My confession: Hornet is Positive

My confession: Hornet is Positive

Status
Not open for further replies.
Walaji wa tunda kimasihara mpo???? Au ndo nzi kufia kwenye donda ni halali yake,
Ukiwaambia kuwa tendo la sex linahitaji maandalizi na sio kula kimasihara, wanakuona hujakamilika.
Mleta uzi ametoa ushauri mzuri kuwa usidandanywe na macho
 
Kuna watu hawajayajua vizuri ya magonjwa ya virus,,kawaida hayanaga dawa,ila miili huwa ina adopt,,mfano mzuri ni corona,,mwanzo ilianza kwa kuchachafya ila sasa sio tishio tena,maana watu washagain immunity,,
Wakati ukimwi unaingia,ilikuwa ni miezi sita tu mtu chali,,,anang'ata shuka,,
Leo hii unaweza kuishi hata miaka 40
Ila lazma tuendelee kukaa vizuri na mabeberu maana wao ndo wanasaidia haya madawa siku wakigoma hali itakayotokea haitaelezeka.
 
Hayo ya kwenu huko OPD na wodini.
Huku social media tunaishia "tusipime kwa macho" na tuache "kula tunda kimasihara".
Ulitaka aeleze kila kitu hapa!
Mkuu mie sipo OPD ila ni naelewa taratibu, mleta mada aliulizwa kuhusu dawa akasema hajaambiwa chochote kuhusu hilo ndio nikataka kujua imekuwaje? Naelewa na kuheshimu faragha ya mleta mada
 
Mungu atusaidie sana wanaume.
Kuna mitego flani flani humu niliivuka lkn kuna jamaa zangu walipita na mia, sijui wana hali gani....jf iacheni tu ibaki ilivyo.
Kuna faulu nyingi sana humu
Hahahah japo ngoma sio rahisi kupata ila kwa mechi ya goli 3 au zaidi uhakika wa kuungwa REA ni 98% esp. kama bi mdada alikuwa hajijui na hajagusa minjingu.
 
Habari zenu wote?

Siku kadhaa nyuma nimejikuta kwenye wakati mgumu mno,

Hivi karibuni niliwiwa kwenda kupima kama sehemu ya kuifahamu afya yangu,

majibu yangu hayakuwa ya kufurahisha, nilichanganyikiwa na nikajichukia mno,
nikajutia nyakati zote za kukutana bila kinga na kujikuta nimechukua sex mnoo.

Ila baada ya kumweleza rafiki yangu alinipa moyo na nipo naendelea kuishi kwa matumaini.

my take ;
usimpime Mtu kwa macho.
Tutumie vipimo tutumie kinga.

#lets stay positive.
Ahhh! My dear Hornet sitaki kuamini hii habar kabisa. Anyway dunia mapito tu hakuna atakayeishi milele mwathirika na asiyemwathirika sote twafa. Mm sitaogopa hyo kitu
 
Hahahah japo ngoma sio rahisi kupata ila kwa mechi ya goli 3 au zaidi uhakika wa kuungwa REA ni 98% esp. kama bi mdada alikuwa hajijui na hajagusa minjingu.
Minjingu=mbolea?
Dawa?
Umeniacha mkuu
 
tunaita kusimamia kucha aka kukamia, mpaka ile harufu ya vitumbua unaisikia ilee
dadeki
Kmmmk mara paap SD Bioline ina mistari pacha 🤣🤣🤣 lazma ukae chini ulie kummmk!!!

Nili risk sana afya yangu nilikuwaga natabia hio on my early 20's napiga ududu mpaka nikija kutulia kichwa kimechubuka vibaya mno. Mtoto wa kike nimemgaragaza kalowa na kukauka hata mara 6!

Stamina na tizi ilikuwepo la uhakika, 40mins juu ya kifua cha mwali ni uhakika. Nikaja kupewa somo na wandewa kuwa kumbe zile shughuli za umwamba zingeweza kuniua kisenge. Since then nagusa mos mos nikichuja tu tumefunga mjadala. Hamna faida kwanza hutaweza mkomoa manzi na una risk afya yako.
 
Mkuu mie sipo OPD ila ni naelewa taratibu, mleta mada aliulizwa kuhusu dawa akasema hajaambiwa chochote kuhusu hilo ndio nikataka kujua imekuwaje? Naelewa na kuheshimu faragha ya mleta mada
So yaache Kama yalivyo

Nimeweka tahadhari hayo mengine napambana nayo binafsi.
 
Kmmmk mara paap SD Bioline ina mistari pacha [emoji1787][emoji1787][emoji1787] lazma ukae chini ulie kummmk!!!

Nili risk sana afya yangu nilikuwaga natabia hio on my early 20's napiga ududu mpaka nikija kutulia kichwa kimechubuka vibaya mno. Mtoto wa kike nimemgaragaza kalowa na kukauka hata mara 6!

Stamina na tizi ilikuwepo la uhakika, 40mins juu ya kifua cha mwali ni uhakika. Nikaja kupewa somo na wandewa kuwa kumbe zile shughuli za umwamba zingeweza kuniua kisenge. Since then nagusa mos mos nikichuja tu tumefunga mjadala. Hamna faida kwanza hutaweza mkomoa manzi na una risk afya yako.
Haahaha siku hizi hata mimi sitombe..i shida....napiga juu juu nasepaa na ndio siri kubwaa ya kua salama hadi leo hii la sivyo ningeshaukwaa miaka 13 nyumaa[emoji1787][emoji1787]
 
Mungu atusaidie sana wanaume.
Kuna mitego flani flani humu niliivuka lkn kuna jamaa zangu walipita na mia, sijui wana hali gani....jf iacheni tu ibaki ilivyo.
Kuna faulu nyingi sana humu
Ngoma ipo kila sehemu mzee sio jf tu...demu wa jf ndio tupo nao mtaani, yani niogope kuopoa pisi humu kisa ngwengwe..lakini ukienda sehemu ya starehe unabebaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom