Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zmenitoka kwa kwel nyingine za ulyankulu nakumbuka kuna barua cjui,,,bt za tumaini shangilieni zipo kichwan had sasaHahahaha duuu je ule wa kuna jambo gani ktk uyahudi na dunia yote watu wanafurahi unaukumbuka?
Habari ya mwana mpotevu ehzmenitoka kwa kwel nyingine za ulyankulu nakumbuka kuna barua cjui,,,bt za tumaini shangilieni zipo kichwan had sasa
akafikiri sana moyoni mwakee watumishi wangap wa babaaa???[HASHTAG]#good[/HASHTAG] old days ila hata wa sasa wananibariki but hizo nyimbo za enzi za nyuma hazitokuja kusahaulika maishan mwanguHabari ya mwana mpotevu eh
Dr Ron Kenoly hahahaNow you are talking...people should know about Ron Kenoly (PhD). Apart from being very talented, pia kasomea music kwa kiwango cha PhD.
Yaani salute to him!! Napenda sana nyimbo zake mno!Dr Ron Kenoly hahaha
Zamani sana huyu jamaa, wimbo wa Majesty, ancient of days na God is able
Namuheshim sana huyu jamaa
HahahaSolly anajisemeaga kwenye wimbo wa Obrigado, "....I may not understand it, but I still feel it" and that's what happens to me when am listening South African Gospel songs!
They are really blessed with beautiful voices and they compose touching songs!
Jamani kwa wale wapenzi wa Spirit of Praise, volume 6 itazinduliwa wiki hii, mwaka huu naona wasanii wengi sana wamechange ,
Spirit of prise 6 ft Neyi Zimu- Jehova Retshepile
Cc mtzmweusi
Cc Kapyungu A
Hahaha.I feel it [emoji8][emoji8]
Mimi huwa naona gospel za kiafrika zime simama, utakuta wimbo si uelewi ila naukubali tuu
[emoji1]
Au hata mwafrika akiimba ndo namuelewa kuliko mzungu
Joyous Celebration-Lord i can feel
Ahsante mkuu kwa kuwachekAsante sana hawa jamaa wako vizuri sana
nqubeko mbatha ndo ameifikisha joyous cerebration pale ilipo yani........Nqubeko ni bonge ya MD nadhani hata Ntokozo mambo yake yana nyooka kwa sababu ya effort za uyu bwana.
Vashawn cmjui lakin ntamtafuta
sinachiDaaahhh song katika ubora wake jina la muimbaji asee naomba
Asante ndgsinachi