chama chake cha siasa kilichoitwa TAWA,

Mwaka huo huo akaombwa na baashi ya wanachama wa TAA waliokuwa Tanganyika kuwa aachane na chama chake cha TAWA na kisha ajiunge na TAA, hivyo alikubali ombi hilo na TAWA ikabadilika kuwa tawi la TAA hapo Makerere!

1953 baada ya uchaguzi wa Arnautoglo mnazi mmoja uliompata Julius Nyerere na kuwa rais wa TAA, mwalimu aliingia na filosofia yake ya TAWA ambayo ndiyo hasaaa iliyozaa uhuru na sera za Tanganyika/Tanzania ya Mwalimu Nyerere ambayo dunia wanaifahamu!

Mkuu yapo mengi sana ambayo ni muhimu kuyafahamu ndipo ujenge hoja hiyo!

Ningekushauri tembelea mjadala wetu unaosema, "Uchochezi wa Mohamed Said na Dhihaka kwa wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar"

Mjadala upo hapa jf jukwaa la siasa!
 
Back
Top Bottom