Mwongozo wa ufugaji wa kisasa wa Mbuzi wa nyama na maziwa

Mwongozo wa ufugaji wa kisasa wa Mbuzi wa nyama na maziwa

Ahsante! Kwani kazi ile mbolea hasa Ni nini?
Maana Kuna mahali niliona wanachanganya samadi mwisho baada ya kujaza maji ndio anatia ile mbolea!
Kuprovide carbondioxide ambayo inasaidia azola kufanya photosynthesis. Kiufup azola nilijifunzia Google na hayo ndiyo maelezo ambayo nilikutana nayo kipind najifunza
 
Kuprovide carbondioxide ambayo inasaidia azola kufanya photosynthesis. Kiufup azola nilijifunzia Google na hayo ndiyo maelezo ambayo nilikutana nayo kipind najifunza
Shukrani! Maana huku niliko sidhani kama hiyo azobum itakua inapatikana kwa urahisi!

Nilijua kufacilitate rapid growth ili nitumie busta.
 
Sina stress mkuu Bali nasoma comments zako naona utani tu!!! Mleta mada anataka kufanya mradi ili umsaidie kujikwamua kiuchumi lakini wewe unaleta utani na mzaha,, mkuu msaidie mwenzio mawazo kwa nia njema kabisa kama unaelewa kusudi lake
Hujamuelewa tu jamaa!

Hilo wazo la azola alilompa ni bonge moja la ushauri!

Kama unafuga tafuta hiyo kitu mzee
 
Hujamuelewa tu jamaa!
Hilo wazo la azola alilompa Ni bonge moja la ushauri!
Kama unafuga tafuta hiyo kitu mzee
Pamoja sana mkuu. Nilidhani ni utani wake tuu kutokana na comments za mwanzo Mara mbuzi wawili kisha wakanona hadi kuwatamani na kuwachinja etc.
 
Hujamuelewa tu jamaa!
Hilo wazo la azola alilompa Ni bonge moja la ushauri!
Kama unafuga tafuta hiyo kitu mzee
Kuna jamaa anapiga hela hatari pale kibaha,ana mabwawa kibao ya azola kazi yake ye anauza mbegu tu. Inasemekana kuwa bwawa la 4ft×6ft linazalisha 1kg ya azola kila siku . saiv azola imekuwa dili,kilo moja ya mbegu inarange kwenye 15k-20k. Ukiwa na bwawa kubwa unavuna mavuno mengi zaid ya kulishia mifugo na kias kinachobak unauza kujipatia kipato
 
Pamoja sana mkuu...nilidhani ni utani wake tuu kutokana na comments za mwanzo Mara mbuzi wawili kisha wakanona hadi kuwatamani na kuwachinja etc
[emoji106] [emoji106] [emoji106] pamoja
 
Kuna jamaa anapiga hela hatari pale kibaha,ana mabwawa kibao ya azola kazi yake ye anauza mbegu tu. Inasemekana kuwa bwawa la 4ft×6ft linazalisha 1kg ya azola kila siku . saiv azola imekuwa dili,kilo moja ya mbegu inarange kwenye 15k-20k. Ukiwa na bwawa kubwa unavuna mavuno mengi zaid ya kulishia mifugo na kias kinachobak unauza kujipatia kipato
Tatizo langu ni hiyo mbolea
 
Back
Top Bottom