Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
vipi mwendelezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeee jana mambo yalinitinga sikuweza kuandika hata mstari mmoja.vipi mwendelezo
Pole sana na majukumu.. inabidi mtoto mzuri awajibike kukituliza kichwaa..Aiseeee jana mambo yalinitinga sikuweza kuandika hata mstari mmoja.
Anytime leo nikitulia ntaanza kuupdate kimoja kimoja.
Hata kwenye Hii Bimmer tu kuna vitu nahisi nimeviacha....
Nitaviupdate pale juu nikumbuka.
Toyota za nini tupa kule , mpango kwa sasa ni mazda ,nissan ,Bmw,vw,vox haul,volvo bakin na mabati yenu ndio mmeshakaririHahah...
Mkuu tuendelee kuwashauri pia wasiache kuwa na plan B ya Toyota, huyu mnyama huwa namuogopa sana akianza kusumbua...
Toyota za nini tupa kule , mpango kwa sasa ni mazda ,nissan ,Bmw,vw,vox haul,volvo bakin na mabati yenu ndio mmeshakariri
sent from HUAWEI
Si anakuwa na backup ya gari ya mzungu.. au haifai nayo hiyo.. yani u akuta ana Audi, ana Benz, ana VW na BMW kwenye parking yake.. tayari backup zipo hapoHeheh una maneno kama dogo mmoja anaitwa Jesse wa Automax....
Comment Moja ya kikatili Sana Mkuu Hahahahahahaha duuh mbona mabati.Toyota za nini tupa kule , mpango kwa sasa ni mazda ,nissan ,Bmw,vw,vox haul,volvo bakin na mabati yenu ndio mmeshakariri
sent from HUAWEI
Unavyoichambua Gari kwa namba unanichanganya sana N45, N50, 83, 90 [emoji42][emoji42][emoji42] ungekua unatumia logic au kuanza kuidadavua hizo namba kwanza
Atafute samaki mmoja mkubwa iwe "Chombo ya Fundi".Pole sana na majukumu.. inabidi mtoto mzuri awajibike kukituliza kichwaa..
Hivi gari inaanzaje kuharibika yenyewe out of nowhere?Si anakuwa na backup ya gari ya mzungu.. au haifai nayo hiyo.. yani u akuta ana Audi, ana Benz, ana VW na BMW kwenye parking yake.. tayari backup zipo hapo
Inawezekana kabisa..Hivi gari inaanzaje kuharibika yenyewe out of nowhere?
Yani ukae tu kesho uamke gari imeharibika?
Uharibufu wa gari mala nyingi ( hasa mechamical part) hutokana na matumizi mabaya ya chombo.Hivi gari inaanzaje kuharibika yenyewe out of nowhere?
Yani ukae tu kesho uamke gari imeharibika?
Kama ni mwenzangu na mimi unaweza kufananisha na matoleo ya simu za TECNOUnavyoichambua Gari kwa namba unanichanganya sana N45, N50, 83, 90 [emoji42][emoji42][emoji42] ungekua unatumia logic au kuanza kuidadavua hizo namba kwanza
Umempeleka kwenye pure mathematics..hapa ndiyo umemvuruga kabisaa kichwaHizo ni engine code ndugu yangu....
Kama unaenda kununua gari kwa mtu akikupa kadi ukiangalia kipengele cha engine utakuta ina namba kama hizo.
Sasa kuchambua Audi si ndo utakimbia ndugu yangu...
Imagine hii ni Audi A4 yenye 2.0L FSI, TSI au TFSI
View attachment 2122902
Hiyo EA888 tena ya 2.0L tu...
Hapohapo ndani kwenye hizo codes kuna
Kuna First Generation
Second Generation aka kichomi maana kuna muda itaanza kunywa Oil kama inavyokunywa petrol.
Na third Generation
Hapo sijaguza bado EA888 ya 1.8L wala EA113 ya 1.8L au ya 2.0L
Benz na BMW hawana engine nyingi hata.
Pole mkuu.. hatupa part 2..Aiseeee jana mambo yalinitinga sikuweza kuandika hata mstari mmoja.
Anytime leo nikitulia ntaanza kuupdate kimoja kimoja.
Hata kwenye Hii Bimmer tu kuna vitu nahisi nimeviacha....
Nitaviupdate pale juu nikumbuka.
Toyota za nini tupa kule , mpango kwa sasa ni mazda ,nissan ,Bmw,vw,vox haul,volvo bakin na mabati yenu ndio mmeshakariri
sent from HUAWEI