Mwl. Nyerere alisema heri Mjinga kuliko Mpumbavu. Sasa najiuliza huenda Mpumbavu ni bora kuliko Chawa

Ilianzia kwa baba wa taifa
 
Ilianzia kwa baba wa taifa
Beti la kwanza Nyerere, la Pili Karume la Tatu Kawawa hizo ndio zilikuwa nyimbo enzi zile za Pan Africanism mkuu sasa tungeimba nini....

Hata kina Tom Mboya wa Kenya tuliwaimba.....

Sasa tunawahesabu hao!!
Waliokufa kwa tabu, bila hata ya sababu.
Wengi hawana hesabu waliokufa kwa tabu duniani.

TOM MBOYA wa Kenya huyo!!
Si kiongozi mbaya, kala risasi ya taya.
Maharamia wabaya wala hawaoni haya kumuua.​
 
Actually, Juliasi alimaanisha kifaji (liability, limitation, dhima, upungufu, udhaifu, kasoro, dosari, deni, ukomo, ulemavu), na wala siyo kipaji kama wengi wanavyodhani.

Wengi huchanganya sana matamshi ya maneno husika.
Hii mkuu iwekewe bango kama lile waliloweka yanga.
 
Chawa ni mtu wa hovyo sana
 


Kwa kweli chawa ni kichefuchefu kitupu
 

Hawa huzaliwa mahala pachafu

Chawa hukausha damu, ni adui wa afya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…