Mwongozo rahisi wa Kumtongoza Mwanamke unayekutana naye mara kwa mara

Mwongozo rahisi wa Kumtongoza Mwanamke unayekutana naye mara kwa mara

Infinite_Kiumeni

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2023
Posts
382
Reaction score
687
Utapata urahisi zaidi ukiwa wa thamani katika jumuiya uliyopo.

Jumuiya uliyopo inaweza kuwa ni kazini, shuleni, mtaani, kanisani au sehemu ambayo unakutana na mwanamke mara kwa mara.

Hakikisha unajulikana na watu, ongea na watu wengi kadri uwezavyo. Hili litaongeza thamani yako kama tulivyoongea jana, na kumfanya mwanamke ajisikie salama kwako. Usiwe bubu muda wote alafu ghafla ndo ukaanza kuongea na huyo mwanamke, utapata shida na atakugundua mapema na atajiweka katika ulinzi.

Pia njia hii itakusaidia kuondoa shaka na aibu ya kukataliwa.

Baada ya kuhakikisha umeongeza thamani yako, na umemuona mwanamke anayekuvutia,angalia kama anaonesha ishara za kuvutiwa na wewe pia. Kama amevutiwa na wewe, atatabasamu kila ukimuangalia, atajisogeza karibu yako au atakuangalia zaidi. Ukishaona naye amevutiwa na wewe, vaa ujasiri wako kisha fuata muongozo huu. (kama unasita cha kusema soma, “Ukizingatia Haya Hautapata Shida Kuongea Na Mwanamke”)

Mara ya kwanza mpe hi na muongee kidogo. Kisha endelea na shughuli zako. Hakikisha kabla hujasilimiana naye umeongea na wengine ili naye ajisikie ni miongoni mwa watu wanaokujua. Hivyo, atajisikia kukujua

Kadri siku zinavyozidi kwenda ongea nae zaidi, na zaidi. Pia angalia ishara za mvuto anazokupa, mwanamke ambaye anavutiwa nawe atafanya mambo yawe rahisi na ataongea zaidi yako. Mfanye acheke pia.

Mada mnazoongea hakikisha unaziongoza wewe. Msiongelee mada zinazoumiza, au siasa au hali ya hewa. Kwa mada nzuri zaidi soma “Mada 4 Za Kuongea Na Mwanamke Ili Kujuana Zaidi”.
Pia mazungumzo yenu yawe na ukomo, sio unamganda mwanamke mpaka anakuzoea. Muda mwingine kata mazungumzo hata kama unaona mabo yanaenda vizuri. Usiwe na shaka kesho nayo ipo.

Kwenye kuongea kwenu mchombeze taratibu. Usijiweke kama rafiki, wala kuomba urafiki na uikatae hiyo hali. Tengeneza mahusiano ya mme na mke, jiwekee kichwani kwako kwamba tayari umempata. Mguse sehemu kama bega au mkono (mkiwa vizuri kiunoni na mapajani), mchombeze, mtanie, usimuweke juu yako, na pia usiogope kumwambia pale anapovuka mstari wa misimamo yako.

Usimwambie unampenda mapema au kuanza kumuomba awe mpenzi wako. Wanawake wanapenda ile hali ya kujuana kwanza na kuacha mapenzi yakue yenyewe bila kulazimishana. Ndio maana wanaume wengi wanaishia kuomba omba jibu la swali “nakupenda” na kuhama mtaa wakikataliwa. Usimrahisishie mwanamke kazi kiasi hiko, acha na yeye apambanie hiyo ‘nakupenda’. Acha ajithibitishe kuwa anastahili. Nakazia tena usimrahisishie iyo kazi maana ye mwenyewe anataka kulipambania ilo pendo ukimrahisishia anakua hana cha kupambania na utaishia kuomba jibu la swali “nakupenda”.

Ila msifie hapa na pale, mwambie kinachokuvutia kwake. Muite majina mazuri ya mapenzi. Na usizidishe sifa.
Muhimu: Unapomwambia kinachokuvutia kwake, usikae kusubiri jibu. We mwambie kisha badilisha mada kama vile hujamwambia kitu.

Baada ya muda mualike kwenda naye beach au sehemu yoyote ya kufurahia. Kumualika sio kumuomba, pia usilazimishe we nenda naye taratibu. Pia kama bado unaona hajiachii mwambie kuwa mnaenda na marafiki zako na yeye anaweza kujiunga na unaweza mtania “sijui kama we ni mtu wa kwenda sehemu za kufurahi”, atajielezea utapata jibu. Ukiwa naye uko wewe ndo uwe mwenyeji wake pia mtenge mara kwa mara mpate muda wenu pamoja.

Anza kumkiss. Ukiona mambo yanaenda vizuri usisite kuangusha upendo kwenye lipsi zake. Ndio maana ni muhimu kumtenga na kuwa naye pamoja. Ila usimkiss mbele ya watu anaowajua, hatojisikia amani na kujiachia.

Ila kama unaona mnaelewana vizuri mualike kwako moja kwa moja. Mualike kwa sababu, mfano, mwambie hujawahi fungwa goli zaidi ya tatu kwenye karata na umualike kucheza naye, au kama una vinywaji kwenye friji, mualike kunywa vinywaji. Yaani mualike mfanye kitu kwa pamoja. Ukiwa naye kwako usiwe na pupa, nenda naye taratibu na msogeleane kadri muda unavyoenda na uweke kiss kwenye lipsi zake kisha …

Usilazimishe penzi kama amekataa. Pia usioneshe kuumia kwa kuwa amekataa, we potezea na muendelee kufurahi. Nenda taratibu mpe nafasi naye ya kujiachia kwako.

Ukikwama sehemu rudi nyuma hatua kadhaa hadi sehemu ambayo unaona ndo mara ya mwisho kuwa naye vizuri na uanzie hapo tena. Yote hayo ni kwasababu ya utofauti wa kasi ya kupenda kati ya mwanamke na mwanaume, soma “Mwanaume, Fanya Hivi Ukishajua Tofauti Ya Kupenda Kati Ya Mwanaume Na Mwanamke” uelewe zaidi.
 
Utapata urahisi zaidi ukiwa wa thamani katika jumuiya uliyopo.

Jumuiya uliyopo inaweza kuwa ni kazini, shuleni, mtaani, kanisani au sehemu ambayo unakutana na mwanamke mara kwa mara.

Hakikisha unajulikana na watu, ongea na watu wengi kadri uwezavyo. Hili litaongeza thamani yako kama tulivyoongea jana, na kumfanya mwanamke ajisikie salama kwako. Usiwe bubu muda wote alafu ghafla ndo ukaanza kuongea na huyo mwanamke, utapata shida na atakugundua mapema na atajiweka katika ulinzi.

Pia njia hii itakusaidia kuondoa shaka na aibu ya kukataliwa.

Baada ya kuhakikisha umeongeza thamani yako, na umemuona mwanamke anayekuvutia,angalia kama anaonesha ishara za kuvutiwa na wewe pia. Kama amevutiwa na wewe, atatabasamu kila ukimuangalia, atajisogeza karibu yako au atakuangalia zaidi.
Ukishaona naye amevutiwa na wewe, vaa ujasiri wako kisha fuata muongozo huu. (kama unasita cha kusema soma, “Ukizingatia Haya Hautapata Shida Kuongea Na Mwanamke”)
.
Mara ya kwanza mpe hi na muongee kidogo. Kisha endelea na shughuli zako. Hakikisha kabla hujasilimiana naye umeongea na wengine ili naye ajisikie ni miongoni mwa watu wanaokujua. Hivyo, atajisikia kukujua
.
Kadri siku zinavyozidi kwenda ongea nae zaidi, na zaidi. Pia angalia ishara za mvuto anazokupa, mwanamke ambaye anavutiwa nawe atafanya mambo yawe rahisi na ataongea zaidi yako. Mfanye acheke pia.
.
Mada mnazoongea hakikisha unaziongoza wewe. Msiongelee mada zinazoumiza, au siasa au hali ya hewa. Kwa mada nzuri zaidi soma “Mada 4 Za Kuongea Na Mwanamke Ili Kujuana Zaidi”.
Pia mazungumzo yenu yawe na ukomo, sio unamganda mwanamke mpaka anakuzoea. Muda mwingine kata mazungumzo hata kama unaona mabo yanaenda vizuri.
Usiwe na shaka kesho nayo ipo.
.
Kwenye kuongea kwenu mchombeze taratibu. Usijiweke kama rafiki, wala kuomba urafiki na uikatae hiyo hali. Tengeneza mahusiano ya mme na mke, jiwekee kichwani kwako kwamba tayari umempata. Mguse sehemu kama bega au mkono (mkiwa vizuri kiunoni na mapajani), mchombeze, mtanie, usimuweke juu yako, na pia usiogope kumwambia pale anapovuka mstari wa misimamo yako.
.
Usimwambie unampenda mapema au kuanza kumuomba awe mpenzi wako. Wanawake wanapenda ile hali ya kujuana kwanza na kuacha mapenzi yakue yenyewe bila kulazimishana. Ndio maana wanaume wengi wanaishia kuomba omba jibu la swali “nakupenda” na kuhama mtaa wakikataliwa. Usimrahisishie mwanamke kazi kiasi hiko, acha na yeye apambanie hiyo ‘nakupenda’. Acha ajithibitishe kuwa anastahili. Nakazia tena usimrahisishie iyo kazi maana ye mwenyewe anataka kulipambania ilo pendo ukimrahisishia anakua hana cha kupambania na utaishia kuomba jibu la swali “nakupenda”.

Ila msifie hapa na pale, mwambie kinachokuvutia kwake. Muite majina mazuri ya mapenzi. Na usizidishe sifa.
Muhimu: Unapomwambia kinachokuvutia kwake, usikae kusubiri jibu. We mwambie kisha badilisha mada kama vile hujamwambia kitu.
.
Baada ya muda mualike kwenda naye beach au sehemu yoyote ya kufurahia. Kumualika sio kumuomba, pia usilazimishe we nenda naye taratibu. Pia kama bado unaona hajiachii mwambie kuwa mnaenda na marafiki zako na yeye anaweza kujiunga na unaweza mtania “sijui kama we ni mtu wa kwenda sehemu za kufurahi”, atajielezea utapata jibu.
Ukiwa naye uko wewe ndo uwe mwenyeji wake pia mtenge mara kwa mara mpate muda wenu pamoja.
.
Anza kumkiss. Ukiona mambo yanaenda vizuri usisite kuangusha upendo kwenye lipsi zake. Ndio maana ni muhimu kumtenga na kuwa naye pamoja. Ila usimkiss mbele ya watu anaowajua, hatojisikia amani na kujiachia.
.
Ila kama unaona mnaelewana vizuri mualike kwako moja kwa moja. Mualike kwa sababu, mfano, mwambie hujawahi fungwa goli zaidi ya tatu kwenye karata na umualike kucheza naye, au kama una vinywaji kwenye friji, mualike kunywa vinywaji. Yaani mualike mfanye kitu kwa pamoja. Ukiwa naye kwako usiwe na pupa, nenda naye taratibu na msogeleane kadri muda unavyoenda na uweke kiss kwenye lipsi zake kisha …
.
Usilazimishe penzi kama amekataa. Pia usioneshe kuumia kwa kuwa amekataa, we potezea na muendelee kufurahi. Nenda taratibu mpe nafasi naye ya kujiachia kwako.
.
Ukikwama sehemu rudi nyuma hatua kadhaa hadi sehemu ambayo unaona ndo mara ya mwisho kuwa naye vizuri na uanzie hapo tena.
Yote hayo ni kwasababu ya utofauti wa kasi ya kupenda kati ya mwanamke na mwanaume, soma “Mwanaume, Fanya Hivi Ukishajua Tofauti Ya Kupenda Kati Ya Mwanaume Na Mwanamke” uelewe zaidi.
Kijana tafuta pesa tu, haya hayahitajiki.
 
Utapata urahisi zaidi ukiwa wa thamani katika jumuiya uliyopo.

Jumuiya uliyopo inaweza kuwa ni kazini, shuleni, mtaani, kanisani au sehemu ambayo unakutana na mwanamke mara kwa mara.

Hakikisha unajulikana na watu, ongea na watu wengi kadri uwezavyo. Hili litaongeza thamani yako kama tulivyoongea jana, na kumfanya mwanamke ajisikie salama kwako. Usiwe bubu muda wote alafu ghafla ndo ukaanza kuongea na huyo mwanamke, utapata shida na atakugundua mapema na atajiweka katika ulinzi.

Pia njia hii itakusaidia kuondoa shaka na aibu ya kukataliwa.

Baada ya kuhakikisha umeongeza thamani yako, na umemuona mwanamke anayekuvutia,angalia kama anaonesha ishara za kuvutiwa na wewe pia. Kama amevutiwa na wewe, atatabasamu kila ukimuangalia, atajisogeza karibu yako au atakuangalia zaidi. Ukishaona naye amevutiwa na wewe, vaa ujasiri wako kisha fuata muongozo huu. (kama unasita cha kusema soma, “Ukizingatia Haya Hautapata Shida Kuongea Na Mwanamke”)

Mara ya kwanza mpe hi na muongee kidogo. Kisha endelea na shughuli zako. Hakikisha kabla hujasilimiana naye umeongea na wengine ili naye ajisikie ni miongoni mwa watu wanaokujua. Hivyo, atajisikia kukujua

Kadri siku zinavyozidi kwenda ongea nae zaidi, na zaidi. Pia angalia ishara za mvuto anazokupa, mwanamke ambaye anavutiwa nawe atafanya mambo yawe rahisi na ataongea zaidi yako. Mfanye acheke pia.

Mada mnazoongea hakikisha unaziongoza wewe. Msiongelee mada zinazoumiza, au siasa au hali ya hewa. Kwa mada nzuri zaidi soma “Mada 4 Za Kuongea Na Mwanamke Ili Kujuana Zaidi”.
Pia mazungumzo yenu yawe na ukomo, sio unamganda mwanamke mpaka anakuzoea. Muda mwingine kata mazungumzo hata kama unaona mabo yanaenda vizuri. Usiwe na shaka kesho nayo ipo.

Kwenye kuongea kwenu mchombeze taratibu. Usijiweke kama rafiki, wala kuomba urafiki na uikatae hiyo hali. Tengeneza mahusiano ya mme na mke, jiwekee kichwani kwako kwamba tayari umempata. Mguse sehemu kama bega au mkono (mkiwa vizuri kiunoni na mapajani), mchombeze, mtanie, usimuweke juu yako, na pia usiogope kumwambia pale anapovuka mstari wa misimamo yako.

Usimwambie unampenda mapema au kuanza kumuomba awe mpenzi wako. Wanawake wanapenda ile hali ya kujuana kwanza na kuacha mapenzi yakue yenyewe bila kulazimishana. Ndio maana wanaume wengi wanaishia kuomba omba jibu la swali “nakupenda” na kuhama mtaa wakikataliwa. Usimrahisishie mwanamke kazi kiasi hiko, acha na yeye apambanie hiyo ‘nakupenda’. Acha ajithibitishe kuwa anastahili. Nakazia tena usimrahisishie iyo kazi maana ye mwenyewe anataka kulipambania ilo pendo ukimrahisishia anakua hana cha kupambania na utaishia kuomba jibu la swali “nakupenda”.

Ila msifie hapa na pale, mwambie kinachokuvutia kwake. Muite majina mazuri ya mapenzi. Na usizidishe sifa.
Muhimu: Unapomwambia kinachokuvutia kwake, usikae kusubiri jibu. We mwambie kisha badilisha mada kama vile hujamwambia kitu.

Baada ya muda mualike kwenda naye beach au sehemu yoyote ya kufurahia. Kumualika sio kumuomba, pia usilazimishe we nenda naye taratibu. Pia kama bado unaona hajiachii mwambie kuwa mnaenda na marafiki zako na yeye anaweza kujiunga na unaweza mtania “sijui kama we ni mtu wa kwenda sehemu za kufurahi”, atajielezea utapata jibu. Ukiwa naye uko wewe ndo uwe mwenyeji wake pia mtenge mara kwa mara mpate muda wenu pamoja.

Anza kumkiss. Ukiona mambo yanaenda vizuri usisite kuangusha upendo kwenye lipsi zake. Ndio maana ni muhimu kumtenga na kuwa naye pamoja. Ila usimkiss mbele ya watu anaowajua, hatojisikia amani na kujiachia.

Ila kama unaona mnaelewana vizuri mualike kwako moja kwa moja. Mualike kwa sababu, mfano, mwambie hujawahi fungwa goli zaidi ya tatu kwenye karata na umualike kucheza naye, au kama una vinywaji kwenye friji, mualike kunywa vinywaji. Yaani mualike mfanye kitu kwa pamoja. Ukiwa naye kwako usiwe na pupa, nenda naye taratibu na msogeleane kadri muda unavyoenda na uweke kiss kwenye lipsi zake kisha …

Usilazimishe penzi kama amekataa. Pia usioneshe kuumia kwa kuwa amekataa, we potezea na muendelee kufurahi. Nenda taratibu mpe nafasi naye ya kujiachia kwako.

Ukikwama sehemu rudi nyuma hatua kadhaa hadi sehemu ambayo unaona ndo mara ya mwisho kuwa naye vizuri na uanzie hapo tena. Yote hayo ni kwasababu ya utofauti wa kasi ya kupenda kati ya mwanamke na mwanaume, soma “Mwanaume, Fanya Hivi Ukishajua Tofauti Ya Kupenda Kati Ya Mwanaume Na Mwanamke” uelewe zaidi.
We bwana unatukosea heshima sisi wengine,Ivi na umri wangu huu 40+ wewe unifundishe jinsi ya kutongoza[emoji848][emoji848]
 
Kuna walionifata inbox kwa kuchanganywa na comments za pesa, na wao hawana pesa, mwingine ana pesa lakini
bado anasumbuka kupata mwanamke amtakaye. Nimeona nije kuweka sawa hapa, kwa wewe unayesumbuliwa na changamoto kama hiyo kuhusu swala la pesa ijulikane kuwa;

Pesa ni MUHIMU katika vipengele vyote vinavyohusu pesa, lakini sio kila kitu.
Pesa itakusaidia mpaka hatua fulani, kisha kunakobaki ni ujuzi/ utu/ thamani yako.
Lakini kama shida yako ni madanga/ malaya, pesa itakua kitu pekee kwao.
Ila kama unataka mwanamke ambaye atakuthamini wewe kwa utu/ heshima na thamani yako
zaidi ya pesa zako, usijiwekee akili ya pesa ndo kila kitu bali jifunze kuwa na utu na kuongeza
thamani yako siku hadi siku.

Ubaya wa kujiwekea pesa ndo kila kitu, au tafuta pesa upate mademu ndo kinasababisha
unawavutia zaidi wanawake wanaotaka kutumia hela yako muda wote/ kukuchuna.
 
Utapata urahisi zaidi ukiwa wa thamani katika jumuiya uliyopo.

Jumuiya uliyopo inaweza kuwa ni kazini, shuleni, mtaani, kanisani au sehemu ambayo unakutana na mwanamke mara kwa mara.

Hakikisha unajulikana na watu, ongea na watu wengi kadri uwezavyo. Hili litaongeza thamani yako kama tulivyoongea jana, na kumfanya mwanamke ajisikie salama kwako. Usiwe bubu muda wote alafu ghafla ndo ukaanza kuongea na huyo mwanamke, utapata shida na atakugundua mapema na atajiweka katika ulinzi.

Pia njia hii itakusaidia kuondoa shaka na aibu ya kukataliwa.

Baada ya kuhakikisha umeongeza thamani yako, na umemuona mwanamke anayekuvutia,angalia kama anaonesha ishara za kuvutiwa na wewe pia. Kama amevutiwa na wewe, atatabasamu kila ukimuangalia, atajisogeza karibu yako au atakuangalia zaidi. Ukishaona naye amevutiwa na wewe, vaa ujasiri wako kisha fuata muongozo huu. (kama unasita cha kusema soma, “Ukizingatia Haya Hautapata Shida Kuongea Na Mwanamke”)

Mara ya kwanza mpe hi na muongee kidogo. Kisha endelea na shughuli zako. Hakikisha kabla hujasilimiana naye umeongea na wengine ili naye ajisikie ni miongoni mwa watu wanaokujua. Hivyo, atajisikia kukujua

Kadri siku zinavyozidi kwenda ongea nae zaidi, na zaidi. Pia angalia ishara za mvuto anazokupa, mwanamke ambaye anavutiwa nawe atafanya mambo yawe rahisi na ataongea zaidi yako. Mfanye acheke pia.

Mada mnazoongea hakikisha unaziongoza wewe. Msiongelee mada zinazoumiza, au siasa au hali ya hewa. Kwa mada nzuri zaidi soma “Mada 4 Za Kuongea Na Mwanamke Ili Kujuana Zaidi”.
Pia mazungumzo yenu yawe na ukomo, sio unamganda mwanamke mpaka anakuzoea. Muda mwingine kata mazungumzo hata kama unaona mabo yanaenda vizuri. Usiwe na shaka kesho nayo ipo.

Kwenye kuongea kwenu mchombeze taratibu. Usijiweke kama rafiki, wala kuomba urafiki na uikatae hiyo hali. Tengeneza mahusiano ya mme na mke, jiwekee kichwani kwako kwamba tayari umempata. Mguse sehemu kama bega au mkono (mkiwa vizuri kiunoni na mapajani), mchombeze, mtanie, usimuweke juu yako, na pia usiogope kumwambia pale anapovuka mstari wa misimamo yako.

Usimwambie unampenda mapema au kuanza kumuomba awe mpenzi wako. Wanawake wanapenda ile hali ya kujuana kwanza na kuacha mapenzi yakue yenyewe bila kulazimishana. Ndio maana wanaume wengi wanaishia kuomba omba jibu la swali “nakupenda” na kuhama mtaa wakikataliwa. Usimrahisishie mwanamke kazi kiasi hiko, acha na yeye apambanie hiyo ‘nakupenda’. Acha ajithibitishe kuwa anastahili. Nakazia tena usimrahisishie iyo kazi maana ye mwenyewe anataka kulipambania ilo pendo ukimrahisishia anakua hana cha kupambania na utaishia kuomba jibu la swali “nakupenda”.

Ila msifie hapa na pale, mwambie kinachokuvutia kwake. Muite majina mazuri ya mapenzi. Na usizidishe sifa.
Muhimu: Unapomwambia kinachokuvutia kwake, usikae kusubiri jibu. We mwambie kisha badilisha mada kama vile hujamwambia kitu.

Baada ya muda mualike kwenda naye beach au sehemu yoyote ya kufurahia. Kumualika sio kumuomba, pia usilazimishe we nenda naye taratibu. Pia kama bado unaona hajiachii mwambie kuwa mnaenda na marafiki zako na yeye anaweza kujiunga na unaweza mtania “sijui kama we ni mtu wa kwenda sehemu za kufurahi”, atajielezea utapata jibu. Ukiwa naye uko wewe ndo uwe mwenyeji wake pia mtenge mara kwa mara mpate muda wenu pamoja.

Anza kumkiss. Ukiona mambo yanaenda vizuri usisite kuangusha upendo kwenye lipsi zake. Ndio maana ni muhimu kumtenga na kuwa naye pamoja. Ila usimkiss mbele ya watu anaowajua, hatojisikia amani na kujiachia.

Ila kama unaona mnaelewana vizuri mualike kwako moja kwa moja. Mualike kwa sababu, mfano, mwambie hujawahi fungwa goli zaidi ya tatu kwenye karata na umualike kucheza naye, au kama una vinywaji kwenye friji, mualike kunywa vinywaji. Yaani mualike mfanye kitu kwa pamoja. Ukiwa naye kwako usiwe na pupa, nenda naye taratibu na msogeleane kadri muda unavyoenda na uweke kiss kwenye lipsi zake kisha …

Usilazimishe penzi kama amekataa. Pia usioneshe kuumia kwa kuwa amekataa, we potezea na muendelee kufurahi. Nenda taratibu mpe nafasi naye ya kujiachia kwako.

Ukikwama sehemu rudi nyuma hatua kadhaa hadi sehemu ambayo unaona ndo mara ya mwisho kuwa naye vizuri na uanzie hapo tena. Yote hayo ni kwasababu ya utofauti wa kasi ya kupenda kati ya mwanamke na mwanaume, soma “Mwanaume, Fanya Hivi Ukishajua Tofauti Ya Kupenda Kati Ya Mwanaume Na Mwanamke” uelewe zaidi.
Vijana mnazi-overrated sana sketi. Kila siku mara mpe hela, mara namna ya kumpata mwanamke ukigeuka huku utasikia namna ya kumfikisha kileleni mwanamke ndio maana imefika hatua wanawake wanajikuta special sana wanataka kuwapanda kichwani yaani uangaike kumpata, umuhudumie, umpe hela, umfikishe kileleni sasa uyo mwanamke anawajibika kwa lipi.

Saikolojia ya kumpata mwanamke wewe ishi tu kama vile mwanamke hayupo na kama upo nae kwenye mahusiano usimjali sana na kuwa rudely kidogo. Mimi mtaani na viwanja ninavyopendelea kwenda huwa sina time ya kushobokea au kucheka cheka na mademu lakini huwa wanajileta wenyewe, mwanamke ukimpotezea anakua anachanganyikiwa nakwambia anaweza kufanya vitu vya kitoto au kijinga ili tu kuvuta umakini wako na hapo ndo unapiga mbususu kiulahini kabisa bila kutoa hata cent, ila ukileta hayo mambo ya kumchekesha na kumshobokea mpaka uje kumla atakusumbua na mfuko utakua ushatoboka sana
 
We bwana unatukosea heshima sisi wengine,Ivi na umri wangu huu 40+ wewe unifundishe jinsi ya kutongoza[emoji848][emoji848]
Atakuwa anawaelekeza vijana wadogo angalau hawana majukumu mengi, wana muda wa kutosha kufanya hizi isidingo.....
 
Kuna walionifata inbox kwa kuchanganywa na comments za pesa, na wao hawana pesa, mwingine ana pesa lakini
bado anasumbuka kupata mwanamke amtakaye. Nimeona nije kuweka sawa hapa, kwa wewe unayesumbuliwa na changamoto kama hiyo kuhusu swala la pesa ijulikane kuwa;

Pesa ni MUHIMU katika vipengele vyote vinavyohusu pesa, lakini sio kila kitu.
Pesa itakusaidia mpaka hatua fulani, kisha kunakobaki ni ujuzi/ utu/ thamani yako.
Lakini kama shida yako ni madanga/ malaya, pesa itakua kitu pekee kwao.
Ila kama unataka mwanamke ambaye atakuthamini wewe kwa utu/ heshima na thamani yako
zaidi ya pesa zako, usijiwekee akili ya pesa ndo kila kitu bali jifunze kuwa na utu na kuongeza
thamani yako siku hadi siku.

Ubaya wa kujiwekea pesa ndo kila kitu, au tafuta pesa upate mademu ndo kinasababisha
unawavutia zaidi wanawake wanaotaka kutumia hela yako muda wote/ kukuchuna.
Well said

Pesa mbele hawa ndo wanagonga Malaya
 
Utapata urahisi zaidi ukiwa wa thamani katika jumuiya uliyopo.

Jumuiya uliyopo inaweza kuwa ni kazini, shuleni, mtaani, kanisani au sehemu ambayo unakutana na mwanamke mara kwa mara.

Hakikisha unajulikana na watu, ongea na watu wengi kadri uwezavyo. Hili litaongeza thamani yako kama tulivyoongea jana, na kumfanya mwanamke ajisikie salama kwako. Usiwe bubu muda wote alafu ghafla ndo ukaanza kuongea na huyo mwanamke, utapata shida na atakugundua mapema na atajiweka katika ulinzi.

Pia njia hii itakusaidia kuondoa shaka na aibu ya kukataliwa.

Baada ya kuhakikisha umeongeza thamani yako, na umemuona mwanamke anayekuvutia,angalia kama anaonesha ishara za kuvutiwa na wewe pia. Kama amevutiwa na wewe, atatabasamu kila ukimuangalia, atajisogeza karibu yako au atakuangalia zaidi. Ukishaona naye amevutiwa na wewe, vaa ujasiri wako kisha fuata muongozo huu. (kama unasita cha kusema soma, “Ukizingatia Haya Hautapata Shida Kuongea Na Mwanamke”)

Mara ya kwanza mpe hi na muongee kidogo. Kisha endelea na shughuli zako. Hakikisha kabla hujasilimiana naye umeongea na wengine ili naye ajisikie ni miongoni mwa watu wanaokujua. Hivyo, atajisikia kukujua

Kadri siku zinavyozidi kwenda ongea nae zaidi, na zaidi. Pia angalia ishara za mvuto anazokupa, mwanamke ambaye anavutiwa nawe atafanya mambo yawe rahisi na ataongea zaidi yako. Mfanye acheke pia.

Mada mnazoongea hakikisha unaziongoza wewe. Msiongelee mada zinazoumiza, au siasa au hali ya hewa. Kwa mada nzuri zaidi soma “Mada 4 Za Kuongea Na Mwanamke Ili Kujuana Zaidi”.
Pia mazungumzo yenu yawe na ukomo, sio unamganda mwanamke mpaka anakuzoea. Muda mwingine kata mazungumzo hata kama unaona mabo yanaenda vizuri. Usiwe na shaka kesho nayo ipo.

Kwenye kuongea kwenu mchombeze taratibu. Usijiweke kama rafiki, wala kuomba urafiki na uikatae hiyo hali. Tengeneza mahusiano ya mme na mke, jiwekee kichwani kwako kwamba tayari umempata. Mguse sehemu kama bega au mkono (mkiwa vizuri kiunoni na mapajani), mchombeze, mtanie, usimuweke juu yako, na pia usiogope kumwambia pale anapovuka mstari wa misimamo yako.

Usimwambie unampenda mapema au kuanza kumuomba awe mpenzi wako. Wanawake wanapenda ile hali ya kujuana kwanza na kuacha mapenzi yakue yenyewe bila kulazimishana. Ndio maana wanaume wengi wanaishia kuomba omba jibu la swali “nakupenda” na kuhama mtaa wakikataliwa. Usimrahisishie mwanamke kazi kiasi hiko, acha na yeye apambanie hiyo ‘nakupenda’. Acha ajithibitishe kuwa anastahili. Nakazia tena usimrahisishie iyo kazi maana ye mwenyewe anataka kulipambania ilo pendo ukimrahisishia anakua hana cha kupambania na utaishia kuomba jibu la swali “nakupenda”.

Ila msifie hapa na pale, mwambie kinachokuvutia kwake. Muite majina mazuri ya mapenzi. Na usizidishe sifa.
Muhimu: Unapomwambia kinachokuvutia kwake, usikae kusubiri jibu. We mwambie kisha badilisha mada kama vile hujamwambia kitu.

Baada ya muda mualike kwenda naye beach au sehemu yoyote ya kufurahia. Kumualika sio kumuomba, pia usilazimishe we nenda naye taratibu. Pia kama bado unaona hajiachii mwambie kuwa mnaenda na marafiki zako na yeye anaweza kujiunga na unaweza mtania “sijui kama we ni mtu wa kwenda sehemu za kufurahi”, atajielezea utapata jibu. Ukiwa naye uko wewe ndo uwe mwenyeji wake pia mtenge mara kwa mara mpate muda wenu pamoja.

Anza kumkiss. Ukiona mambo yanaenda vizuri usisite kuangusha upendo kwenye lipsi zake. Ndio maana ni muhimu kumtenga na kuwa naye pamoja. Ila usimkiss mbele ya watu anaowajua, hatojisikia amani na kujiachia.

Ila kama unaona mnaelewana vizuri mualike kwako moja kwa moja. Mualike kwa sababu, mfano, mwambie hujawahi fungwa goli zaidi ya tatu kwenye karata na umualike kucheza naye, au kama una vinywaji kwenye friji, mualike kunywa vinywaji. Yaani mualike mfanye kitu kwa pamoja. Ukiwa naye kwako usiwe na pupa, nenda naye taratibu na msogeleane kadri muda unavyoenda na uweke kiss kwenye lipsi zake kisha …

Usilazimishe penzi kama amekataa. Pia usioneshe kuumia kwa kuwa amekataa, we potezea na muendelee kufurahi. Nenda taratibu mpe nafasi naye ya kujiachia kwako.

Ukikwama sehemu rudi nyuma hatua kadhaa hadi sehemu ambayo unaona ndo mara ya mwisho kuwa naye vizuri na uanzie hapo tena. Yote hayo ni kwasababu ya utofauti wa kasi ya kupenda kati ya mwanamke na mwanaume, soma “Mwanaume, Fanya Hivi Ukishajua Tofauti Ya Kupenda Kati Ya Mwanaume Na Mwanamke” uelewe zaidi.
Hii dunia
 
Kuna walionifata inbox kwa kuchanganywa na comments za pesa, na wao hawana pesa, mwingine ana pesa lakini
bado anasumbuka kupata mwanamke amtakaye. Nimeona nije kuweka sawa hapa, kwa wewe unayesumbuliwa na changamoto kama hiyo kuhusu swala la pesa ijulikane kuwa;

Pesa ni MUHIMU katika vipengele vyote vinavyohusu pesa, lakini sio kila kitu.
Pesa itakusaidia mpaka hatua fulani, kisha kunakobaki ni ujuzi/ utu/ thamani yako.
Lakini kama shida yako ni madanga/ malaya, pesa itakua kitu pekee kwao.
Ila kama unataka mwanamke ambaye atakuthamini wewe kwa utu/ heshima na thamani yako
zaidi ya pesa zako, usijiwekee akili ya pesa ndo kila kitu bali jifunze kuwa na utu na kuongeza
thamani yako siku hadi siku.

Ubaya wa kujiwekea pesa ndo kila kitu, au tafuta pesa upate mademu ndo kinasababisha
unawavutia zaidi wanawake wanaotaka kutumia hela yako muda wote/ kukuchuna.
Sa we unataka wanawake ili uwafanyaje???uwale au???wanawake wako kwa ajili ya kuliwa mbususu tuu,ko akila pesa ako wala usihuzunike as long as we pia umemla mbususu yake nono.
 
Back
Top Bottom