issawema
JF-Expert Member
- May 30, 2013
- 776
- 643
jaman wana jamvi habarin za asubuhi,
twende kwenye mada Mimi nataka knunua pikipiki ya kutembelea kwa MTU lakini sijajua taratibu zikoje,
ikizingatiwa hii ndo mara ya kwanza kufanya biashara kama hii
msaada wenu unahitajika
je inabidi nikabidhiwe vitu gan?
ntajihakikishiaje kuwa mmliki halali wa hicho chombo?
haki zangu kisheria ntazipataje ili kunilinda na lolote ?
nakaribisha mawazo yenu wazoefu mnishauri ndugu yenu
twende kwenye mada Mimi nataka knunua pikipiki ya kutembelea kwa MTU lakini sijajua taratibu zikoje,
ikizingatiwa hii ndo mara ya kwanza kufanya biashara kama hii
msaada wenu unahitajika
je inabidi nikabidhiwe vitu gan?
ntajihakikishiaje kuwa mmliki halali wa hicho chombo?
haki zangu kisheria ntazipataje ili kunilinda na lolote ?
nakaribisha mawazo yenu wazoefu mnishauri ndugu yenu