Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,094
Aaaahhahahahaha itakuwa hupendi style yake ye anaimba sana worship
Kwa kweli hata wimbo wake mmoja wa JC si ujui [emoji1]
Ukifika tu naskip
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaahhahahahaha itakuwa hupendi style yake ye anaimba sana worship
wale jamaa lifestyle ni tofauti na sisiNa kweli ule mtindo wa kuachiana vijiti ndio unafanya jamaa wanakuwa kama wapya daily
Yeswale jamaa lifestyle ni tofauti na sisi
yani wanafocus maendeleo tu.....mtu aki left anahakikisha anaacha mazngira safi then analeft
Mimi huwa naona gospel za kiafrika zime simama, utakuta wimbo si uelewi ila naukubali tuu
[emoji1]
Au hata mwafrika akiimba ndo namuelewa kuliko mzungu
Joyous Celebration-Lord i can feel
hawa jamaa ni hatari aise wana nyimbo nzuri kama niguse tena,sifuni,in the name of love,hakuna kama wewe,it is all about you,let it rain etcKuna hawa jamaa ni wakongo wapo canada wanaitwa krystaal wazuri mnoooo
Hawa jamaa ni balaaa aiseee kuna event walifanya juzi kati canada hatari mno ingia kwenye fb page ya michael lwamba utaionahawa jamaa ni hatari aise wana nyimbo nzuri kama niguse tena,sifuni,in the name of love,hakuna kama wewe,it is all about you,let it rain etc
Asante mkuu huyu jamaa nilimsikia ila sikumfatilia anajua sana ndo atakuwa my favourite badala ya israel houghtonYye Tribbet - What can I do .... this is 1 of my best gospel song
nyimbo ni nzuri sana hua inanibariki link - Tye Tribbett – What Can I Do [Download MP3] | Listen and Download | BUSYSINGING
Anajua sana..Asante mkuu huyu jamaa nilimsikia ila sikumfatilia anajua sana ndo atakuwa my favourite badala ya israel houghton
Hapanatatizo kumbe lugha
una nyimbo zao nyingine mdau unisaidie aise maana hawa jamaa ni wakali sana kwenye gospelHawa jamaa ni balaaa aiseee kuna event walifanya juzi kati canada hatari mno ingia kwenye fb page ya michael lwamba utaiona
Niambie ulizonazo afu nicheki mie ninazo nyimbo zao nyingi tuuna nyimbo zao nyingine mdau unisaidie aise maana hawa jamaa ni wakali sana kwenye gospel
Huu wimbo unaitwaje!!?
"Shine the light let the whole world see 'we are singing' for the Glory of the Risen King..Jesus...."