mwoneni huyu jamaa,anahitaji ushauri

mwoneni huyu jamaa,anahitaji ushauri

babukijana

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2009
Posts
14,478
Reaction score
18,341
Kanumba-suraWEB.jpg
 
Take us briefly, to the point. Anahitaji ushauri gani???? Jali time and material resources!!! Yaani tuanze kubuni aina ya ushauri!!!!???
i mean vipodozi hiyo sura huoni bro?
 
Hakuna shida ya kumpa ushauri huyu, ndiyo burdani yani kwani ana matatizo yanayomkuta? jamani tusiingilie maisha ya watu.
 
Jamani kama shida yake ni kuitwa mzuri afanyaje....! na ukimchunguza kwa undani zaidi utakuta ni shoga huyo mwanaume rijali na mwenye akili timamu hawezi kufanya ujinga wa namna hiyo.

Binafsi simwone huruma hata kidogo! #@~x@#x@#*^x! wahedi kabisa
 
some pipo bwana! mnataka watu waishi kama mnavyotaka nyie? kila mtu na maisha yake jamani.
 
i mean vipodozi hiyo sura huoni bro?


Mkuu babu kijana, umenifungua macho!!!! Kwani kujipamba ni vibaya?? Mbona Mike J naye alikuwa anajipamba, mpaka wanja na lipstick??? Kwa hiyo unataka kuniambia yuko sokoni??? Wape wadau contact zake!!!!
 
hivi huyu si yule mtaalam wa filamu kweli kwa nini asitafutwe aambiwe hatima na madhara ya utumiaji wa hivi vipodozi?
 
Ushauri gani tena. Kama mahakamani yeye mwenyewe hakuwa anakwenda hadi kesi yake ya kupasuliwa kioo na Wema ikafutwa
 
Mkuu babu kijana, umenifungua macho!!!! Kwani kujipamba ni vibaya?? Mbona Mike J naye alikuwa anajipamba, mpaka wanja na lipstick??? Kwa hiyo unataka kuniambia yuko sokoni??? Wape wadau contact zake!!!!
mkuu hata mimi natafuta namba zake maana hii ngoma siyo siri iko sokoni,nataka niipe mwaliko inifuate huku.
 
Mijitu mingine bana......kosa lake ni nini hapo?
 
Back
Top Bottom