Niliwahi kuuona na nica comment sana ila sikuzama DMMkuu uliuonaga uzi?
Ukiwaambia kuwa tendo la sex linahitaji maandalizi na sio kula kimasihara, wanakuona hujakamilika.Walaji wa tunda kimasihara mpo???? Au ndo nzi kufia kwenye donda ni halali yake,
Ila lazma tuendelee kukaa vizuri na mabeberu maana wao ndo wanasaidia haya madawa siku wakigoma hali itakayotokea haitaelezeka.Kuna watu hawajayajua vizuri ya magonjwa ya virus,,kawaida hayanaga dawa,ila miili huwa ina adopt,,mfano mzuri ni corona,,mwanzo ilianza kwa kuchachafya ila sasa sio tishio tena,maana watu washagain immunity,,
Wakati ukimwi unaingia,ilikuwa ni miezi sita tu mtu chali,,,anang'ata shuka,,
Leo hii unaweza kuishi hata miaka 40
Mkuu mie sipo OPD ila ni naelewa taratibu, mleta mada aliulizwa kuhusu dawa akasema hajaambiwa chochote kuhusu hilo ndio nikataka kujua imekuwaje? Naelewa na kuheshimu faragha ya mleta madaHayo ya kwenu huko OPD na wodini.
Huku social media tunaishia "tusipime kwa macho" na tuache "kula tunda kimasihara".
Ulitaka aeleze kila kitu hapa!
Itakusaidia sana, acha wenye tabia ya fisi leo watafte faraja kwenye K Vanger na Konyawise 🤣🤣🤣Mimi sio mkamilifu lskini nina kanuni moja...napenda kula nilichokiwinda na sio mteremko
Siku hizi ni wa kawaida chief, nina watu nawafahamu wanaishi miaka nenda rudi.Huu ugonjwa si wa kawaida chifu..nmegoma kuamin..tupeane moyo lakin huu ugonjwa si wa kawaida
Hahahah japo ngoma sio rahisi kupata ila kwa mechi ya goli 3 au zaidi uhakika wa kuungwa REA ni 98% esp. kama bi mdada alikuwa hajijui na hajagusa minjingu.Mungu atusaidie sana wanaume.
Kuna mitego flani flani humu niliivuka lkn kuna jamaa zangu walipita na mia, sijui wana hali gani....jf iacheni tu ibaki ilivyo.
Kuna faulu nyingi sana humu
Bwana bwana bet kwenye vitu vingine sio uhai[emoji1787][emoji1787]Mkuu hornet anaweza kukupa mechi moja kajaribu uone kama utatoka salama
Ukwae ww ndio uje na hiz habar za "aah wa kawaida tu"Siku hizi ni wa kawaida chief, nina watu nawafahamu wanaishi miaka nenda rudi.
Utaulinganisha na diabetes type B au camcer mkuu?
tunaita kusimamia kucha aka kukamia, mpaka ile harufu ya vitumbua unaisikia ileemechi ya goli 3 au zaidi
Ahhh! My dear Hornet sitaki kuamini hii habar kabisa. Anyway dunia mapito tu hakuna atakayeishi milele mwathirika na asiyemwathirika sote twafa. Mm sitaogopa hyo kituHabari zenu wote?
Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,
Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,
majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.
Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.
my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.
#lets stay positive.
Minjingu=mbolea?Hahahah japo ngoma sio rahisi kupata ila kwa mechi ya goli 3 au zaidi uhakika wa kuungwa REA ni 98% esp. kama bi mdada alikuwa hajijui na hajagusa minjingu.
Kmmmk mara paap SD Bioline ina mistari pacha 🤣🤣🤣 lazma ukae chini ulie kummmk!!!tunaita kusimamia kucha aka kukamia, mpaka ile harufu ya vitumbua unaisikia ilee
dadeki
So yaache Kama yalivyoMkuu mie sipo OPD ila ni naelewa taratibu, mleta mada aliulizwa kuhusu dawa akasema hajaambiwa chochote kuhusu hilo ndio nikataka kujua imekuwaje? Naelewa na kuheshimu faragha ya mleta mada
Haahaha siku hizi hata mimi sitombe..i shida....napiga juu juu nasepaa na ndio siri kubwaa ya kua salama hadi leo hii la sivyo ningeshaukwaa miaka 13 nyumaa[emoji1787][emoji1787]Kmmmk mara paap SD Bioline ina mistari pacha [emoji1787][emoji1787][emoji1787] lazma ukae chini ulie kummmk!!!
Nili risk sana afya yangu nilikuwaga natabia hio on my early 20's napiga ududu mpaka nikija kutulia kichwa kimechubuka vibaya mno. Mtoto wa kike nimemgaragaza kalowa na kukauka hata mara 6!
Stamina na tizi ilikuwepo la uhakika, 40mins juu ya kifua cha mwali ni uhakika. Nikaja kupewa somo na wandewa kuwa kumbe zile shughuli za umwamba zingeweza kuniua kisenge. Since then nagusa mos mos nikichuja tu tumefunga mjadala. Hamna faida kwanza hutaweza mkomoa manzi na una risk afya yako.
Noted, hongera kwa ujasiri na kuamua kutoka hadharani, najua haikuwa rahisi ila nikutakie kila la heriSo yaache Kama yalivyo
Nimeweka tahadhari hayo mengine napambana nayo binafsi.
Ngoma ipo kila sehemu mzee sio jf tu...demu wa jf ndio tupo nao mtaani, yani niogope kuopoa pisi humu kisa ngwengwe..lakini ukienda sehemu ya starehe unabebaaMungu atusaidie sana wanaume.
Kuna mitego flani flani humu niliivuka lkn kuna jamaa zangu walipita na mia, sijui wana hali gani....jf iacheni tu ibaki ilivyo.
Kuna faulu nyingi sana humu