Mwl. Nyerere: Trying to stop radicalization is creating confrontation Africa must be radicalized for it's better future!?

Mwl. Nyerere: Trying to stop radicalization is creating confrontation Africa must be radicalized for it's better future!?

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Nimekuta mahali kipande hiki cha hotuba ya baba wa taifa kwa tafsiri niliyojaaliwa mimi, ni kuwa mwalimu anasisitiza kwamba kwa afya ya bara la Africa ni tusipanbane na watu wa misimamo mikali kwa sababu kupambana nao kutamaanisha wao pia wajibu mashambulizi.

Sasa kama hoja ni hiyo mbona ni kama ccm wamehama sana toka kwenye mtazamo wa mwaasiasi wa hiki chama!?

Kwani kuna ubaya gani kuwaruhusu wanaotofautiana na sisi bila kuwatia misukosuko!?
Mbona wenzetu Kenya wameweza sana kuvumiliana kisiasa!?
 
hiki cha hotuba ya bab
Nimekuta mahali kipande hiki cha hotuba ya baba wa taifa kwa tafsiri niliyojaaliwa mimi, ni kuwa mwalimu anasisitiza kwamba kwa afya ya bara la Africa ni tusipanbane na watu wa misimamo mikali kwa sababu kupambana nao kutamaanisha wao pia wajibu mashambulizi.

Sasa kama hoja ni hiyo mbona ni kama ccm wamehama sana toka kwenye mtazamo wa mwaasiasi wa hiki chama!?

Kwani kuna ubaya gani kuwaruhusu wanaotofautiana na sisi bila kuwatia misukosuko!?
Mbona wenzetu Kenya wameweza sana kuvumiliana kisiasa!?

kipo wapi?
 
Nimekuta mahali kipande hiki cha hotuba ya baba wa taifa kwa tafsiri niliyojaaliwa mimi, ni kuwa mwalimu anasisitiza kwamba kwa afya ya bara la Africa ni tusipanbane na watu wa misimamo mikali kwa sababu kupambana nao kutamaanisha wao pia wajibu mashambulizi.

Sasa kama hoja ni hiyo mbona ni kama ccm wamehama sana toka kwenye mtazamo wa mwaasiasi wa hiki chama!?

Kwani kuna ubaya gani kuwaruhusu wanaotofautiana na sisi bila kuwatia misukosuko!?
Mbona wenzetu Kenya wameweza sana kuvumiliana kisiasa!?
Weka kwanza hicho kipande hicho cha hotuba ndiyo tujadili.
 
Back
Top Bottom