Mwl Nyerere alikosea sana ifanya TANU kuwa chama cha Kitaifa-Alipaswa anzisha kipya kabisa.

Mwl Nyerere alikosea sana ifanya TANU kuwa chama cha Kitaifa-Alipaswa anzisha kipya kabisa.

CCM tuliyoachiwa leo ina kila sifa za kuitwa chama cha kigaidi..ingawa si CCM ambayo mwalimu angependa ikue na kuwa km ilivyo.CCM imefikia mahali ina "ukabila" kidogo wa tofauti ukabila wa kuyakubali amakabila yote ila baadhi, ina ukanda wa kukubali kanda zote ila kanda fulani, na udini ambao haujawahi jificha tangu kabla ya TANU.

Hivi wewe unajua unachokiandika au unasukumwa na fikra zako na matamanio yako. Kuna chama cha kikanda na kikabila zaidi ya Chadema.
 
mkuu kuna mambo ya kuleta kiushabiki na mengine yanahitaji utafiti wa kina
 
Hivi wewe unajua unachokiandika au unasukumwa na fikra zako na matamanio yako. Kuna chama cha kikanda na kikabila zaidi ya Chadema.

te teh ...Ukabila si Kupendelea kabila ila KUCHUKIA KABILA FULANI PIA NI UKABILA,udini nao pia, na ukanda nao pia, CCM wamethbitisha kuwa ni wakanda kwa kuweka wazi kuwa KASKAZINI hawatakiwi.Na wazee wa nchi ni wazee wa dar tuu.
 
mkuu kuna mambo ya kuleta kiushabiki na mengine yanahitaji utafiti wa kina

sasa hata wewe kushindwa ongea kitu chepesi kwa utafiti na fikra ni ushabiki tuu..Gamba bana,ni puuzi tuu...wewe umejuaje sijafanya utafiti?Nimeweka kitu ninayoweza defend na kuwasaidia watanzania.Ni zaidi ya ubongo wako ndio maan unapata shida reconcialte ktk ubongo wako.
 
Issue ndogo ndogo km waialsma kujitetea na kublackmail kuwa kama wasingeendelezwa na kuinuliwa basi wangekataa uhuru.Imerudia tena ktk elimu ya leo.Huku mawaziri waislam wakiwa dhaifi kabisa ktk kutafuta solution kwa kuwafanya watu wao wajitegemee,badala ya kutaka wengine ndio wawajibike.Kinachotokea ni sintojua ya waziri,na kujenga mazingira ya kuwatoa wale wanaosimamia kazi zao ktk baraza la mitihani.

Hizi ni hila zinazoweza tolea maelezo kwa kauliz waislam ambazo serikali haipotayari tolea majibu.
 
Nyerere angeanzisha chama kingine leo taasisi za makanisa zingekuwa zimejenaga shule nyingi sana,hospital nyingi sana, na vituo vya mayatima,vyuo vya kada zote kwa ubora wa hali ya juu.Ila kwa kukosa imani na serikali haikuwa rahisi kuwekeza kwa nguvu zote.Halfu waorwe zikagawiwe kwa wasio na shukrani.

Nyerere kwa mashinikizo ya wanazi wa TANU alifany maamuzi magumu na yebye hasara ya muda mrefu.CCM bado wanaendekeza sera hiyo kwa mikakati ya kidini,ili kuwafirahisha wanaodai kil akukicha kuwa walihusika pata uhuru.Sijui wanataka gawana nchi km Lipumb alivyosema kuwa mauzo ya gesi atagawa hela.
 
muaji ya kijinga,uongo, viongozi wenye uwezo finyu ndicho kilichozaliwa ktk hii reject party CCM.
 
Back
Top Bottom