Mwl Nyerere: Hata mimi walinambia using'atuke nchi bado inakutegemea, nikaja jua kumbe nchi ni familia zao, hawana uhakika na ajira zao nikiondoka

Mwl Nyerere: Hata mimi walinambia using'atuke nchi bado inakutegemea, nikaja jua kumbe nchi ni familia zao, hawana uhakika na ajira zao nikiondoka

Ndo kinachotokea sasa, hata awamu ya kwanza haijaisha watu washaanza kutangaza ushindi asilimia 100.
Njaa ni mbaya sana aseee
 
Mweeye no za magufuli atuweke hapa mimi nipo tyari kumpigia nimfafanulie huu ujumbe wa Mwalimu nyerere.
 
Ndugai kuna wakati anahisi sijui ataishi milele,yaani kajisahau kabisa! Mambo hubadilika..tena bila wengi kutegemea.
 
"Kila nilipokuwa nikitaka kung'atuka walikuwa wakiniambia: 'Mwalimu endelea tu, hii nchi ni changa na umeitoa mbali. Nchi hii haitaendelea bila wewe'. Nami niliiendelea hadi pale nilipokuja kugundua kumbe nchi changa waliyoiongelea ni familia zao, na hazitaendelea bila mimi kuwepo madarakani, maana walikuwa hawana uhakika kama Rais ajaye atawaacha katika nafasi walizokuwa nazo." - Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Peleka ujumbe huu kwenye vyombo vya habari usambae kwa kila kaya!
 
Peleka ujumbe huu kwenye vyombo vya habari usambae kwa kila kaya!
Wewe utakuwa unipendi aiseeeee, tambua ya kwamba hata kumbukizi za Mwalimu kuna baadhi ya watu miongoni mwetu hawataki kuzisikia na kuziona kabisa katika maisha yao
 
[emoji23]
"Kila nilipokuwa nikitaka kung'atuka walikuwa wakiniambia: 'Mwalimu endelea tu, hii nchi ni changa na umeitoa mbali. Nchi hii haitaendelea bila wewe'. Nami niliiendelea hadi pale nilipokuja kugundua kumbe nchi changa waliyoiongelea ni familia zao, na hazitaendelea bila mimi kuwepo madarakani, maana walikuwa hawana uhakika kama Rais ajaye atawaacha katika nafasi walizokuwa nazo." - Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
 
Chuma kimefanya vizuri tunakiongezea muda
We tatizo lako ndio walawale mwl. Nyerere amewalenga kwenye hiyo kotesheni yake hapo mwanzo mwa thread...ila wewe na akina bia yetu wasiwasi wenu ni kwamba waliowapa kazi ya kufanya propaganda (na kuwalipa) huenda utawala ujao wasiwepo sasa mnahofia kibarua chenu hali itakuwaje endapo akija mtawala mpya...so binafsi nawaelewa sana mkuu pambana watoto waende chooni!.
 
Kwa hili ataambiwa anawashwawashwa, habari ya ubaba wa Taifa itawekwa kando!
 
IMG_20200611_062443.jpg
IMG_20200609_065134.jpg
 
Shida ya viongozi wa siasa ni Matumbo yao na sio kutatua matatizo ya wananchi.Mwalimu aliona mbali sana.
 
Back
Top Bottom