Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala katika JamiiForums

Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala katika JamiiForums

Status
Not open for further replies.
Paragraph ya pili kutoka mwisho imenistua sana

Unawezaje kufuta uzi wa mtu bila kutoa sababu za msingi mkuu!?

Mtu anajua ametenda kosa baada ya kuambiwa lkn pia itaonesha kweli JF kuna demokrasia

Tena bila kutoa onyo vp km uzi ukikosea baadh ya mambo yanayoendelea kwa moderator kwa lengo la kujenga!?

Kumekua na malalamiko mengi ya wanachama kufutiwa nyuz zap bila kupewa maelezo

Nilitegemea hili lingejibiwa vizur badala yake naona ubabe na ujima mwingi

JF tunaambiwa the home of great thinker, free to talk openly. Leo tena magreat thinker mnaleta ubabe wa kimamlaka badala ya hoja

Sichochei uhuni, uandishi usofata maadili kwenye uhariri sina shda kbsa

Shda yangu kwann mfute nyuzi bila kutoa sabbu, member atajifunzaje!? Kwann hata onyo hamtoi!?

Msingi wake nn haswa!? Logic ni nn!?
 
Hapo No7 kwenye kuwapuuza wanachama wasumbufu umeongelea kuhusu ignore. Naomba mpafanyie maboresho kidogo ukim-ignore mtu usipate notifications zake kabisa.

Mfano, kuna mtu nimem-ignore nikajua tatizo limeisha ila aki-like post zangu napata notifications.
Kama anakulike huyo ni shabiki.
 
Nakubaliana na mwongozo katika vipengele vyote. No.8 iwafikie watu wote wenye kudhani kwa vile wako kwenye mlengo Fulani wana haki ya kutawala watu hata wasiowajua.
 
Naomba kujua aina ya matangazo yasiyofaa; maana kuna matangazo ukiweka amma lifutwe au ufungiwe akaunti yako
 
Shukrani sana mkuu wangu. Usisite kuwafahamisha wengine; ni kanuni 16 tu, ukiona wanazikiuka WAKUMBUSHE.

Karibu
Naomba kujua aina ya matangazo yasiyofaa; maana kuna matangazo ukiweka amma lifutwe au ufungiwe akaunti yako
 
Tunayo haki ya kuhariri au kufuta andiko lolote au kuweka ukomo wa mjadala wowote na kuufunga kwa sababu yoyote au hata bila sababu, pengine bila ufafanuzi wala onyo.

Kuna wadau wanasema eti huu ni ‘udikteta’ uchwara, mimi nimewaambia tu waache uchochezi... kichaa asipewe rungu.
 
Hapo No7 kwenye kuwapuuza wanachama wasumbufu umeongelea kuhusu ignore. Naomba mpafanyie maboresho kidogo ukim-ignore mtu usipate notifications zake kabisa.

Mfano, kuna mtu nimem-ignore nikajua tatizo limeisha ila aki-like post zangu napata notifications.

Ndiyo maana sikuoni, kumbe umeni ignore!
 
Mmh...

Ni vizuri ila...

Sheria..zikizidi kidogo tu hapo..itakuwa kama inafanania..mfano... maagizo ya labda mfano..inafanana na vile kama mlingano wa maagizo kutoka hapo ..mfano kule juu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom