Blue G
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 5,339
- 3,667
Habarini Wana MMU,
Nimekuwa nikijaribu kufikiria hii kauli ya "mke sio sura bali tabia" na matumizi yake,wengi hasa vijana wa siku hizi wanaichukulia kauli hii kama kauli iliyopitwa na wakati hasa kwa kuwa vijana wengi siku hizi ni wazee wa pisi kali wakiamini kuwa na pisi kali au smart handsome guys katika mahusiano,kutawafanya wawe na furaha,hamasa na kufarijika sikuzote za mahusiano yao just kwa kuangalia tu na kufurahisha macho kwa uumbaji makini wa muumba.
Binafsi nina maoni tofauti kidogo, nadhani mwonekano mzuri una nafsi ndogo sana kwenye mahusiano(unless otherwise uwe unaolea au unaolewa for macho ya watu au sifa kutoka kwa watu jamaa ana mke mzuri au Fulani ana mume mzuri sana) nafasi ya mwonekano hasa ni pale ambapo mtu huamua kuingia kwenye mahusiano,mwonekano humvuta kisha kazi ya mwonekano huishia hapo, kinachofuatia hapo ni utu au tabia ya mtu ambayo ndiyo ina nafasi kubwa sana ya kuamua mstakabali wa mahusiano yoyote yale, eiza yawe mazuri,mabaya,matamu,machungu,yadumu au yaishie njiani.
naomba nieleweke vizuri hapa simaanishi watu wasijali kuhusu mwonekano wapendwa lakini ebu karibuni tujadili kwa pamoja wengine mna maoni gani juu ya mwonekano? Nini nafasi ya mwonekano katika mahusiano? Inawezekana mwonekano pekee ukatosha kudumisha mahusiano? Kuna mtu amewahi kushuhudia mahusiano au ndoa ambayo imedumu kwa ajili ya mwonekano wa wahusika au mhusika mmojawapo?
Karibuni tujadili kwa pamoja
Nimekuwa nikijaribu kufikiria hii kauli ya "mke sio sura bali tabia" na matumizi yake,wengi hasa vijana wa siku hizi wanaichukulia kauli hii kama kauli iliyopitwa na wakati hasa kwa kuwa vijana wengi siku hizi ni wazee wa pisi kali wakiamini kuwa na pisi kali au smart handsome guys katika mahusiano,kutawafanya wawe na furaha,hamasa na kufarijika sikuzote za mahusiano yao just kwa kuangalia tu na kufurahisha macho kwa uumbaji makini wa muumba.
Binafsi nina maoni tofauti kidogo, nadhani mwonekano mzuri una nafsi ndogo sana kwenye mahusiano(unless otherwise uwe unaolea au unaolewa for macho ya watu au sifa kutoka kwa watu jamaa ana mke mzuri au Fulani ana mume mzuri sana) nafasi ya mwonekano hasa ni pale ambapo mtu huamua kuingia kwenye mahusiano,mwonekano humvuta kisha kazi ya mwonekano huishia hapo, kinachofuatia hapo ni utu au tabia ya mtu ambayo ndiyo ina nafasi kubwa sana ya kuamua mstakabali wa mahusiano yoyote yale, eiza yawe mazuri,mabaya,matamu,machungu,yadumu au yaishie njiani.
naomba nieleweke vizuri hapa simaanishi watu wasijali kuhusu mwonekano wapendwa lakini ebu karibuni tujadili kwa pamoja wengine mna maoni gani juu ya mwonekano? Nini nafasi ya mwonekano katika mahusiano? Inawezekana mwonekano pekee ukatosha kudumisha mahusiano? Kuna mtu amewahi kushuhudia mahusiano au ndoa ambayo imedumu kwa ajili ya mwonekano wa wahusika au mhusika mmojawapo?
Karibuni tujadili kwa pamoja