- Feb 10, 2006
- 4,324
- 13,967
- Thread starter
- #41
Unawasiliana nasi kutumia Contact usNikitaka kutangaza biaahara nafanyaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawasiliana nasi kutumia Contact usNikitaka kutangaza biaahara nafanyaje?
Unayo haki ya kuhoji. Tumeweka jukwaa maalum la kulalamikia vitendo hivyo au unaweza kutumia Contact us endapo hutokuwa na access ya jukwaa hilo (upo kwenye ban)Mkuu Maxence Melo tumekuelewa sana.
Ila kuna wakati wahariri huwa wanaondoa maudhui ambayo yapo kinyume na mtazamo wao na sio sheria na kanuni za JF
Mwaka wa uchaguzi huu eti! Something I expected.Muongozo umekuja wakati muafaka sana ni kuufuata tu.
Sawa Mkuu,Unayo haki ya kuhoji. Tumeweka jukwaa maalum la kulalamikia vitendo hivyo au unaweza kutumia Contact us endapo hutokuwa na access ya jukwaa hilo (upo kwenye ban)
Unayo haki ya kuhoji. Tumeweka jukwaa maalum la kulalamikia vitendo hivyo au unaweza kutumia Contact us endapo hutokuwa na access ya jukwaa hilo (upo kwenye ban)
SAWATunashukuru mkuu kwa muongozo mzuri
Kuhusu matangazo ya biashara, hebu fafabua zaidi!
Kwa mfano kwenye jukwaa la biashara zipo nyuzi biashara tofauti tofauti, mfano magari, viwanja na bidhaa nyingine!
Je hao wenye nyuzi huwasiliana na uongozi wenu?
Au ni matangazo ya biashara gani ambayo mdau anapaswa kuwasiliana na uongozi..!?
Lakini, pia pengine kuna matangazo yakulipia..!?
Matangazo yaliyo jukwaa la matangazo ni bure; ukitaka kufikia watu zaidi ndo unalipia
Hata Mimi hapa nakazia... Haiwezekani um-ignore mtu then still uwe unapata notification zakeHapo No7 kwenye kuwapuuza wanachama wasumbufu umeongelea kuhusu ignore. Naomba mpafanyie maboresho kidogo ukim-ignore mtu usipate notifications zake kabisa.
Mfano, kuna mtu nimem-ignore nikajua tatizo limeisha ila aki-like post zangu napata notifications.
Okay okayMkuu, issue ya Ignore imefanyiwa kazi LEO. Soma thread hii - Ignore list on JamiiForums: Maboresho ya mwaka 2020