Mwl Nyerere: Tunataka kuona Vijana Jasiri, wanaohoji mifumo Kandamizi, Wasiotikia Ndiyo Mzee

Mwl Nyerere: Tunataka kuona Vijana Jasiri, wanaohoji mifumo Kandamizi, Wasiotikia Ndiyo Mzee

Tatizo letu wengi wachumia tumbo...

Hata hao wanajifanya ni upinzani ..wakipata nafasi kwenye system wanayoikosoa wanafyonza hiyo hiyo tabia.

Hiki kizazi ni tabu sana
 
wasomi wa kitanzania weng wao n makanjanja,taaluma zao wameziweka kwapani na kuhusudu mambo ya kipuuzi mwanasheria unachekelea m2 anakengeuka kwa ku2mia kaul zisizo na mantiki unaefasili sheria na kanuni unapga makof sawa na bib yangu kule kijjn anavyofurahia kupewa gwanda la chama flan,wanasheria jifunzen kutoka kwa mwanasheria aliyepnga kwa hoja huko marekan kwa kumpinga ndg trump kwa kaul ya kusitisha nch saba zenye waislam weng dunian mpaka trump kanywea! hyo ndo taaluma uliyosugulia miaka minne kwa kusoma vifungu vya sheria na ku2nukiwa shahada ya sheria sio kupgania matumbo yenu 2! naunga na ndg Lisu pale anaposema wanasheria weng wa kitanzania hawana uwezo wa ku2mia taaluma zenu zaid ya kuwa na cheti kama pambo. katiba inasignwa wanasheria mnang'aa macho 2 je m2 wa kawaida itakuwaje?
 
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa" Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania.

38e278348e1b740e1f6fd199c6b872b6.jpg
 
Shule flani, mwaka flani tuligoma kuimba wimbo wa taifa kwa sababu ya ufisadi wa Richmond. Unforgettable.
 
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa" Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania.

38e278348e1b740e1f6fd199c6b872b6.jpg

Reaction yake ilikuwaje alipohojiwa yeye?
 
Shule flani, mwaka flani tuligoma kuimba wimbo wa taifa kwa sababu ya ufisadi wa Richmond. Unforgettable.
Jambo la kizalendo unalileta hapa kikike kike. Unaficha nini sa hapa?
 
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa" Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania.

38e278348e1b740e1f6fd199c6b872b6.jpg
Bavicha Wala hamuhoji, hamna hoja zaidi ya kumtukana Rais Na Serikali Na kuichafua nchi kwa wazungu.
 
Katika ujenzi wa taifa hili katika misingi ya ujamaa na kujitegemea mwalimu Nyerere alikuwa anategemea kuwepo na vijana jeuri na wenye uthubutu wa kutimiza ndoto hiyo ya Tanzania. Matokeo yako alishindwa kufika huko kwa sababu ya kushindwa kuwa na vijana hao wengi. Leo ninawatafuta nijue wapo wapi, wale vijana jeuri?

i. Wako wapi vijana wenye uthubutu kama Sokoine, Magufuli, Mzee Lowassa na Mwl. Nyerere ?

ii. Wako wapi vijana wazalendo kama Sokoine , Nyerere na Magufuli ?

iii. Wako wapi vijana waadilifu kama Nyerere( Kabla ya kuwa rais)?

iv. Wako wapi vijana mashujaa kama wale waliopigana vita ya Kagera?

v. Wako wapi vijana wenye maono kama Nyerere?

vi. Wako wapi vijana wachapakazi na wenye misimamo kama Nyerere, Sokoine, Kawawa na Magufuli?

vii. Wako wapi vijana wanadiplomasia wakubwa kama mzee Salimin?

viii. Wako wapi vijana walioipenda Tanzania kuliko hata familia zao kama Nyerere na Sokoine?

ix. Je, vijana hao walikuwa kipindi cha Nyerere tu?

x. Je, vijana hao ndio hao sasa wamekuwa wazee hawana nguvu tena kama mzee Malecela, Mzee butiku na Mzee Warioba

xi. Je, vijana hao ndio hao wakipata vyeo wanageuka miungu watu?

xii. Je, vijana hao ndio hao ambao kutwa kuja wanashinda kwenye vibanda vya kamari na vijiwe vya kahawa?

xiii. Je, vijana hao ndio hao ambao wanajiuza usiku kwenye kumbi za starehe?

xiv. Je, vijana hao ndio hao ambao wamekata tamaa ya maisha kwa kulalamika maisha Magumu badala hata kwenda vijijini kulima ama kujikusanya pamoja kuanzisha vikundi vya ujasiriamali?

xv. Wako, wapi vijana hao? Popote mlipo jitokezeni kwa sababu Rais anawahitaji

Vijana jeuri kwa maendeleo ya nchi yetu na wenye uthubutu wa kujaribu walihitajika sana kipindi cha Mwalimu kukuza uchumi na rais Magufuli anawahitaji sana kumsaidia kujenga nchi yetu kwa hali na hamasa ile ile ya kipindi cha Mwalimu. Tokeni mafichoni mlipokuwa mje kuonesha ujeuri na uthubutu wenu kwa rais Magufuli. Mpo wapi?

na Karlo Mwilpwa
 
Vijana mbona wapo wengi, kina Joketi, Makonda, Ally Hapi na wengine kibao
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Niko hapa nasubiri uteuzi tuu

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
Kuna mzalendo mmoja jna aliomba ateuliwe kuwa balozi Cuba tena yuko tayari kufanya kazi Bila mshahara.....bure yaani!
So
Huyu kweli mzalendo[emoji23][emoji23]

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom